Makonda: Walimu kusafiri bure

huyu makonda labda aseme anakomalia mabasi ya mwendo kasi yaanze kazi na huko ndio awaombee walimu angalau nafuu ya nauli yeye sijui anawaza nini.
 
Mimi naona ni Good idea, Kama mwanajeahi au askari anasafiri bure.. Kwa nini mwalimu asidafiri bure na yeye? Wawe na vitambulisho tu... Mwalimu ni mtu muhimu sana ...
Madaktari na madesi pia wasafiri bure ni watu muhimu sana
 
Mkuu wa wilaya ya.kinondoni amesema yupo kwenye mpango wa kuwezesha walimu kusafiri bure kwenye daladala kwenda kazini kama njia ya kuwasaidia kuwahi na kuwapunguzia makali ya maisha.

Makonda ameyasema hayo wakati wa hafla ya kumuaga mke wa raisi mwl Janet Magufuli ambaye amekiri kuwa kwa sasa anamajukumu mengi hasa yakumsaidia mheshimiwa raisi.

Sasa hapa najiuliza hawa wamiliki wa magari watakubali? Na je walimu watakuwa na unifomu.au watalazimika kila wakati kuonesha vitambulisho? Na je hilo litakuwa suluhisho la kudumu? Na je watumishi wengine wao watajisikiaje ? Source Azam tv- habari ya saa 2 usiku.
Unamsafirisha bure alafu unakata kodi kwenye kamshahara kake
 
Hivi walimu hawana transport allowance kweli? That's not a good idea at all. Kutengeneza matabaka bila sababu za msingi. Na kwa nini wasiwape transport allowance wakalipa nauli zao wenyewe?
 
Mimi naona ni Good idea, Kama mwanajeahi au askari anasafiri bure.. Kwa nini mwalimu asidafiri bure na yeye? Wawe na vitambulisho tu... Mwalimu ni mtu muhimu sana ...
Ni sawa ana nia njema ,tatizo lipo hapo kwenye kitambulisho ,kama mtu anagushi cheti cha form 4,6, chuo na anapata kazi BOT wanakamatwa kwa kughushi vyeti serikali inashindwa kuthibitisha kama sio vyeti halali ,matokeo yake watuhumiwa wanaachiwa huru ,,itakuaje kwa hivyo vitambulisho vya walimu ???
 
Kwetu hadi polisi na uniform anaambiwa alipe nauli, kondakta kanuna hataki mazoeya anakusanya nauli hadi kwa mtoto wa chekechea sembuse mwalimu?
 
dawa pekee ya haki na heshima kwa walimu ni kuwaongezea pesa ya nauli kwenye mshahara wao , hili jambo ni udhalilishaji mkubwa sana , mwanafunzi alipe 200/- halafu mwl na midevu yake bure !
 
Watu wanaostahiki kusafiri bure ni wanafunzi hao wengine walipe nauli kwasababu wana mishahara. Na kama lengo ni kuwapunguzia gharama za maisha basi ni vema kuishahuri serikali kununua mabasi kwa ajili yao na wafanyakazi wengine wa umma
 
Mkuu wa wilaya ya.kinondoni amesema yupo kwenye mpango wa kuwezesha walimu kusafiri bure kwenye daladala kwenda kazini kama njia ya kuwasaidia kuwahi na kuwapunguzia makali ya maisha.

Makonda ameyasema hayo wakati wa hafla ya kumuaga mke wa raisi mwl Janet Magufuli ambaye amekiri kuwa kwa sasa anamajukumu mengi hasa yakumsaidia mheshimiwa raisi.

Sasa hapa najiuliza hawa wamiliki wa magari watakubali? Na je walimu watakuwa na unifomu.au watalazimika kila wakati kuonesha vitambulisho? Na je hilo litakuwa suluhisho la kudumu? Na je watumishi wengine wao watajisikiaje ? Source Azam tv- habari ya saa 2 usiku.
Ata kama una chuki binafsi
..walimu wavumilivu.mimi primary nimesoma Mburahati. Mpaka mwaka huu kuna walimu bado wapo Shule ya msingi Mburahati..mimi nilimaliza 1988..But these Ladies wapo pale.https://jamii.app/JFUserGuide YOU
 
Ni sawa ana nia njema ,tatizo lipo hapo kwenye kitambulisho ,kama mtu anagushi cheti cha form 4,6, chuo na anapata kazi BOT wanakamatwa kwa kughushi vyeti serikali inashindwa kuthibitisha kama sio vyeti halali ,matokeo yake watuhumiwa wanaachiwa huru ,,itakuaje kwa hivyo vitambulisho vya walimu ???
Ndio hapo inabidi Makonda Asugue kichwa kuona kuwa atafanyaje?
 
Ata kama una chuki binafsi
..walimu wavumilivu.mimi primary nimesoma Mburahati. Mpaka mwaka huu kuna walimu bado wapo Shule ya msingi Mburahati..mimi nilimaliza 1988..But these Ladies wapo pale.**** YOU
Kaka na maisha yao ni yale yake hayajabadilika
 
dawa pekee ya haki na heshima kwa walimu ni kuwaongezea pesa ya nauli kwenye mshahara wao , hili jambo ni udhalilishaji mkubwa sana , mwanafunzi alipe 200/- halafu mwl na midevu yake bure !
Mbona mjeda na midevu yake bure...
 
Back
Top Bottom