Kumbe NAO ipo ili ninyi na wanenu muendelee kula! Haiwezekani TAASISI ya UMMA ikazikagua taasisi nyingine za umma. Tulikuwa na TAC kwa ajili ya mashirika ya umma. Karibu yote hayapo sasa na TAC yenyewe. Tuna COASCO kwa ajili ya vyama vya ushirika. Hakuna chama cha ushirika kilicho na afya.
kaka wewe ni mfanyakazi,mfanyabiashara au mkulima???kama ni mmoja kati ya hayo mambo lazima unafanya kwajili ya familia yako ile bwana. iyo ndo africa jinsi ilivyo dts y hakuna mambo ya ku volunteer africa,tunafanya kazi kwajili tule
well suala la NAO kua taasisi ya umma ni ttz la siasa na system,mana INTOSAI standards inataka NAO iwe independent ila utumishi na ikulu hawataki kabisa hayo mambo ili waweze kuiba hela za wananchi,kwaiyo ndo ujinga wa wanasiasa wetu huo