Makonda wa Zanzibar kuundiwa tume?

hakuna Mheshimiwa anayeitwa Makonda, makonda aliyepo ni mwizi na tapeli wa vyeti na ambaye kwa sasa kwa sababu ya uswahiba tusioujua baina yake na Mkuu wa Serikali ameendelea kubaki madarakani.
Haya bana madam wewe ndiye baba yake unamjua zaidi.
 
Nimefikiria hivi hizi mvua kubwa zilizonyesha wiki 2 mfululizo mwaka huu, bila mh Makonda ingekuaje?

unayemchukia Makonda una walakini aiseee
 
Utakuwa bwabwa we mbeba box sio kwa kusifia mwanaume mwenzio mwizi wa vyeti namna hiyo. Hii ni dalili nyote mmevimba sehemu za nyuma kama mwenzio .
Anamsifia msukuma mwenzake huyu jamaa alishaweka wazi yeye msukuma wa ikungulyabashashi sasa kajitoa tu akili kwa sababu za kikabila nishaanza kumuona ni mweupe pia kama bashite.
 
Naona mheshimiwa Makonda bado kazitawala fikra za watu...

Hata wale wanaojidai eti wana mgomo hata wa kutaja jina lake ndo hao hao kila kukicha hawaeshi kumzungumzia.
Hata Hitler na Iddi Amin walitawala fikra za watu. Hata wale wanaojidai eti wana mgomo hata wa kutaja majina yao ndo hao hao kila kukicha hawaeshi kuwazungumzia.
 
Huyu jamaa Ngabu ndiye amepewa kazi ya kumtetea huyu chizi mitandaoni? Bashite akitwaja humu Nyani anawaks kwelilweli? Au na wewe Ngsbu kuna kitu unafaidi kwake? Badhite ni kiumbe wa kumtetea kweli?
 
Huyu jamaa Ngabu ndiye amepewa kazi ya kumtetea huyu chizi mitandaoni? Bashite akitwaja humu Nyani anawaks kwelilweli? Au na wewe Ngsbu kuna kitu unafaidi kwake? Badhite ni kiumbe wa kumtetea kweli?
Kwani we mcfm40 unafaidika na nini ukimshambilia mheshimiwa Paul Makonda?
 
Naona mheshimiwa Makonda bado kazitawala fikra za watu...

Hata wale wanaojidai eti wana mgomo hata wa kutaja jina lake ndo hao hao kila kukicha hawaeshi kumzungumzia.
Eti "mheshimiwa makonda" kwanza rekebisha jina lake huyo anaitwa Bashite, jitu linakaba na kuteka watu unamwita mheshiwa! we vipi?
 
Kwani we mcfm40 unafaidika na nini ukimshambilia mheshimiwa Paul Makonda?
Mimi nafikiri unaanza kuisoma namba hivyo kimbilio la kutibu njaa yako ni kumsafisha Bashite, kumbuka mabaya aliyotenda Bashite huwezi kumsafisha hata kwa JIK
 
Back
Top Bottom