Tetesi: Majimbo karibu yote Kanda ya Ziwa kuchagua wabunge wa upinzani

Shakari

Senior Member
Jul 6, 2022
184
548
Kuna tetesi zinazoendelea chini kwa chini ndani ya Mikoa ya Kanda ya Ziwa kuwa uchaguzi wa mwaka huu wataamua kuchagua wawakilishi wabunge na madiwani kutoka vyama vya upinzania baada ya kubaini kuwa wabunge wengi wa CCM wanashindwa kuwatetea kwenye mambo ya msingi kwa kuhofia kutoteuliwa na CCM kugombea uchaguzi wa mwaka huu.

Tetesi hizo zimeenea katika mikoa ya Mwanza, Shinyanga, Simiyu, Mara, Kagera, Geita na Kigoma ambapo wananchi wa hali ya chini wanalalamikia uwakilishi duni wa wabunge wa CCM katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wakiwatuhumu kwa mambo mbalimbali ikiwemo kukubali kupitisha Sheria mbovu zinazowakandamiza, kushindwa kuwatetea kwenye mambo ya kilimo, madini, uvuvi huku sekta hizo zikiwa zinabeba uchumi wa kanda ya ziwa.

Vijiwe vingi vya Kahawa katika Jiji la Mwanza, Shinyanga, Simiyu, Mara, Geita na Kagera mada hizi za uwakilishi mbovu wa wabunge zimekuwa zikijirudia mara kwa mara na kuapa kurudisha nguvu ya upinzani ya miaka ya 2010 ambapo majimbo mengi Kanda ya Ziwa yalikuwa upinzani.

Majimbo yaliyokuwa na wabunge wa upinzani ni pamoja na Nyamagana, Ilemela, Ukerewe, Bukoba Mjini, Bukombe, Tarime Mjini, Tarime Vijijini, Bunda, Serengeti, Maswa Mashariki, Maswa Magharibi, Meatu, Itilima.
 
Kuna tetesi zinazoendelea chini kwa chini ndani ya Mikoa ya Kanda ya Ziwa kuwa uchaguzi wa mwaka huu wataamua kuchagua wawakilishi wabunge na madiwani kutoka vyama vya upinzania baada ya kubaini kuwa wabunge wengi wa CCM wanashindwa kuwatetea kwenye mambo ya msingi kwa kuhofia kutoteuliwa na CCM kugombea uchaguzi wa mwaka huu.

Tetesi hizo zimeenea katika mikoa ya Mwanza, Shinyanga, Simiyu, Mara, Kagera, Geita na Kigoma ambapo wananchi wa hali ya chini wanalalamikia uwakilishi duni wa wabunge wa CCM katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wakiwatuhumu kwa mambo mbalimbali ikiwemo kukubali kupitisha Sheria mbovu zinazowakandamiza, kushindwa kuwatetea kwenye mambo ya kilimo, madini, uvuvi huku sekta hizo zikiwa zinabeba uchumi wa kanda ya ziwa.

Vijiwe vingi vya Kahawa katika Jiji la Mwanza, Shinyanga, Simiyu, Mara, Geita na Kagera mada hizi za uwakilishi mbovu wa wabunge zimekuwa zikijirudia mara kwa mara na kuapa kurudisha nguvu ya upinzani ya miaka ya 2010 ambapo majimbo mengi Kanda ya Ziwa yalikuwa upinzani.

Majimbo yaliyokuwa na wabunge wa upinzani ni pamoja na Nyamagana, Ilemela, Ukerewe, Bukoba Mjini, Bukombe, Tarime Mjini, Tarime Vijijini, Bunda, Serengeti, Maswa Mashariki, Maswa Magharibi, Meatu, Itilima.
Naweza nikaapia hizo tetesi umepewa na bibi yako na sio wakazi wa Kanda ya Ziwa.
 
Kuna tetesi zinazoendelea chini kwa chini ndani ya Mikoa ya Kanda ya Ziwa kuwa uchaguzi wa mwaka huu wataamua kuchagua wawakilishi wabunge na madiwani kutoka vyama vya upinzania baada ya kubaini kuwa wabunge wengi wa CCM wanashindwa kuwatetea kwenye mambo ya msingi kwa kuhofia kutoteuliwa na CCM kugombea uchaguzi wa mwaka huu.

Tetesi hizo zimeenea katika mikoa ya Mwanza, Shinyanga, Simiyu, Mara, Kagera, Geita na Kigoma ambapo wananchi wa hali ya chini wanalalamikia uwakilishi duni wa wabunge wa CCM katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wakiwatuhumu kwa mambo mbalimbali ikiwemo kukubali kupitisha Sheria mbovu zinazowakandamiza, kushindwa kuwatetea kwenye mambo ya kilimo, madini, uvuvi huku sekta hizo zikiwa zinabeba uchumi wa kanda ya ziwa.

Vijiwe vingi vya Kahawa katika Jiji la Mwanza, Shinyanga, Simiyu, Mara, Geita na Kagera mada hizi za uwakilishi mbovu wa wabunge zimekuwa zikijirudia mara kwa mara na kuapa kurudisha nguvu ya upinzani ya miaka ya 2010 ambapo majimbo mengi Kanda ya Ziwa yalikuwa upinzani.

Majimbo yaliyokuwa na wabunge wa upinzani ni pamoja na Nyamagana, Ilemela, Ukerewe, Bukoba Mjini, Bukombe, Tarime Mjini, Tarime Vijijini, Bunda, Serengeti, Maswa Mashariki, Maswa Magharibi, Meatu, Itilima.
Habari njema sana,watanzania tutakuwa tumekurupuka kutoka usingizi wa pono.
 
Kuna tetesi zinazoendelea chini kwa chini ndani ya Mikoa ya Kanda ya Ziwa kuwa uchaguzi wa mwaka huu wataamua kuchagua wawakilishi wabunge na madiwani kutoka vyama vya upinzania baada ya kubaini kuwa wabunge wengi wa CCM wanashindwa kuwatetea kwenye mambo ya msingi kwa kuhofia kutoteuliwa na CCM kugombea uchaguzi wa mwaka huu.

Tetesi hizo zimeenea katika mikoa ya Mwanza, Shinyanga, Simiyu, Mara, Kagera, Geita na Kigoma ambapo wananchi wa hali ya chini wanalalamikia uwakilishi duni wa wabunge wa CCM katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wakiwatuhumu kwa mambo mbalimbali ikiwemo kukubali kupitisha Sheria mbovu zinazowakandamiza, kushindwa kuwatetea kwenye mambo ya kilimo, madini, uvuvi huku sekta hizo zikiwa zinabeba uchumi wa kanda ya ziwa.

Vijiwe vingi vya Kahawa katika Jiji la Mwanza, Shinyanga, Simiyu, Mara, Geita na Kagera mada hizi za uwakilishi mbovu wa wabunge zimekuwa zikijirudia mara kwa mara na kuapa kurudisha nguvu ya upinzani ya miaka ya 2010 ambapo majimbo mengi Kanda ya Ziwa yalikuwa upinzani.

Majimbo yaliyokuwa na wabunge wa upinzani ni pamoja na Nyamagana, Ilemela, Ukerewe, Bukoba Mjini, Bukombe, Tarime Mjini, Tarime Vijijini, Bunda, Serengeti, Maswa Mashariki, Maswa Magharibi, Meatu, Itilima.
Kwa vichekesho kama hivi, endelea kufuatilia post za mwandishi huyu.
 
Chadema wangeweza kushinda lakini sera yao ya kumtukana JPM itawakosesha kura nyingi sana sio kanda ya ziwa tu Tanzania nzima watu walikubali kazi zake.

Chadema bado hawajui jinsi ya kushinda chaguzi na kujenga coalition yenye nguvu. Wanaweza kujifunza hata Kenya jinsi ya kushinda chaguzi.
 
Chadema wangeweza kushinda lakini sera yao ya kumtukana JPM itawakosesha kura nyingi sana sio kanda ya ziwa tu Tanzania nzima watu walikubali kazi zake.

Chadema bado hawajui jinsi ya kushinda chaguzi na kujenga coalition yenye nguvu. Wanaweza kujifunza hata Kenya jinsi ya kushinda chaguzi.
Coalition labda tutengeneze na ccm
 
Chadema wangeweza kushinda lakini sera yao ya kumtukana JPM itawakosesha kura nyingi sana sio kanda ya ziwa tu Tanzania nzima watu walikubali kazi zake.

Chadema bado hawajui jinsi ya kushinda chaguzi na kujenga coalition yenye nguvu. Wanaweza kujifunza hata Kenya jinsi ya kushinda chaguzi.
Hatumtaki samia
 
Coalition labda tutengeneze na ccm
Ndiyo iliyokuwapo, sijui kama Lissu ataendelea nayo. Adui wao wote ni mmoja wote Chadema na serikali, CCM ya Samia.

Adui wao mkuu ni Magufuli na sera zake zilizojikita kupinga ufisadi, rushwa, kujenga nidhamu, uwajibikaji na kujitegemea.
 
Hili lipo wazi, tunachoomba Lissu asituletee oil chafu kutoka CCM, pia machakato wa kuwapata wagombea uanzie huku chini, yaani zipigwe Kura za maoni au utafitiwa taasisi huru juu ya mtu anayekubalika kwa Watu wengi.

Hata pesa za kampeni tupo tayari kumchangia mgombea wetu tutakayemoendekeza. Na Kura zake tutazilinda hata kama ni kumwaga damu.
 
Ila kiukweli hata ndani ya CCM Bi. Mkubwa hakubaliki na ndo maana hapa kati wametumia usanii kumuweka kwa kushirikiana na mzee wa pale chalinze.
Uchaguzi huu ni mgumu sana kwake kama upinzani watakuwa na candidate anayeeleweka na hasa kama atakuja na sera za JPM na Trump, atashinda mapema sana
 
Kuna tetesi zinazoendelea chini kwa chini ndani ya Mikoa ya Kanda ya Ziwa kuwa uchaguzi wa mwaka huu wataamua kuchagua wawakilishi wabunge na madiwani kutoka vyama vya upinzania baada ya kubaini kuwa wabunge wengi wa CCM wanashindwa kuwatetea kwenye mambo ya msingi kwa kuhofia kutoteuliwa na CCM kugombea uchaguzi wa mwaka huu.

Tetesi hizo zimeenea katika mikoa ya Mwanza, Shinyanga, Simiyu, Mara, Kagera, Geita na Kigoma ambapo wananchi wa hali ya chini wanalalamikia uwakilishi duni wa wabunge wa CCM katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wakiwatuhumu kwa mambo mbalimbali ikiwemo kukubali kupitisha Sheria mbovu zinazowakandamiza, kushindwa kuwatetea kwenye mambo ya kilimo, madini, uvuvi huku sekta hizo zikiwa zinabeba uchumi wa kanda ya ziwa.

Vijiwe vingi vya Kahawa katika Jiji la Mwanza, Shinyanga, Simiyu, Mara, Geita na Kagera mada hizi za uwakilishi mbovu wa wabunge zimekuwa zikijirudia mara kwa mara na kuapa kurudisha nguvu ya upinzani ya miaka ya 2010 ambapo majimbo mengi Kanda ya Ziwa yalikuwa upinzani.

Majimbo yaliyokuwa na wabunge wa upinzani ni pamoja na Nyamagana, Ilemela, Ukerewe, Bukoba Mjini, Bukombe, Tarime Mjini, Tarime Vijijini, Bunda, Serengeti, Maswa Mashariki, Maswa Magharibi, Meatu, Itilima.
Kuna nini tena jamani? Wasira hajasaidia kitu?
 
Back
Top Bottom