Mgirik JF-Expert Member Apr 27, 2013 13,213 13,251 Mar 11, 2016 #2 Maiti znasiri nzito sana najaribu kufikiria adhabu huko kaburin sijui ikoje
Y ydn JF-Expert Member Nov 24, 2015 2,092 1,410 Mar 11, 2016 #3 Hajafa huyu! Ni wale wajinga flan waliofunga ndoa ya kwenye jeneza kama sikosei!
Zamaulid JF-Expert Member May 25, 2009 19,690 15,488 Mar 11, 2016 #4 Mgirik said: Maiti znasiri nzito sana najaribu kufikiria adhabu huko kaburin sijui ikoje Click to expand... usicheze mbali na mshana jr atakufunulia kulivyo huko kaburini!!
Mgirik said: Maiti znasiri nzito sana najaribu kufikiria adhabu huko kaburin sijui ikoje Click to expand... usicheze mbali na mshana jr atakufunulia kulivyo huko kaburini!!
Mwabhleja JF-Expert Member Jan 27, 2016 1,351 2,061 Mar 11, 2016 #5 Haijalishi amependezaje, ili mradi hawezi kujenga hoja duniani huyo ni maiti tu!
LuisMkinga JF-Expert Member Jan 10, 2012 3,243 6,229 Mar 24, 2016 #6 mshana jr said: Click to expand... mshana jr mie cjaelewa hii picha tafadhari naomba utoe elimu kwenye hili
mshana jr said: Click to expand... mshana jr mie cjaelewa hii picha tafadhari naomba utoe elimu kwenye hili
Mshana Jr Platinum Member Aug 19, 2012 299,604 752,014 Mar 26, 2016 Thread starter #7 LuisMkinga said: mshana jr mie cjaelewa hii picha tafadhari naomba utoe elimu kwenye hili Click to expand... Ni maiti imetengenezewa pozi
LuisMkinga said: mshana jr mie cjaelewa hii picha tafadhari naomba utoe elimu kwenye hili Click to expand... Ni maiti imetengenezewa pozi
Dr.adams faida JF-Expert Member Mar 11, 2013 1,887 3,350 Mar 26, 2016 #8 Du tumefika huko maiti inatengeneezewa pozi jamani utafikiri hajafa...
Katavi Platinum Member Aug 31, 2009 42,023 12,811 Mar 26, 2016 #9 Watu bhana yaani wanaitengenezea pozi,,,, kama hajafa vile.
mamafive Senior Member Jan 17, 2016 122 141 Mar 26, 2016 #10 mi nadhani unaweza kumremba ambaye hakuwa mtu wako wa karibu sana. Tena unakuta na mfiwa kapakwa poda halafu anaambiwa asilie sana atafuta makeup. Sijui tunaelekea wapi wanadamu.
mi nadhani unaweza kumremba ambaye hakuwa mtu wako wa karibu sana. Tena unakuta na mfiwa kapakwa poda halafu anaambiwa asilie sana atafuta makeup. Sijui tunaelekea wapi wanadamu.
bushland JF-Expert Member Mar 6, 2015 7,015 4,984 Mar 26, 2016 #11 mshana jr said: Click to expand... Kiruu