Makwizi Band
JF-Expert Member
- Aug 19, 2024
- 1,884
- 3,033
Kutoka Malawi hadi ilipo bandari hiyo ya Msumbiji kuna umbali gani kaka? Miundo mbinu ya barabara je? What about security ya mzigo from there to Maputo?Huyu Msomali katumwa au kajituma? Malawi wanaweza tumia Bandari ya Msumbiji na walisha peawa Bandari fulani na Msumbiji waiendeleze.
Au, ulikua na pendekezo gani kwa mhe waziri, alitakiwa afanye nini ili Malawi waache dharau?