Mama Salma Kikwete na Dr Lilian Mbowe; Mlinganisho wa maswali na majibu waliyoulizwa

Pamoja na kuwa ni maswali tofauti, lakini mtu unaweza kujua uwezo wa kufikiri na upeo wa mtu kutokana na jinsi alivyojibu swali

naona mleta thread hii ndio ana-IQ ndogo,wacha kutaka kmsakama mama wa wat kajib maswali vizuri tu,halaf IQ test inapimwa kwa watu kujibu maswali ya aina moja na unayalinganisha majibu yao,hapa wameulizwa maswali tofauti hivyo hakuna unachopima hapa,halafu labda nikfahamishe IQ test si kipimo kizuri mana mtu anaweza kujibu maswali ktokana na elimu ake aliyesomea mfano,mtu aliesomea sayansi anauwezo mkubwa wa kufaulu iq test sabab inahusisha sana mahesabu kuliko yule aliyesomea political sayansi.mama salma kajibu vizuri na kwa wazi kshinda hata labda mrs.mbowe angejibu maswali hayo hayo.
 
Sina uhakika kama Salma Kikwete amefika form four. Vinginevyo asingekuwa mwalimu wa UPE. Nashangaa kwanini anapoteza muda kwenye siasa badala ya kujiongezea kisomo. Au naye anangoja kupewa udaktari wa aibu kama mumewe ili autumie?

Hata kama ni chuki, jaribuni kuwa objective kidogo. Kwani tangu lini mtu akasoma certificate ya ualimu bila kumaliza kidato cha nne? Hiyo ni njia ya kawaida ya kupitia, angalia Dr. Kadeghe wa UDSM alipoanzia ni huko, Rweikiza mmiliki wa St. AnnieMaria na mbunge wa Bukoba vijijini naye alianzia huko.
 
This is a joke mlinganisho wa mtu mwenye Masters tena ya udaktari na mwalimu wa UPE! Huoni huyo wa UPE kaambiwa ajieleze tu historia yake! sasa unafikiri angeulizwa nini zaidi! Ritz si uonevu huu!

Mkuu naona unajisahau, hebu linganisha elimu za waume zao, ya Mbowe (form 6) na elimu ya JK (degree), nadhani this is more worse!
 
don-oba hapa huwezi kulinganisha maswali na majibu hayo hata kidogo. Mwalimu kwa kawaida anatoa mitihani inafanana halafu pale ndipo anampima mwanafunzi kipanga na wale butu!!!! Kwa mantiki hii swali la first lady na Dr. Lilian Mbowe are two poles of a magnet (N and S), though they attract each other but N remains N and S remains S!!! Ukitaka kupima theni wote waulizwe maswali ya first lady na yale ya Dr. Mbowe halafu tudadavue majibu yao. Japo pia answers are subjective which also give subjective discussion!!!
 
Binafsi nimeridhishwa na kufurahishwa na majibu ya First Lady nimefahamu historia yake. Sioni mantiki ya kuwalinganisha. Na kama ni mafanikio ya kupigana toka chini hadi kufanikiwa basi mnaona first lady ndo kafanikiwa.
 
Huwezi kuwalinganisha hawa watu wawili kwa sababu kwanza maswali yao ni tofauti kabisa na pili kiwango chao cha elimu ni tofauti sana. Mmoja msomi na mwingine ni wa kawaida sana. Si haki kuwalinganisha.
 
Mkuu naona unajisahau, hebu linganisha elimu za waume zao, ya Mbowe (form 6) na elimu ya JK (degree), nadhani this is more worse!

Mjimpya mkuu nani kakuambia Mbowe ni Form vi? He has more than that. Do your research!!! But hata kama ana elimu ndogo kuliko mume wake but he is intelligent kimaisha!!! Wasomi wote si waliofanikiwa kimaisha!! Wengine ni hoi bin taaban!!! Pia form Six na kidato cha nne cha UPE ni tofauti!! Cannot be compared!!!!
 
Unafananisha mwalimu na muuza bar?

Inatia moyo kama muuza bar anaweza kujiendeleza mpaka ngazi ya udoctor,inasikitisha mwalimu kushindwa kujiendeleza na kubaki kuwa mwl wa UPE,kazi kuzaa tu kama simbilisi.
Domy, kuweka rekodi vizuri Lillian amefanya kurejea kwenye Bishara za familia yao baada ya Kamanda kuwa totaly occupied na CHAMA masaa yote na biashara kuonkena zita yumba ... Dr hakuanzia kwenye biashara za famili na kujiendeleza kuwa Medical Doctor la hasha yeye amefanya kuja ku take care ...

Zaidi , nyie mnasikia tu ... Hepu tafuta CV ya Dr Lillin Mtei uone kama hata utafungua mdomo kumuita haya maneno ... Ni best IQ of this nation ... Hebu nenda nyuma zaidi ulizia form 4 yake aliifalu kwa rangi gani... hilo vumbi kama kuna Mtanzania aliweza hata kumkaribia ...

Kure resign kwenye kazi za MD na projects alizokuwa anafanya ambazo ni za kiwango cha juu sana ... Ni kwa ajili ya Familia yake na kumuwezasha Kamanada Freeman Kutumikia Jamii Ya Kitanzania kwa namna ambayo kila mtu anaona matunda yake!!

Many respect to Dr Lillian kwa kuwa nyuma ya Freeman na kumpa CONFIDENCE ya kusimamia vema Projects za familia na kumuwezesha Kamanda Kuwa Focused na Chama!!!
 
Last edited by a moderator:
Mkuu naona unajisahau, hebu linganisha elimu za waume zao, ya Mbowe (form 6) na elimu ya JK (degree), nadhani this is more worse!

Mkuu uwezo wa kufikiri kisomi wa Mbowe huwezi kumlinganisha na baba Mwanaasha(baba Mwanaasha kama Tabwe Hiza tu) alafu kuhusu elimu ni maarifa na si cheti kama ingekuwa cheti kwa Rais huyu mchumi basi uchumi wetu ungepaa kuliko wakati wowote! Lakini huyu mchumi mwenye cheti kafunikwa na Mwandishi wa habari Mkapa!!!!!!
 
MAMA SALMA ; source first Lady Salma Kikwete | darhotwire

Swali: Ni ipi historia fupi ya maisha yako?
Jibu: Mimi naitwa Salma Rashid. Nilizaliwa katika wilaya ya Lindi Mjini, Novemba 30, 1963. Baba yangu anaitwa Rashid Yussuf Mkwachu na mama yangu ni Mwanapaza binti Shariff.

Kwa asili, baba yangu anatoka Sarai, Rufiji mkoani Pwani na mama yangu anatoka Lindi.
Katika familia yetu, upande wa mama, tulizaliwa watoto saba, wasichana watatu na wavulana wanne. Mimi ni wa sita, ila kwa baba ni wa pili, nina kaka yangu na mdogo wangu. Nina wadogo zangu wengine watatu ambao tunachangia baba, kati yao wavulana ni wawili na msichana mmoja.
Baba yangu alikuwa mfanyakazi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki iliyovunjika mwaka 1977 na kituo chake cha kazi kilikuwa Mtwara, wakati baba anafanya kazi, mama alibaki Lindi, hali ambayo ilinifanya nipate elimu yangu ya msingi kuanzia mwaka 1973 katika shule nne tofauti; Nnaida ya Mikindani, Mtwara, Rahaleo ya Lindi, Ligula (Mtwara) na Stadium, Lindi ambapo nilimalizia elimu yangu ya msingi.
Ingawa wakati ule nafasi za kujiunga na sekondari zilikuwa chache, namshukuru Mwenyezi Mungu nilikuwa miongoni mwa waliochaguliwa.
Swali: Wewe unatoka Lindi na Mheshimiwa Rais anatoka Pwani, mlikutana wapi na mlifunga ndoa lini? Jibu: Kila jambo hupangwa na Mwenyezi Mungu. Nilikutana na mume wangu mwaka 1985 nikiwa katika Chuo cha Ualimu Nachingwea, yeye akiwa ni Katibu wa CCM wa Wilaya ya Nachingwea.

Tulipokutana kwa mara ya kwanza kitu ambacho aliniambia ni kwamba nakupenda na nataka nikuoe kusema kweli hakusema anataka awe rafiki yangu au vipi, sijui kama huo ndio utaratibu wa kina baba wote, lakini nasema kutoka moyoni, hicho ndicho alichoniambia na mimi kwa sababu nilimpenda, nilimkubalia, ingawa uamuzi wangu sikuutoa papo hapo.
Tulifunga ndoa Machi 30, 1989 wakati huo yeye akiwa Naibu Waziri wa Maji, Nishati na Madini. Swali: Baada ya kufunga ndoa ikawaje? Jibu: Baada ya kufunga ndoa nilifanya taratibu za uhamisho kwa mujibu wa taratibu za kikazi.
Kwa hiyo nilihamia Dar es Salaam ambapo niliungana na mume wangu na tukawa tunakaa Mikocheni mtaa wa Ursino.
Swali: Katika miaka yenu hii 20 ya ndoa mmejaaliwa kupata watoto wangapi na wako wapi?
Jibu: Tunamshukuru Mwenyezi Mungu tumejaaliwa watoto watano kati yao wanne ni wa kiume na mmoja wa kike. Wote wanasoma, wa kwanza yuko kidato cha sita, wa pili cha nne, wa tatu cha pili, wa nne yuko darasa la tano na wa mwisho yuko darasa la tatu.

Lakini kwa ujumla tuna watoto wanane, ikiwa ni pamoja na watatu ambao mume wangu alipata na mke wake wa kwanza.

Hawa wakubwa mmoja ni mwanasheria, mwingine ni daktari na mwingine ni mtaalamu wa Teknohama (Teknolojia ya Habari na Mawasiliano).

Ila siku zote napenda kusema tuna watoto wanane kwa sababu hata hawa wakubwa nimewalea mimi tangu wakiwa na umri mdogo sana. Kwa hiyo hawa ni watoto wangu sawa sawa na hawa niliowazaa mimi.

Swali: Una mipango gani ya baadaye?

Jibu: Kwa jumla mipango yetu katika taasisi ya WAMA ni mikubwa sana. Sasa ndio tumeanza, tuna shule moja tu, lakini tunatarajia kuongeza shule nyingi zaidi katika maeneo tuliyoyakusudia kwa sababu watoto wanaohitaji msaada wako wengi sana.



DR LILIAN MBOWEsource-https://www.jamiiforums.com/habari-na-hoja-mchanganyiko/329499-dr-lilian-mbowe-interview-alofanya-na-kipindi-cha-wanawake-live-eatumanne.html

Aliulizwa yeye ni mke wa mtu mwenye nafasi kubwa katika jamii (kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani bungeni, ndugu Aikael Mbowe), wana mali na maisha mazuri inakuwaje anachapa kazi kwa bidii?


Mimi ni mwanamke msomi wa degree na masters ya udaktari, nimelelewa katika mantiki ya kujijenga mimi kama mimi na nisitegemee mtu mwingine. Mimi kuolewa na mwanaume mwenye fursa ktk jamii siyo tija na kuna kitu ktk roho yangu kinachoniambia lazima nifanye kazi.Siamini katika mantiki ya kula kulala, hata kama pesa ipo lazima mtu ufanye kazi fulani kusudi uweze kuijenga ile pesa, kuingiza kipato na kujua kinachotokea.Kama ningekuwa amelala nyumbani sifanyi kitu chochote,tatizo laweza tokea, kuna leo na kesho.Leo niko na mume wangu kesho na kesho kutwa siko naye .Sasa baada ya hapo nitakwenda wapi? Au baada ya hapo nitafanya nini?

Je wanawake tegemezi wapo?

Kadri siku zinavyo kwenda kina mama nao wanaanza kujipatia kipato. Kuna kupewa lakini kupewa huko kuna mwisho wake.Kadri siku zinavyo kwenda zana ya mama wa nyumbani inatoweka, /inapungua kwa kina mama wengi.Lakini bado wako wengine wanapenda maisha ya kufurahia mali na position /kazi za waume zao na kutake advantage.

Unawaambia nini wanawake wategemezi?
Wawe waangalifu,kazi za watu zinapanda na kushuka, biashara nazo zinacollapse zinaisha,kuna kuchukuliwa na mwenyezi Mungu ghafla tu,sasa mama kama hujasimama na miguu yako miwili unaweza kupata shida sana.

Ushauri kwa wanaume wanaodekeza wake zao;
Sidhani kama ni vizuri kudekeza mwanamke,kuna dini na mila zisemazo kwamba mwanaume ndo anatunza mwanamke lakini kwa karne hii ya 21 sidhani kama twaweza kuendelea kushikilia mila za zamani za kusema mwanamke tu atunzwe.Kwajinsi maisha yanavyokwenda na baadhi ya mambo kubadilika, wanaume wengi wanaona nikiondoka leo, au nikimpa talaka huyu mwanamke anaweza akapata shida, hivyo kama unampenda mwenzio, nashauri kinababa wajaribu kusukuma kina mama wajaribu kufanya kitu chochote cha kujiendeleza, badala ya kuwadekeza sana na wao kubakia wanashughulikia kila kitu.

Anasema ana bahati mumewe siyo wa aina ile ya wanaume kudekeza wanawake na kuwaacha wakae tu idle, while wao wakiprovide kila kitu.Ana mume ambaye naye ndiye anayemsukuma na anamwambia kwamba lazima uwe na maisha yako lazima uwe na vitu vyako, lazima ujijenge. Anasema Kama siku hizi huwa wanagombana maana anamwambia lazima aende akasomee MBA, ukizingatia she is a doctor by profession, lakini sasa anashughulika na family business so mumewe anamsukuma asome zaidi hataki abaki hapo alipo anamshawishi achukue MBA ili aweze kufanya biashara vizuri.
nilichojifunza hapa ni mke wa mbowe kuonyesha misifa mara mimi ni mwananmke msomi mwenye masters wakati hata hajaulizwa. halafu sote tunajua yeye ni zao la mtei-former bot governor, sasa watoto kutoka hizi familia mbili tofauti kiuchumi unazilinganishaje? kwa vyovyote lilian atakuwa na advantage kuliko salma. who knows baba yake salma alikuwa anafanyakazi gani huko EAC? pengine alikuwa dereva. generally this is poor comparison
 
MAMA SALMA ; source first Lady Salma Kikwete | darhotwire

Swali: Ni ipi historia fupi ya maisha yako?
Jibu: Mimi naitwa Salma Rashid. Nilizaliwa katika wilaya ya Lindi Mjini, Novemba 30, 1963. Baba yangu anaitwa Rashid Yussuf Mkwachu na mama yangu ni Mwanapaza binti Shariff.

Kwa asili, baba yangu anatoka Sarai, Rufiji mkoani Pwani na mama yangu anatoka Lindi.
Katika familia yetu, upande wa mama, tulizaliwa watoto saba, wasichana watatu na wavulana wanne. Mimi ni wa sita, ila kwa baba ni wa pili, nina kaka yangu na mdogo wangu. Nina wadogo zangu wengine watatu ambao tunachangia baba, kati yao wavulana ni wawili na msichana mmoja.
Baba yangu alikuwa mfanyakazi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki iliyovunjika mwaka 1977 na kituo chake cha kazi kilikuwa Mtwara, wakati baba anafanya kazi, mama alibaki Lindi, hali ambayo ilinifanya nipate elimu yangu ya msingi kuanzia mwaka 1973 katika shule nne tofauti; Nnaida ya Mikindani, Mtwara, Rahaleo ya Lindi, Ligula (Mtwara) na Stadium, Lindi ambapo nilimalizia elimu yangu ya msingi.
Ingawa wakati ule nafasi za kujiunga na sekondari zilikuwa chache, namshukuru Mwenyezi Mungu nilikuwa miongoni mwa waliochaguliwa.
Swali: Wewe unatoka Lindi na Mheshimiwa Rais anatoka Pwani, mlikutana wapi na mlifunga ndoa lini? Jibu: Kila jambo hupangwa na Mwenyezi Mungu. Nilikutana na mume wangu mwaka 1985 nikiwa katika Chuo cha Ualimu Nachingwea, yeye akiwa ni Katibu wa CCM wa Wilaya ya Nachingwea.

Tulipokutana kwa mara ya kwanza kitu ambacho aliniambia ni kwamba nakupenda na nataka nikuoe kusema kweli hakusema anataka awe rafiki yangu au vipi, sijui kama huo ndio utaratibu wa kina baba wote, lakini nasema kutoka moyoni, hicho ndicho alichoniambia na mimi kwa sababu nilimpenda, nilimkubalia, ingawa uamuzi wangu sikuutoa papo hapo.
Tulifunga ndoa Machi 30, 1989 wakati huo yeye akiwa Naibu Waziri wa Maji, Nishati na Madini. Swali: Baada ya kufunga ndoa ikawaje? Jibu: Baada ya kufunga ndoa nilifanya taratibu za uhamisho kwa mujibu wa taratibu za kikazi.
Kwa hiyo nilihamia Dar es Salaam ambapo niliungana na mume wangu na tukawa tunakaa Mikocheni mtaa wa Ursino.
Swali: Katika miaka yenu hii 20 ya ndoa mmejaaliwa kupata watoto wangapi na wako wapi?
Jibu: Tunamshukuru Mwenyezi Mungu tumejaaliwa watoto watano kati yao wanne ni wa kiume na mmoja wa kike. Wote wanasoma, wa kwanza yuko kidato cha sita, wa pili cha nne, wa tatu cha pili, wa nne yuko darasa la tano na wa mwisho yuko darasa la tatu.

Lakini kwa ujumla tuna watoto wanane, ikiwa ni pamoja na watatu ambao mume wangu alipata na mke wake wa kwanza.

Hawa wakubwa mmoja ni mwanasheria, mwingine ni daktari na mwingine ni mtaalamu wa Teknohama (Teknolojia ya Habari na Mawasiliano).

Ila siku zote napenda kusema tuna watoto wanane kwa sababu hata hawa wakubwa nimewalea mimi tangu wakiwa na umri mdogo sana. Kwa hiyo hawa ni watoto wangu sawa sawa na hawa niliowazaa mimi.

Swali: Una mipango gani ya baadaye?

Jibu: Kwa jumla mipango yetu katika taasisi ya WAMA ni mikubwa sana. Sasa ndio tumeanza, tuna shule moja tu, lakini tunatarajia kuongeza shule nyingi zaidi katika maeneo tuliyoyakusudia kwa sababu watoto wanaohitaji msaada wako wengi sana.



DR LILIAN MBOWEsource-https://www.jamiiforums.com/habari-na-hoja-mchanganyiko/329499-dr-lilian-mbowe-interview-alofanya-na-kipindi-cha-wanawake-live-eatumanne.html

Aliulizwa yeye ni mke wa mtu mwenye nafasi kubwa katika jamii (kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani bungeni, ndugu Aikael Mbowe), wana mali na maisha mazuri inakuwaje anachapa kazi kwa bidii?


Mimi ni mwanamke msomi wa degree na masters ya udaktari, nimelelewa katika mantiki ya kujijenga mimi kama mimi na nisitegemee mtu mwingine. Mimi kuolewa na mwanaume mwenye fursa ktk jamii siyo tija na kuna kitu ktk roho yangu kinachoniambia lazima nifanye kazi.Siamini katika mantiki ya kula kulala, hata kama pesa ipo lazima mtu ufanye kazi fulani kusudi uweze kuijenga ile pesa, kuingiza kipato na kujua kinachotokea.Kama ningekuwa amelala nyumbani sifanyi kitu chochote,tatizo laweza tokea, kuna leo na kesho.Leo niko na mume wangu kesho na kesho kutwa siko naye .Sasa baada ya hapo nitakwenda wapi? Au baada ya hapo nitafanya nini?

Je wanawake tegemezi wapo?

Kadri siku zinavyo kwenda kina mama nao wanaanza kujipatia kipato. Kuna kupewa lakini kupewa huko kuna mwisho wake.Kadri siku zinavyo kwenda zana ya mama wa nyumbani inatoweka, /inapungua kwa kina mama wengi.Lakini bado wako wengine wanapenda maisha ya kufurahia mali na position /kazi za waume zao na kutake advantage.

Unawaambia nini wanawake wategemezi?
Wawe waangalifu,kazi za watu zinapanda na kushuka, biashara nazo zinacollapse zinaisha,kuna kuchukuliwa na mwenyezi Mungu ghafla tu,sasa mama kama hujasimama na miguu yako miwili unaweza kupata shida sana.

Ushauri kwa wanaume wanaodekeza wake zao;
Sidhani kama ni vizuri kudekeza mwanamke,kuna dini na mila zisemazo kwamba mwanaume ndo anatunza mwanamke lakini kwa karne hii ya 21 sidhani kama twaweza kuendelea kushikilia mila za zamani za kusema mwanamke tu atunzwe.Kwajinsi maisha yanavyokwenda na baadhi ya mambo kubadilika, wanaume wengi wanaona nikiondoka leo, au nikimpa talaka huyu mwanamke anaweza akapata shida, hivyo kama unampenda mwenzio, nashauri kinababa wajaribu kusukuma kina mama wajaribu kufanya kitu chochote cha kujiendeleza, badala ya kuwadekeza sana na wao kubakia wanashughulikia kila kitu.

Anasema ana bahati mumewe siyo wa aina ile ya wanaume kudekeza wanawake na kuwaacha wakae tu idle, while wao wakiprovide kila kitu.Ana mume ambaye naye ndiye anayemsukuma na anamwambia kwamba lazima uwe na maisha yako lazima uwe na vitu vyako, lazima ujijenge. Anasema Kama siku hizi huwa wanagombana maana anamwambia lazima aende akasomee MBA, ukizingatia she is a doctor by profession, lakini sasa anashughulika na family business so mumewe anamsukuma asome zaidi hataki abaki hapo alipo anamshawishi achukue MBA ili aweze kufanya biashara vizuri.

Waandishi wetu siku hi ni mbweha tu!
 
MAMA SALMA ; source first Lady Salma Kikwete | darhotwire

Swali: Ni ipi historia fupi ya maisha yako?
Jibu: Mimi naitwa Salma Rashid. Nilizaliwa katika wilaya ya Lindi Mjini, Novemba 30, 1963. Baba yangu anaitwa Rashid Yussuf Mkwachu na mama yangu ni Mwanapaza binti Shariff.

Kwa asili, baba yangu anatoka Sarai, Rufiji mkoani Pwani na mama yangu anatoka Lindi.
Katika familia yetu, upande wa mama, tulizaliwa watoto saba, wasichana watatu na wavulana wanne. Mimi ni wa sita, ila kwa baba ni wa pili, nina kaka yangu na mdogo wangu. Nina wadogo zangu wengine watatu ambao tunachangia baba, kati yao wavulana ni wawili na msichana mmoja.

What a medley of a family!
 
naona mleta thread hii ndio ana-IQ ndogo,wacha kutaka kmsakama mama wa wat kajib maswali vizuri tu,halaf IQ test inapimwa kwa watu kujibu maswali ya aina moja na unayalinganisha majibu yao,hapa wameulizwa maswali tofauti hivyo hakuna unachopima hapa,halafu labda nikfahamishe IQ test si kipimo kizuri mana mtu anaweza kujibu maswali ktokana na elimu ake aliyesomea mfano,mtu aliesomea sayansi anauwezo mkubwa wa kufaulu iq test sabab inahusisha sana mahesabu kuliko yule aliyesomea political sayansi.mama salma kajibu vizuri na kwa wazi kshinda hata labda mrs.mbowe angejibu maswali hayo hayo.
mimi naona mleta uzi amejitahidi sana maana sio rahisi kuwapata hawa watu kwa pamoja na wakati mmoja. Ila kama kuna mwenye uwezo huo basi mleta uzi don-oba keshaonyesha njia mwingine anaweza kufuata.
Kikubwa ninacho appreciate hapa ni jinsi Jamiiforums inavyoanza kuwa na mambo mengi zaidi kwa faida yetu sote
 
Thread ya kijinga kabisa hii, huwezi kumlinganisha Salma na Lilian ni vitu viwili tofauti, anachoweza kumzidi mwenzake Salma Rashid ni Ufisadi tu hakuna la zaidi.
 
Back
Top Bottom