Nawasalimu kwa Jina la Muungano wa Tanzania!
Samahani, naomba kuwasilisha MAONI kutokana na kuwepo kwa changamoto ya kimtandao kuanzia tarehe 11.05.2024 hadi hivi sasa. Hali ambayo inazua taharuki kwa vijana waliyokidhi vigezo vya kufanya maombi ya nafasi za ajira zilizotangazwa kwenye mfumo wa ajira wa Jeshi la Polisi na websites za Jeshi la Polisi Tanzania.
Kutokana na changamoto hiyo ya kimtandao inayoendelea hadi hivi sasa, imekuwa kikwazo kikubwa kwa vijana dhidi ya kutuma maombi yao kwa wakati kwenye mfumo wa ajira kama ilivyoelekezwa kwenye tangazo la nafasi za ajira hiyo.
Maombi yangu ni kwamba Jeshi la Polisi Tanzania lifikilie namna ya kuongeza siku za kufanya maombi kutokana na kuathiriwa kwa siku za zoezi hilo kwa uwepo wa tatizo hilo la kimfumo wa mtandao. Maana tangazo limetolewa tarehe 09.05.2024 na changamoto ya kimtandao imeanza kujitokeza kuanzia tarehe 11.05.2024 hadi hivi sasa. Huku ikiwa mwisho wa kufanya maombi ni tarehe 16.05.2024.
Hivyo basi, kuna haja ya Jeshi la Polisi Tanzania kulifikiria kwa makini suala la kuongeza muda wa kufanya maombi hayo kutokana na changamoto hiyo.
Naomba kuwasilisha.
Wako katika Ujenzi wa Taifa.
Samahani, naomba kuwasilisha MAONI kutokana na kuwepo kwa changamoto ya kimtandao kuanzia tarehe 11.05.2024 hadi hivi sasa. Hali ambayo inazua taharuki kwa vijana waliyokidhi vigezo vya kufanya maombi ya nafasi za ajira zilizotangazwa kwenye mfumo wa ajira wa Jeshi la Polisi na websites za Jeshi la Polisi Tanzania.
Kutokana na changamoto hiyo ya kimtandao inayoendelea hadi hivi sasa, imekuwa kikwazo kikubwa kwa vijana dhidi ya kutuma maombi yao kwa wakati kwenye mfumo wa ajira kama ilivyoelekezwa kwenye tangazo la nafasi za ajira hiyo.
Maombi yangu ni kwamba Jeshi la Polisi Tanzania lifikilie namna ya kuongeza siku za kufanya maombi kutokana na kuathiriwa kwa siku za zoezi hilo kwa uwepo wa tatizo hilo la kimfumo wa mtandao. Maana tangazo limetolewa tarehe 09.05.2024 na changamoto ya kimtandao imeanza kujitokeza kuanzia tarehe 11.05.2024 hadi hivi sasa. Huku ikiwa mwisho wa kufanya maombi ni tarehe 16.05.2024.
Hivyo basi, kuna haja ya Jeshi la Polisi Tanzania kulifikiria kwa makini suala la kuongeza muda wa kufanya maombi hayo kutokana na changamoto hiyo.
Naomba kuwasilisha.
Wako katika Ujenzi wa Taifa.