BigTall
JF-Expert Member
- Mar 9, 2022
- 542
- 1,307
Maji machafu ambayo yanatoka kwenye machinjio hayo tanatiririka kwenye makazi yetu na hakuna jitihada zinazofanywa na mamlaka kudhibiti hali hii.
Wakati huu wa mvua ndio balaa kabisa, uchafu unasambaa, Watoto wanachezea na kinachotokea ni kuwa tunaweza kuona magonjwa ambukizi yakiibuka.