matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 7,907
- 19,156
Huyu mama amekaa TZ kwa miaka kama 12. Anadai watu wote wa Afrika Magharibi hasa Nigeria na Ghana ni machachari ( agressive) sio wapole wapole kwenye mambo ya msingi ya maisha.
Nilimbishia ila kwa kauli ya Aliyekuwa Rais wetu JK kuwa watanzania wengine hatujitumi kama wachaga naona kama yule mama aliluwa na kitu
.
Nini mao i yako....
Unadhani tunafeli wapi?
No hayo tu
Nilimbishia ila kwa kauli ya Aliyekuwa Rais wetu JK kuwa watanzania wengine hatujitumi kama wachaga naona kama yule mama aliluwa na kitu
.
Nini mao i yako....
Unadhani tunafeli wapi?
No hayo tu