Mambo gani muhimu ya kuzingatia katika ujenzi wa Hoteli kubwa ya nyota Tano( FiveStars Hotel)?

Aigle

JF-Expert Member
Jul 4, 2020
849
6,490
Habarini wakuu

Naomba tushirikishane kwa kutoa mawazo na maoni mbalimbali haswa kwa wenye ufahamu kuhusu hoteli za nyota tano, na pia wajenzi na wakandarasi ambao wana uzoefu wa kujenga majengo makubwa kama hoteli za nyota tano.

Mdau anataka kujenga hotel kubwa ya nyota tano, hapa nchini haswa katika mikoa ya Dar es Salaam na Arusha, je ni mambo yapi ya muhimu ya kuzingatia?

Kama mtaji hadi kukamilika, je kipi bora tenda akipewa mtanzania au mchina katika ujenzi, je hadi hoteli kuitwa ni ya NYOTA TANO inatakiwa kua na vigezo gani? Je kiwanja chenye ukubwa gani kinahitajika ama kinaweza faa kwa hio project?

Karibuni.
 
Habarini wakuu

Naomba tushirikishane kwa kutoa mawazo na maoni mbalimbali haswa kwa wenye ufahamu kuhusu hoteli za nyota tano, na pia wajenzi na wakandarasi ambao wana uzoefu wa kujenga majengo makubwa kama hoteli za nyota tano.

Mdau anataka kujenga hotel kubwa ya nyota tano, hapa nchini haswa katika mikoa ya Dar es Salaam na Arusha, je ni mambo yapi ya muhimu ya kuzingatia? Kama mtaji hadi kukamilika, je kipi bora tenda akipewa mtanzania au mchina katika ujenzi, je hadi hoteli kuitwa ni ya NYOTA TANO inatakiwa kua na vigezo gani? Je kiwanja chenye ukubwa gani kinahitajika ama kinaweza faa kwa hio project?

Karibuni.
DM kama uko serious
 
Habarini wakuu

Naomba tushirikishane kwa kutoa mawazo na maoni mbalimbali haswa kwa wenye ufahamu kuhusu hoteli za nyota tano, na pia wajenzi na wakandarasi ambao wana uzoefu wa kujenga majengo makubwa kama hoteli za nyota tano.

Mdau anataka kujenga hotel kubwa ya nyota tano, hapa nchini haswa katika mikoa ya Dar es Salaam na Arusha, je ni mambo yapi ya muhimu ya kuzingatia? Kama mtaji hadi kukamilika, je kipi bora tenda akipewa mtanzania au mchina katika ujenzi, je hadi hoteli kuitwa ni ya NYOTA TANO inatakiwa kua na vigezo gani? Je kiwanja chenye ukubwa gani kinahitajika ama kinaweza faa kwa hio project?

Karibuni.
Uwekezaji wa 5 star hotel sio wa kitoto

Sina hakika kama jamaa yako ataweza kumudu gharama sababu hotel nyingi za nyota 5 ni za wabia,


Mfano hapa mwanza ipo moja inajengwa mitaa ya capripoint inatarajiwa kuzinduliwa mwezi wa 6 hotel hii imejengwa na mfuko wa hifadhi ya jamii nssf gharama waliyotumia ni BILION 96

Ni gorofa 16 tu lakin gharama iliyotumika imechangamka kwel kwel

Hotel hii juu kabisa wamejenga parking ya helkopta

Kwahiyo ndio hivyo ndugu yangu maranyingi uwekezaji wa 5star hotel sio wa mtu/ mfanya biashara 1

Kitu kingine unachotakiwa kufaham 5 star hotel nyingi wanaoendesha sio wabongo

Kinachofanyika ukishajenga unatafuta mwekezaji sasa maranyingi huwa wanakuwa mataifa ya kigen hiyo hapo attachment ya hiyo hotel ambayo mpaka hapo imegharim bilion 96
 

Attachments

  • JENGO_REFU_KULIKO_YOTE_MWANZA(720p).mp4
    43.5 MB
Uwekezaji wa 5 star hotel sio wa kitoto

Sina hakika kama jamaa yako ataweza kumudu gharama sababu hotel nyingi za nyota 5 ni za wabia,


Mfano hapa mwanza ipo moja inajengwa mitaa ya capripoint inatarajiwa kuzinduliwa mwezi wa 6 hotel hii imejengwa na mfuko wa hifadhi ya jamii nssf gharama waliyotumia ni BILION 96

Ni gorofa 16 tu lakin gharama iliyotumika imechangamka kwel kwel

Hotel hii juu kabisa wamejenga parking ya helkopta

Kwahiyo ndio hivyo ndugu yangu maranyingi uwekezaji wa 5star hotel sio wa mtu/ mfanya biashara 1

Kitu kingine unachotakiwa kufaham 5 star hotel nyingi wanaoendesha sio wabongo

Kinachofanyika ukishajenga unatafuta mwekezaji sasa maranyingi huwa wanakuwa mataifa ya kigen hiyo hapo attachment ya hiyo hotel ambayo mpaka hapo imegharim bilion 96
Walau wewe umetoa mwanga mkuu, Achana na hao wanaosema "Inbox me"
 
Habarini wakuu

Naomba tushirikishane kwa kutoa mawazo na maoni mbalimbali haswa kwa wenye ufahamu kuhusu hoteli za nyota tano, na pia wajenzi na wakandarasi ambao wana uzoefu wa kujenga majengo makubwa kama hoteli za nyota tano.

Mdau anataka kujenga hotel kubwa ya nyota tano, hapa nchini haswa katika mikoa ya Dar es Salaam na Arusha, je ni mambo yapi ya muhimu ya kuzingatia?

Kama mtaji hadi kukamilika, je kipi bora tenda akipewa mtanzania au mchina katika ujenzi, je hadi hoteli kuitwa ni ya NYOTA TANO inatakiwa kua na vigezo gani? Je kiwanja chenye ukubwa gani kinahitajika ama kinaweza faa kwa hio project?

Karibuni.
Nimeweka attachment ya 5star hotel inayojengwa mwanza, kwenye hiyo attachment wanasema jengo limeanza kujengwa 2013 na litakamilika 2017

Lakin mpaka leo hii 2024 jengo bado halijakamilika yaan ndio lipo kwenye hatua ya mwisho kabisa ambapo inasemekana mwezi wa 6 mwaka huu ndio linazinduliwa rasmi
 
Uwekezaji wa 5 star hotel sio wa kitoto

Sina hakika kama jamaa yako ataweza kumudu gharama sababu hotel nyingi za nyota 5 ni za wabia,


Mfano hapa mwanza ipo moja inajengwa mitaa ya capripoint inatarajiwa kuzinduliwa mwezi wa 6 hotel hii imejengwa na mfuko wa hifadhi ya jamii nssf gharama waliyotumia ni BILION 96

Ni gorofa 16 tu lakin gharama iliyotumika imechangamka kwel kwel

Hotel hii juu kabisa wamejenga parking ya helkopta

Kwahiyo ndio hivyo ndugu yangu maranyingi uwekezaji wa 5star hotel sio wa mtu/ mfanya biashara 1

Kitu kingine unachotakiwa kufaham 5 star hotel nyingi wanaoendesha sio wabongo

Kinachofanyika ukishajenga unatafuta mwekezaji sasa maranyingi huwa wanakuwa mataifa ya kigen hiyo hapo attachment ya hiyo hotel ambayo mpaka hapo imegharim bilion 96
Asante mkuu kuna jambo umenifungua akili.
 
Nimeweka attachment ya 5star hotel inayojengwa mwanza, kwenye hiyo attachment wanasema jengo limeanza kujengwa 2013 na litakamilika 2017

Lakin mpaka leo hii 2024 jengo bado halijakamilika yaan ndio lipo kwenye hatua ya mwisho kabisa ambapo inasemekana mwezi wa 6 mwaka huu ndio linazinduliwa rasmi
Pengine ni kwanini imechukua muda mrefu mkuu..? Ni fedha ama sababu zingine
 
Nenda Zanzibar, jenga angalau ya 4* unapiga pesa utakavyo... ila usiogope kutumia pesa kwenye uwekezaji wa hoteli... Uendeshaji wake ni gharama

Services zake zinatakiwa ziwe na standard za kimataifa,

Zingatia kuendesha hotel kwa vitengo (HRM, Front Office, Reservation Department, F&B, HK, Maintenance Department, Store and Supply) hii inasaidia kuiweka hotel katika standard hasa kiutendaji

Facilities za muhimu zote ziwepo, na kwa uhakika...

Jiko lako liwe la kimataifa, mara nyingi linakuwa na categories... Hot kitchen, Butcher, Salad, Pastry, preparation room, na kadhalika

Store zinatakiwa ziwe vyema haswaa, separately... Dry goods store (za jikoni kivyake na nyinginezo(cleaning materials) kivyake), store kwaajili ya vitu vya sokoni (matunda na mbogamboga), ((store kwaajili ya nyama nyekundu, na store kwaajili ya seafoods (cold rooms))

Bar and Restaurant yakutosheleza zenye nafasi, kama una eneo kubwa muhimu ukawa na restaurant na bar zaidi ya moja

Swimming pools, na facilities kadhaa kwa ajili ya entertainment kwa wakubwa na watoto

Rooms categories ziendane na standard za kimataifa

Iwe ni Eco friendly,

Yapo mengi, si kazi ndogo kuifanya hotel iwe 5*

Hakikisha uwe na pesa haswaa
 
Habarini wakuu

Naomba tushirikishane kwa kutoa mawazo na maoni mbalimbali haswa kwa wenye ufahamu kuhusu hoteli za nyota tano, na pia wajenzi na wakandarasi ambao wana uzoefu wa kujenga majengo makubwa kama hoteli za nyota tano.

Mdau anataka kujenga hotel kubwa ya nyota tano, hapa nchini haswa katika mikoa ya Dar es Salaam na Arusha, je ni mambo yapi ya muhimu ya kuzingatia?

Kama mtaji hadi kukamilika, je kipi bora tenda akipewa mtanzania au mchina katika ujenzi, je hadi hoteli kuitwa ni ya NYOTA TANO inatakiwa kua na vigezo gani? Je kiwanja chenye ukubwa gani kinahitajika ama kinaweza faa kwa hio project?

Karibuni.
Hayupo serious huyo,

Project kubwa kama hiyo huwezi kutaka kufahamu kupitia JF


Huyo ana hela za kuhonga tu achana naye
 
Nenda Zanzibar, jenga angalau ya 4* unapiga pesa utakavyo... ila usiogope kutumia pesa kwenye uwekezaji wa hoteli... Uendeshaji wake ni gharama

Services zake zinatakiwa ziwe na standard za kimataifa,

Zingatia kuendesha hotel kwa vitengo (HRM, Front Office, Reservation Department, F&B, HK, Maintenance Department, Store and Supply) hii inasaidia kuiweka hotel katika standard hasa kiutendaji

Facilities za muhimu zote ziwepo, na kwa uhakika...

Jiko lako liwe la kimataifa, mara nyingi linakuwa na categories... Hot kitchen, Butcher, Salad, Pastry, preparation room, na kadhalika

Store zinatakiwa ziwe vyema haswaa, separately... Dry goods store (za jikoni kivyake na nyinginezo(cleaning materials) kivyake), store kwaajili ya vitu vya sokoni (matunda na mbogamboga), ((store kwaajili ya nyama nyekundu, na store kwaajili ya seafoods (cold rooms))

Bar and Restaurant yakutosheleza zenye nafasi, kama una eneo kubwa muhimu ukawa na restaurant na bar zaidi ya moja

Swimming pools, na facilities kadhaa kwa ajili ya entertainment kwa wakubwa na watoto

Rooms categories ziendane na standard za kimataifa

Iwe ni Eco friendly,

Yapo mengi, si kazi ndogo kuifanya hotel iwe 5*

Hakikisha uwe na pesa haswaa
Shukran mkuu
 
Habarini wakuu

Naomba tushirikishane kwa kutoa mawazo na maoni mbalimbali haswa kwa wenye ufahamu kuhusu hoteli za nyota tano, na pia wajenzi na wakandarasi ambao wana uzoefu wa kujenga majengo makubwa kama hoteli za nyota tano.

Mdau anataka kujenga hotel kubwa ya nyota tano, hapa nchini haswa katika mikoa ya Dar es Salaam na Arusha, je ni mambo yapi ya muhimu ya kuzingatia?

Kama mtaji hadi kukamilika, je kipi bora tenda akipewa mtanzania au mchina katika ujenzi, je hadi hoteli kuitwa ni ya NYOTA TANO inatakiwa kua na vigezo gani? Je kiwanja chenye ukubwa gani kinahitajika ama kinaweza faa kwa hio project?

Karibuni.
Yaani mtu unataka kujenga nyota 5 halafu hujui pa kuanzia. Mko serious kweli? Huyo jamaa anajua maana ya nyota kwenye hotel? Labda tuanzie hapo.
 
Back
Top Bottom