Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 299,772
- 752,156
- Thread starter
- #21
Leo atajifanya anaumwa maana alisema Gwajima anavuta Ga sasa aliokuwa anamtetea kawatia dole puaningoja leo tumsikie Kibonde atatoa comments gani kwenye jahazi
Ya Ngoswe yalipofika hayaishii kwa Ngoswe tena Paka kashaingia maana amesema wiki hii yote anapiga tu
Bwana zero aligeuza mawinguni ndio sebuleni kwake pa kupumzikia......watakoma sasa
Ibilishi alishamvaa kama Yuda Iskariote hawezi kuhudhuria tena tafrija za pale kwa kupiga simu kuomba radhi, anakoenda sasa ni kujitundika tu hata wao wanajua hilo na walichofanya ni kuiokoa Clouds kwa kusema ukweli ili uwaweke huru.kilichonikera ni kauli za Ruge na Kusaga kwamba RC akiomba radhi urafiki wao utaendelea! hawa clouds hivi hawajiamini?
unajua clouds wamembeba sana huyu mtu, mfano hadi kwenye taarifa zao za habari hawatangazi kesi ya Mbowe aliyofungua juu ya huyu RC kila inapoendelea.
Nipo. Ninazidi kuongeza popcorn, maana series hii (The Bashite Saga) ni zaidi ya Isidingo...
Just thinking aloud...!What if Makonda was from Kaskazin?
(Mangi)
Ama ile days of our lifeNipo. Ninazidi kuongeza popcorn, maana series hii (The Bashite Saga) ni zaidi ya Isidingo...
kilichonikera ni kauli za Ruge na Kusaga kwamba RC akiomba radhi urafiki wao utaendelea! hawa clouds hivi hawajiamini?
unajua clouds wamembeba sana huyu mtu, mfano hadi kwenye taarifa zao za habari hawatangazi kesi ya Mbowe aliyofungua juu ya huyu RC kila inapoendelea.