Makala ya mwisho ya Hayati Dkt Philemon Ndesamburo aliyoiandika akimshauri Rais Magufuli

Mzee alikuwa fighter sana na amefight hadi dakika ya mwisho.

Na nimejifunza mambo memgi sana kwa huyu mzee aliyetuacha.

Mzee ktk umri wake ameifanyia mengi tanzania.

najiuliza je! kama mm kijana nitaifanyia nini tanzania?
Na siku nikifa nitakumbukwa kwa lipi?
 
Ukweli nipigo kubwa sana kwa chadema Ndesa alikua nikiongozi tegemeo ktk chama nahata. Kwawakazi. Wa moshi Tutakukumbuka Mzeewetu
 
Dah, inasikitisha Sana, Ingekua Ni ngazi ya familia tungesema huu Ni Usia kwa familia, ushauri mzuri wenye maslahi kwa taifa letu.

Kivuli chako Kitaishi Mzee Ndessamburo.
 
Back
Top Bottom