Mama Wema Sepetu na kauli za Edward Lowassa!

Mambo ya viwanda utapata kwenye jukwaa la Biashara na Uchumi. Hili ni jukwaa la siasa.

Kama unataka mambo ya viwanda, ingia hapa;

LINK Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

By the way, Kama ungekuwa unanipuuza wala usingepoteza muda wako kusoma na kutoa komenti.
Povu la nini, mtoa comment kalingalisha kama ulivyo sema ww kuwa mama wema kawadanganya Chadema, na sis tumedanganywa na rais wako kuwa kuna nchi ya viwanda, rejea kauli ya Nyerere
 
Mambo ya viwanda utapata kwenye jukwaa la Biashara na Uchumi. Hili ni jukwaa la siasa.

Kama unataka mambo ya viwanda, ingia hapa;

LINK Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

By the way, Kama ungekuwa unanipuuza wala usingepoteza muda wako kusoma na kutoa komenti.

Kwani nani, aliyekushtua, uchumi na viwanda, sio sehemu kubwa ya maongezi ya siasa ulimwenguni?

Hii inaonyesha ufahamu mdogo wa ulichokikalia, leo unatuongelea personnel choices za Mtu unatuambia ni siasa, ya muhimu unayakimbia, sasa wewe team wema au ?

Tanzania politics gone Stupid, ndio haya , unashangaa ya Musa, ya firauni ni poa tu!
 
Well kwahiyo umepanic Wema kukimbia chama chenu? Kama hawana lolote ni kwa nini usiwapuuze tu?

Au unadhani jukwaa hili ni la porojo? Hebu nenda wewe Instagram funguwa page tuje tukukaguwe utapata wafuasi wangapi na Wema ana wafuasi wangapi.

Hilo lichama lenu mngekuwa na akili timamu JK angebakia kuwa mwenyekiti na huyu mungu wetu abaki tu kuwa mfalme lakini tatizo hamna maono, mpuuzi mmoja tu ambaye majina na elimu yake ni mashaka matupu anawagharimu na bado mnakenuwa meno tu jinga kabisa wewe.
Leo unataka JK abakie kuwa Mwenyekiti wa CCM?

Tatizo la watu kama wewe huwa hata hamkumbuki mlichokisema leo achilia mbali jana. Huwezi hata kukumbuka kuwa kuna chaguzi za marudio za Madiwani na Ubunge zilifanyika tarehe 22 January 2017 ambapo CCM ilishinda kata 19 na ubunge kati ya Kata 20.

Mbaya zaidi, kwa akili zako unadhani CCM niya kupanic kwa sababu Mama Wema amesema ana wafuasi 5,000.

Kwa hiyo kwa akili yako kiduchu wale wote ambao ni wafuasi wake kwenye instagram walikuwa ni CCM na walipiga kura kwa wagombea wa CCM.
 
Kwanza lazima uelewe kura ni siri ya mtu. Huwezi kuanza kuhesabu kura kwa kutumia hisia. Ni Chimbi pekee anayejua kura yake alimpigia nani.

Pili, Nani amekuambia kama kuwa nyuma ya mtu lazima uchukue kadi ya chama.

Kwa hiyo unakubali kuwa Mama Wema ana kundi la watu 5,000 litamfata CHADEMA?
Endelea kumbwela mbwela hivyo hivyo!! Sasa kama huamini nini kimekufanya uache shughuli zako na kuleta threads dhidi yake badala ya kumpuuza?!!

Kwa kawaida, mambo yasiyo na effect huwa yanapuuzwa kwa sababu ni wastage of time kuongelea jambo lisilo na effect yoyote!!!

Btw, ikiwa umeshindwa kuiona hata effect ya Lowassa kwa sababu tu hakuhama na hiyo idadi ya wabunge na wengine uliowataja then sidhani kama unaweza kuona mambo kwa uhalisia wake!

Umeshindwa kuona kwamba ingawaje hakuhama na hao uliowataja lakini kwa mara ya kwanza CCM walishindwa kufika angalau 60% ya kura wakati Lowasa alienda CHADEMA only 3 months before!!! Pamoja na kwamba alikuwa very vulnerable to political attacks kutokana scandal zake lakini bado aliwanyima usingizi CCM hadi siku matokeo yanatangazwa!!!

Sasa kama umeshindwa kuona vitu vyepesi namna hiyo sidhani kama unaweza kuona yaliyojificha!!!!
 
mie nafurahia mabadiliko ya upepo wa kisiasa humu jf na out there on the field!
siasa dume zilishaanza nikera na kuniboa!
ilikuwa kila siku ni:magufuli!makonda!mbowe!lissu!lowasa!
bora wema kaleta upepo mpya wa siasa jike na za kimama!
a feeling of female touch and aura was highly missing in our politics!
thanks,wema for bringing it!
ccm tujipange kwa hili!
huu ndio utamu wa siasa!
nasi turecruit a female diva of wema's calibre!
lowasa v magufuli!
polepole v mashinji
lissu v mwakyembe?
wema v ?
 
LOWASSA alihama na zaidi ya idadi ya viongozi aliowataja...............kura mil 6+ .......si kidogo.
mpaka sasa bado wapo ingawa hawako wazi ...................mtifuano unaooendelea ndani ya CCM ni matokeo ya mtandao wa EL ndani ya chama hicho.
tunaojua siasa tunaelewa alichokisema Mama Wema
 
Ni mjinga tu asiyeelewa impact yake!Kuna watu ambao hata siasa hawafatilii,wao wanamchukulia wema kama role model wao,wata mfuata tu huko aliko!Ukiacha mbwembwe,ukatumia akili then utaelewa hoja hii!
Mkuu;
Impact ni hisia tu ambayo inaweza kuwa understated or overstated.

Impact ya Wema na Mama Wema inakuwa overstated kama unaifahamu vizuri CCM.
 
Hesabu rahisi na a clever guess, Wema kahamia kwa ajili ya kesi yake. Kwanini hakuhama kabla ya kutajwa? Pia perception ya wakili wake anaonekana ana clout ya kuwabwaga mawakili wa Serikali. Kwani mawakili / judges ndio CCM? Naona picha ya disappointment. Time will tell!
 
Kwani wewe ni mwanachadema?
Mbowe alisema lowasa anakuja na wana CCM milioni mbili Na God bless lema akasema Chadema imeagiza makontaina ya kadi za Chadema kutoka China za kuwapa Hao mamilioni ya wana CCM waohama.CHa ajabu waliufyata hawaongelei tena kontaina zimewadodea Kwa matumaini hewa waliyopewa Na lowasa
 
Well kwahiyo umepanic Wema kukimbia chama chenu? Kama hawana lolote ni kwa nini usiwapuuze tu?

Au unadhani jukwaa hili ni la porojo? Hebu nenda wewe Instagram funguwa page tuje tukukaguwe utapata wafuasi wangapi na Wema ana wafuasi wangapi.

Hilo lichama lenu mngekuwa na akili timamu JK angebakia kuwa mwenyekiti na huyu mungu wetu abaki tu kuwa mfalme lakini tatizo hamna maono, mpuuzi mmoja tu ambaye majina na elimu yake ni mashaka matupu anawagharimu na bado mnakenuwa meno tu jinga kabisa wewe.
Mkuu Usipende kuongea ongea ukweli bana.
 
Tokea lini CCM wakaitakia mema CDM? akunwe binti ndani uanze kulia wewe jirani aise kuwa CCM lazima uwe na akili za kichatochato
Mkuu;
Nani alikuambia kuongelea siasa ni kukitakia mema au mabaya chama fulani.

Hoja yangu imejikita kwenye mantiki ya maneno ya Mama Wema ambayo ukiyachanganua utagundua ni porojo na uwongo.
 
Hesabu rahisi na a clever guess, Wema kahamia kwa ajili ya kesi yake. Kwanini hakuhama kabla ya kutajwa? Pia perception ya wakili wake anaonekana ana clout ya kuwabwaga mawakili wa Serikali. Kwani mawakili / judges ndio CCM? Naona picha ya disappointment. Time will tell!
Mjanja wema kaona akiwa CCM hiyo kesi itabidi amlipe Tundu lisu hela zake Kwa kuhamia Chadema chama ndicho kitamlipa Lisu .Yeye hatoi hata shilingi
 
Povu la nini, mtoa comment kalingalisha kama ulivyo sema ww kuwa mama wema kawadanganya Chadema, na sis tumedanganywa na rais wako kuwa kuna nchi ya viwanda, rejea kauli ya Nyerere
Kwani Rais alikuambia kutakuwa ni viwanda ndani ya mwaka mmoja?

Hufahamu kama ahadi yake anatakiwa atimize ndani ya miaka mitano?

Maswali mengine hata mtoto wa darasa la nne hawezi kuuliza!
 
Back
Top Bottom