MOTOCHINI
JF-Expert Member
- Jan 20, 2014
- 28,043
- 31,373
300+Aongeze ongeze angalau wafike 260
300+Aongeze ongeze angalau wafike 260
mkuu ushakuwa martin kadinda???? au sheria ngowi??Sasa miwani ya Jua ya kazi gani...huyu jamaa ana ushamba flani hivi.
Iweke hiyo habari hapa JF kuhusu yule mkurugenzi wa zamani wa Kinondoni.kwamba alisingiziwa Na yuko huru.Unfortunately, Magufuli ameaminishwa kuwa huyu Makonda ni mfanyakazi ili hali ni mtu wa kupenda sifa na mkurupukaji ambae ataharibu sifa ya utendaji ya Magufuli. Nitatoa mfano mmoja tu wa yule aliyekuwa mpurugenzi wa Kinondoni ambaye Makonda alimshitaki kwa ubadhilifu na kurudishwa kutoka Babati kuja kuhojiwa; ikagundulika kuwa Makonda kwa kutaka sifa alikurupuka na mashitaka ya kufikirika na yule bwana akaonekana hana hatia!!!! Magufuli should be careful na Makoda atamuingiza choo cha kike!!
weke hiyo habari hapa JF kuhusu yule mkurugenzi wa zamani wa Kinondoni.kwamba alisingiziwa Na yuko huru