Mwenyewe Jizi kubwa, all African presidents are thieves, ndugunisation ( nepotism). Ona anachokifanya Samia kuuza mali za tanganyika kwa ndugu zake uarabuni! yeye Museveni ni bilionea halafu anasema railway, electricity wakati wao ndio wezi wa hela wa misaada na mikopoUzee dawa, Uzee hekima. Maneno ya Rais Museven kwenye mkutani wa viongozi wakuu barani Afrika kuhusu maendeleo.
Msikilize mwenyewe kwenye hiyo video hapo chini.
Bigup sana Museven.
Sidhani kama ni tatizo, inategemea anayekushauri ana mali kiasi ganiUnamwita kijana bar kumshauri aache pombe huku umelewa.
Sidhani kama ni tatizo, inategemea anayekushauri ana mali kiasi ganiUnamwita kijana bar kumshauri aache pombe huku umelewa.
Si tatizo kama hutaki aache pombe ila kama unataka aache hutomwita ukiwa bar.Sidhani kama ni tatizo, inategemea anayekushauri ana mali kiasi gani
Matajiri wengi wanakunywa ajali ya kutafuta usingiziSi tatizo kama hutaki aache pombe ila kama unataka aache hutomwita ukiwa bar.
Hakuna manafiki kama hayo sijui tunawaita 'Partners' why they don't expose these African leaders ambao wanaiba hela na kuweka kwenye mabenki yao huko ughaibuni!!!!!Mwenyewe Jizi kubwa, all African presidents are thieves, ndugunisation ( nepotism). Ona anachokifanya Samia kuuza mali za tanganyika kwa ndugu zake uarabuni! yeye Museveni ni bilionea halafu anasema railway, electricity wakati wao ndio wezi wa hela wa misaada na mikopo
Dictator hata awe na ushauri mzuri namna gani ushauri wake unakuwa hauna tija.Uzee dawa, Uzee hekima. Maneno ya Rais Museven kwenye mkutani wa viongozi wakuu barani Afrika kuhusu maendeleo.
Msikilize mwenyewe kwenye hiyo video hapo chini.
Bigup sana Museven.
Mseveni huyu huyu anayeweka familia yake kwenye uongozi na kufanya Uganda kuwa mali ya familia yake.Mzee Mseveni amesema maneno makubwa sana naamini kama tungekuwa na watu wenye uchungu na nchi hii kwa hayo maneno kwa kweli tungefika mbali sana.
Tatizo letu kwa sasa tumekosa wasaidia watu kwa uchungu wa ndani ili tunao watu wamejaa kusaka uteuzi tu.
Ni huyu huyu angalau amesema ukweli ambao hauishi. Mimi nimechukua maneno yake na sio yeye kuyaishi hayo maneno.Mseveni huyu huyu anayeweka familia yake kwenye uongozi na kufanya Uganda kuwa mali ya familia yake.
Sawa.Ni huyu huyu angalau amesema ukweli ambao hauishi. Mimi nimechukua maneno yake na sio yeye kuyaishi hayo maneno.
Hahaah, Kweli.Matajiri wengi wanakunywa ajali ya kutafuta usingizi
Ndio maana kasema yeye anahitaji social transformation, yaani akitawala yeye basi na wanae watawale, sio kuwa badae wawe wagingea bia barMseveni huyu huyu anayeweka familia yake kwenye uongozi na kufanya Uganda kuwa mali ya familia yake.
Pombe inauzwa ghali kuliko soda kwa sababu gani?Hahaah, Kweli.