Kimwakaleli
JF-Expert Member
- Apr 16, 2018
- 7,425
- 11,268
Hajasema ndugu hawana umuhimu,kuhusu mipango mingi rafiki wanafanikisha pakubwa,huyo anewakataa ni wale mapanga mambo huku mnakula farujohn!Kuna ka ukweli fulani
Hajasema ndugu hawana umuhimu,kuhusu mipango mingi rafiki wanafanikisha pakubwa,huyo anewakataa ni wale mapanga mambo huku mnakula farujohn!Kuna ka ukweli fulani
Mkuu marafiki wameset future za watu wengi sana hivo kusema wanasaidia shida ndogo ndogo ni uongo.ndugu zetu ni marafiki wa watu wengine ko wanawasaidia pia
hata sisi ni ndugu wa nduguzetu ko tuna tabia za kibwege pia
ndugu atabaki kuwa ndugu hasa kwenye nyakati ngumu mno za magonjwa na vifo
marafiki wapo kwa nyakati za raha na vishida vidogo vidogo, wenye husimama na wewe kwenye shida kubwa ni wale marafiki ambao tumesha kuwa ndugu nao.
Umemaliza Kila kitu mkuuNamna bora ya kuishi ni kuwakubali watu kama walivyo, hakuna kulalamika,
Pia usikariri, hata huyo rafik siku moja anaweza akakufanyia madudu ambayo hukutarajia
Kila mtu ni tegemezi ktk maisha kwa namna moja au nyingine hivo haiwezekani kuuepuka utegemezi ktk mzunguko wa maisha.Maisha yako ni jukumu
Upo sahih mkuu coz kila mtu huyatizamo mambo kwa experience yake.Hii inategemea na aina ya ndugu ulionao, kwa mimi binafsi ndugu hawana maana kbs, lkn kwa mwingine ndugu ndio kila kitu...
Jirani kuanzia nyumba 10 upande mashariki, upande magharibi, upande kusini, na upande wa kaskaziniNi kweli mkuu ndio maana hata vitabu vya dini mahala vinasema mpende jirani Yako kama nafasi Yako!
Umenena vyema.sikuiz maji yanaweza kuwa mazito kuliko damu
Pia kwa Ndugu ni hvyohvyo mkuuRafiki hawezi play part zote ktk maisha, bt kwa part wanayoplay wamekua mkombozi kwa wengi.
Ni kweli bt bahati mbaya hatutekelezi.Ni kweli mkuu ndio maana hata vitabu vya dini mahala vinasema mpende jirani Yako kama nafasi Yako!
Upo sahih bt tofauti ni kubwa baina yao.Pia
Pia kwa Ndugu ni hvyohvyo mkuu
Kuna huu mfano nilisimliwa nikiwa mdogo. Kwamba jamaa mmoja alitaka kujua ndugu yake na rafiki nani anaweza kuwa naye wakati wa shida. Hivyo, siku moja alimchinja mbuzi, kisha akamfunika shuka nyeupe. Ilipofika usiku, akaenda kwa rafiki yake, akamwambia "nimeua mtu na naogopa muda wowote naweza kukamatwa." Akamwambia kwamba anamwomba waende kuvuta mwili wa yule aliyeuliwa na kuutupa porini ili polisi wasije wakamhusisha kwamba amemuua mtu. Baada ya kusikiliza simulizi zima, rafiki yake akaona hilo ni kosa la ninai, hivyo akishiriki kuuvuta mwli wa huyo aliyeuliwa kwenda kuuficha porini, mambo yakifichuka naye atakuwa kwenye hatia. Kwa kuona hivyo, akamwambia huyo rafiki yake kwamba huo ni msalaba wake mwenyewe, asimwingize kwenye matatizo maana familia yake inamtegemea. Jamaa baada ya kuona hivyo, akaenda kwa ndugu yake (brother) akasimulia kisa kizima cha kuua kama alivyofanya kwa rafiki yake. Ndugu yake akamwambia hilo ni tatizo kubwa, na kwamba asingeweza kumwacha ndugu yake kwenye tatizo kama hilo alibebe peke yake. Hivyo, alikubali kwenda kumsaidia kubeba maiti kwenda kutupa porini. Walipofika sehemu husika huyo ndugu mtu akafunua shuka na ndugu yake huyu akakuta siyo mtu, bali ni mbuzi. Yule aliyedai kamuua mtu akamwambia "sasa naamini damu ni nzito kuliko maji, na kwamba ndugu yako hawezi kukuacha uingie kwenye matatizo." Ni simulizi linalofikirisha, lakini halitoi jibu linalofanana kwa watu/ndugu wote.Salaam,
Watu wengi ukiwauliza juu ya michongo yao/mafanikio yao, watakuambia walipewa connection/support na marafiki zaidi kuliko ndugu.
Hata post za kazi zikitoka, ni rahisi sana kuona sim za marafiki zikimiminika kukujuza bt ni nadra kuona sim za ndugu.
Mungu wabariki marafiki popote walipo duniani.
Duuuh aiseeeKuna ka ukweli fulani
Very trueMarafiki wanasolve issue za Maokoto subiri uwaze kuharisha utaona Kama kuna rafiki atasifsha uharo wako....🐒
Uongo ,marafiki watakuwepo kama wananufaika au wana mategemeo ya kunufaika na wewe,Salaam,
Watu wengi ukiwauliza juu ya michongo yao/mafanikio yao, watakuambia walipewa connection/support na marafiki zaidi kuliko ndugu.
Hata post za kazi zikitoka, ni rahisi sana kuona sim za marafiki zikimiminika kukujuza bt ni nadra kuona sim za ndugu.
Mungu wabariki marafiki popote walipo duniani.