Marekani anauza Nini mbona amemuacha mbali sana China Kwa GDP

Ila elewa china amekimbia spidi ya light kinyama na bado anakimbia na atampita huyo mme wenu USA.
Rudi nyuma like 60yrs check iyo GDP gap lilikuwa ngapi na saivi gap limekuwaje.
Pia subiria 30-50yrs to come uje uongee hapa ulete iyo GDP yako Tena dogo..una wivu na chin.
Elewa USA anaiba mafuta middle east , alimuua Saddam,Gadafi na anachochea vurugu mahala ili achukue madini sehemu nyingi mno makampuni yake ni kiyanyoji yaani wanaiba

Mtoa mada kauliza vizuri kwa nia njema ya kutaka kujua! Ila ulivyomshambulia ni kama vile mtu aliyekuwa anataka vita ya maneno. Mara nyingine muwe mnasoma na kuelewa na kuacha mihemuko!!
 
hizo data ukifuatilia wachumi wengi wanazitilia shaka sana, gdp ya US ni pungufu ya 30tr, na ya China ni kubwa zaidi ya 23tr........

nafikiri pia hizi data hazichukulii umuhimu services industry ya China, wakati US yeye anahusisha mpaka biashara ya ukahaba n.k

anyway, kipimo sahihi cha uchumi ni PPP na sio GDP,
 
China anapambana sana na anakuja vyema sana kiuchumi na ndio maana rais taahira kuwahi kutokea marekani Trump anaweweseka na tarrifs zake zisizo na staha kwa China
uchawa wetu umevuka anga za kimataifa sasa.

umeulizwa swali zuri la ufahamu...mkuu samahani umejibu utopolo😂
Nimetanguliza neno (samahani)
 
Harafu unakutana na mburula wa Chadomo kama Heche na Lisu wanakwambia wawekezaji wanakuja kuchota Mali na uwekezaji ni kuuza Bandari na Madini 😆😆
Huaga mna akili za kishamba sana you guys; hivi ni kweli kwamba Chadema hawataki wawekezaji? Mlisikia lini hiyo? Chadema wanapigia kelele sheria za uwekezaji, hilo ndio linalowapa tabu. Hivi nyie mnaipenda Tanzania au ccm? Bado mtawalaumu babu zetu kina nani wale walio saini mikataba ya kilaghai na kina Karl Peters wakati lugha walikua hawajui? Ukilinganisha na nyie mliosoma na kuelewa tena na mmetembea tembea duniani huko? Kweli hata mabasi ya mwendo kasi nayo tupate mwekezaji kutoka nje? How stupid we are? Kina Abood, na wengine wapo kwenye sekta ya usafirishaji nchini over 30 years, tumeshindwa kuwapa wao hadi tupeleke pesa nje ya bara letu? Hivi Pieter Botha aliyesema watu weusi hatuna ubongo, akisoma maandishi yenu humu atakua bado Botha alikua mbaguzi au kweli hatuna akili? Tuachane na mambo ya shule, hatusaidii
 
Marekani anazalisha magari, ndege, silaha, gesi, mafuta, teknolojia za dijitali kama WhatsApp, Google n.k
Sasa Mkuu kwa mfano Magari wanunuzi wakinanani?, kwanini Marekani hawekezi Afrika sijaona Wawekezaji kutoka Marekani wakija Tanzania kuwekeza iwe kwenye Madini , Viwanda, Kilimo. Lakini wachina wamejaa mitaani wanafanya Biashara za wanyonge, uwezi kumkuta Raia kutoka Marekani akiuza Duka Kariakoo au Mgahawa, kiwanda, Au Wamarekani wana Maisha Mazuri na Wachina Masikini sana mbele ya Wamarekani?0」」
 
Sasa Mkuu kwa mfano Magari wanunuzi wakinanani?, kwanini Marekani hawekezi Afrika sijaona Wawekezaji kutoka Marekani wakija Tanzania kuwekeza iwe kwenye Madini , Viwanda, Kilimo. Lakini wachina wamejaa mitaani wanafanya Biashara za wanyonge, uwezi kumkuta Raia kutoka Marekani akiuza Duka Kariakoo au Mgahawa, kiwanda, Au Wamarekani wana Maisha Mazuri na Wachina Masikini sana mbele ya Wamarekani?0」」
Marekani yenywe ni 30% ya soko la bidhaa zote zinazozalishwa duniani, US ni biggest consumerism country.
 
Sasa Mkuu kwa mfano Magari wanunuzi wakinanani?, kwanini Marekani hawekezi Afrika sijaona Wawekezaji kutoka Marekani wakija Tanzania kuwekeza iwe kwenye Madini , Viwanda, Kilimo. Lakini wachina wamejaa mitaani wanafanya Biashara za wanyonge, uwezi kumkuta Raia kutoka Marekani akiuza Duka Kariakoo au Mgahawa, kiwanda, Au Wamarekani wana Maisha Mazuri na Wachina Masikini sana mbele ya Wamarekani?0」」
Wamarekani kuna hata kazi nyingi tu hawataki kuzifanya tena nchini kwao zimebaki zinafanywa na wageni/immigrants tu, sio rahisi waje kuuza duka Kariakoo, mgahawa au umachinga kama Wachina.
 
Ila elewa china amekimbia spidi ya light kinyama na bado anakimbia na atampita huyo mme wenu USA.
Rudi nyuma like 60yrs check iyo GDP gap lilikuwa ngapi na saivi gap limekuwaje.
Pia subiria 30-50yrs to come uje uongee hapa ulete iyo GDP yako Tena dogo..una wivu na chin.
Elewa USA anaiba mafuta middle east , alimuua Saddam,Gadafi na anachochea vurugu mahala ili achukue madini sehemu nyingi mno makampuni yake ni kiyanyoji yaani wanaiba
Wachina ndiyo wezi sana tena wezi wa vitu vidogo vidogo Raia wa China hana tofauti kitabia ya wizi na jamii ya Manzese. Yani Bora tungekua na Wawekezaji kutoka Marekani kuliko vibaka kutoka China, Marekani Raia wao wanapeza uwezi kumuona Raia kutoka Marekani amekuja Tanzania kufungua duka la kuuza vyombo vya ndani. Au uwezi kuona Raia kutoka Marekani ni Manager wa hoteli au Kiwandani. Mimi ningekua Rais Raia kutoka China ningewafukuza ningewabakisha Wazungu tu.
 
Wachina ndiyo wezi sana tena wezi wa vitu vidogo vidogo Raia wa China hana tofauti kitabia ya wizi na jamii ya Manzese. Yani Bora tungekua na Wawekezaji kutoka Marekani kuliko vibaka kutoka China, Marekani Raia wao wanapeza uwezi kumuona Raia kutoka Marekani amekuja Tanzania kufungua duka la kuuza vyombo vya ndani. Au uwezi kuona Raia kutoka Marekani ni Manager wa hoteli au Kiwandani. Mimi ningekua Rais Raia kutoka China ningewafukuza ningewabakisha Wazungu tu.
Hapa utagombana na Xi Jinping
 
Wachumi naomba mnisaidie, china now ni manufacturing super power, kuliko marekani. Lakini ukiangalia GDP ya china na marekani aisee gap ni kubwa mnoo.

Kwa tarifa za hivi Sasa US GDP inaenda $30t na china inaenda around $20t. Yaani tofauti ya almost $10t. Hizo data nimezitoa mtandaoni.

Kwa tofauti ata ya $1t ni gap kubwa,,Sasa wachumi nipeni Elimu Marekani anamzidi wapi china hadi GDP yake haishikiki.

Karibu
Ana print dollar 💵
 
hizo data ukifuatilia wachumi wengi wanazitilia shaka sana, gdp ya US ni pungufu ya 30tr, na ya China ni kubwa zaidi ya 23tr........

nafikiri pia hizi data hazichukulii umuhimu services industry ya China, wakati US yeye anahusisha mpaka biashara ya ukahaba n.k

anyway, kipimo sahihi cha uchumi ni PPP na sio GDP,
US hawausishi biashara ya nyama ya paka, Mbwa na nyoka, kuna wachumi wanatilia shaka pia GDP ya China wanasema iko chini zaidi ya hapo.
 
Wachumi naomba mnisaidie, china now ni manufacturing super power, kuliko marekani. Lakini ukiangalia GDP ya china na marekani aisee gap ni kubwa mnoo.

Kwa tarifa za hivi Sasa US GDP inaenda $30t na china inaenda around $20t. Yaani tofauti ya almost $10t. Hizo data nimezitoa mtandaoni.

Kwa tofauti ata ya $1t ni gap kubwa,,Sasa wachumi nipeni Elimu Marekani anamzidi wapi china hadi GDP yake haishikiki.

Karibu
Uchumi wa marekani umeanza kujengwa zamani. Marekani kawa taifa huru 1776 nadhani China ni 1949. Yofauti ya miaka zaidi ya 150 baadae.

Marekani kwa sasa inazidiwa na China vitu vingi.

Subiri miaka 10 ijayo angalia hiyo GDP difference utashangaa.
 
Back
Top Bottom