Pole kwa familia nzima ya Makamba, Mungu awape faraja na kuwatia nguvu katika hiki kipindi kigumu.
Pia, Mwenyezi Mungu amlaze mahali pema peponi marehemu.
Pole sana Mzee Makamba na familia kwa ujumla kwa kufiwa na kijana mpendwa Kimweri Makamba. Tuzidi bila kuchoka kumuombea kwa Mungu ili ampe hifadhi katika ufalme wake, Amen
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.