Mahojiano ya mkurugenzi Clouds Media na Falsafa ya panya

Ya Ngoswe yalipofika hayaishii kwa Ngoswe tena Paka kashaingia maana amesema wiki hii yote anapiga tu
 
Bwana zero aligeuza mawinguni ndio sebuleni kwake pa kupumzikia......watakoma sasa
 
kilichonikera ni kauli za Ruge na Kusaga kwamba RC akiomba radhi urafiki wao utaendelea! hawa clouds hivi hawajiamini?
unajua clouds wamembeba sana huyu mtu, mfano hadi kwenye taarifa zao za habari hawatangazi kesi ya Mbowe aliyofungua juu ya huyu RC kila inapoendelea.
 
kilichonikera ni kauli za Ruge na Kusaga kwamba RC akiomba radhi urafiki wao utaendelea! hawa clouds hivi hawajiamini?
unajua clouds wamembeba sana huyu mtu, mfano hadi kwenye taarifa zao za habari hawatangazi kesi ya Mbowe aliyofungua juu ya huyu RC kila inapoendelea.
Ibilishi alishamvaa kama Yuda Iskariote hawezi kuhudhuria tena tafrija za pale kwa kupiga simu kuomba radhi, anakoenda sasa ni kujitundika tu hata wao wanajua hilo na walichofanya ni kuiokoa Clouds kwa kusema ukweli ili uwaweke huru.
 
Tatizo clouds walichanganya mazoea + kazi. Waliacha Bashite akazidisha mazoea kwenye kazi yao na impact yake ndio kama hivyo.

Sometimes yatakiwa kazi ifanyike kama kazi na mazoea yawe yanaishia kuleee manaake ukijenga sana mazoea na mbwa atakufata hadi chooni
 
Ndiyo ukweli wenyewe huo urafiki wa promotion bila promotion uadui unaanza sasa mi nataka asiombe samahani tuone mbwembwe zitaamia wapi. Ni wakati wa Mziki Mnene kupenya kwenye kitundu bila mate.
 
IMG-20170320-WA0004.jpg
 
Walikuwa wanatuambia wanaohoji vyeti vya bashite wakapimwe akili. Sasa sijui kati ya wanaohoji na wanaoomba wahurumiwe, sijui nani aende kwa mkemia mkuu? Hahahahaaa, shilawadu shilawadu,,, nawaona cluonds tv & fm wavyopenda ubuyu, hebu lete ubuyu maana hata mkulu anausikiliza.
 
Hakika, hawakukosea waliosema malipo ni hapa hapa dunia. CC.. Bashite & Mawingu
 
Leo hii ndio wanajua kuwa kuna kitu kinaitwa kupandwa kichwani?
Wazee wa fursa...Bashite mzee wa fursa...
Waache waparurane
 
kilichonikera ni kauli za Ruge na Kusaga kwamba RC akiomba radhi urafiki wao utaendelea! hawa clouds hivi hawajiamini?
unajua clouds wamembeba sana huyu mtu, mfano hadi kwenye taarifa zao za habari hawatangazi kesi ya Mbowe aliyofungua juu ya huyu RC kila inapoendelea.

kuna kitu nyuma ya pazia, waarabu wapemba hao wanajuana, anaogopa asije akamwaga ugali wake
 
Back
Top Bottom