Kuelekea 2025 Mahakama yatoa kibali Wadau wafungue Kesi kupinga Ofisi ya Rais-TAMISEMI kutosimamia uchaguzi wa Serikali za Mitaa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Suley2019

JF-Expert Member
Oct 7, 2019
2,027
5,369
1725894598562.jpeg

Mahakama Kuu ya Tanzania leo September 09,2024 imesema kuwa waleta maombi kwenye shauri ambalo walikuwa wanaomba idhini ya Mahakama wana haki ya kufungua kesi kuhoji uhalali wa Sheria ndogo zilizotungwa kwa lengo la uratibu na uendeshaji wa uchaguzi wa Serikali za Mitaa kwa mwaka 2024 kupitia Wizara ya Ofisi ya Rais TAMISEMI.

Kesi hiyo ilifunguliwa na Mkurugenzi wa Jukwaa la Katiba Tanzania (JUKATA), Bob Wangwe, Bubelwa Kaiza na Annanilea Nkya.

Katika shauri hilo waleta maombi hao walipeleka maombi mahakamani dhidi Waziri wa Ofisi ya Rais -TAMISEMI na Mwanasheria Mkuu wa Serikali wakiiomba Mahakama kibali cha kuweza kufungua kesi kuhoji uhalali huo ambao umetoa nafasi kwa Wazara hiyo kuratibu uchaguzi huo.

Akisoma uamuzi huo Mh. Jaji Wilfred Ndyansobera amesema waleta maombi wameweza kuthibitisha maombi waliyowasilisha na wana maslahi katika kesi ya msingi

Waleta maombi walidai kuwa uhalali huo unapoka mamlaka Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi.

Aidha akizungumza mara baada uamuzi huo Wakili wa upande wa waleta maombi, Wakili Jebra Kambole amesema kuwa baada ya uamuzi wa Mahakama ndani ya siku 14 watafungua kesi ya msingi kupinga uhalali wa Ofisi ya Rais- TAMISEMI kuratibu na kusimamia uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024, na kuomba zuio la Mahakama kwenye michakato ya uchaguzi huo inayoendelea.

Lakini kwa upande wajibu maombi Wakili wa Serikali,Deodatus Nyoni amesema kuwa wamepokea uamuzi wa Mahakama lakini amesisitiza kuwa mchakato wa uchaguzi wa Serikali za Mitaa haujasimamishwa na amesema kuwa Serikali itaendelea kuhamasisha Wananchi kushiriki uchaguzi huo huku akisema kuwa wapo tayari endapo itafunguliwa kesi ya msingi.

PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Kitendo cha Mahakama kwenda kutoa hukumu ya TAMISEMI kusimamia uchaguzi wa Serikali za Mitaa ni kuzidi kubariki uovu wa CCM

- Kuelekea 2025 - Bob Wangwe aiomba Mahakama Kuu iizuie TAMISEMI kusimamia shughuli za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa
 

Mahakama Kuu ya Tanzania leo September 09,2024 imesema kuwa waleta maombi kwenye shauri ambalo walikuwa wanaomba idhini ya Mahakama wana haki ya kufungua kesi kuhoji uhalali wa Sheria ndogo zilizotungwa kwa lengo la uratibu na uendeshaji wa uchaguzi wa Serikali za Mitaa kwa mwaka 2024 kupitia Wizara ya Ofisi ya Rais TAMISEMI.

Kesi hiyo ilifunguliwa na Mkurugenzi wa Jukwaa la Katiba Tanzania (JUKATA), Bob Wangwe, Bubelwa Kaiza na Annanilea Nkya.

Katika shauri hilo waleta maombi hao walipeleka maombi mahakamani dhidi Waziri wa Ofisi ya Rais -TAMISEMI na Mwanasheria Mkuu wa Serikali wakiiomba Mahakama kibali cha kuweza kufungua kesi kuhoji uhalali huo ambao umetoa nafasi kwa Wazara hiyo kuratibu uchaguzi huo.

Akisoma uamuzi huo Mh. Jaji Wilfred Ndyansobera amesema waleta maombi wameweza kuthibitisha maombi waliyowasilisha na wana maslahi katika kesi ya msingi

Waleta maombi walidai kuwa uhalali huo unapoka mamlaka Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi.

Aidha akizungumza mara baada uamuzi huo Wakili wa upande wa waleta maombi, Wakili Jebra Kambole amesema kuwa baada ya uamuzi wa Mahakama ndani ya siku 14 watafungua kesi ya msingi kupinga uhalali wa Ofisi ya Rais- TAMISEMI kuratibu na kusimamia uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024, na kuomba zuio la Mahakama kwenye michakato ya uchaguzi huo inayoendelea.

Lakini kwa upande wajibu maombi Wakili wa Serikali,Deodatus Nyoni amesema kuwa wamepokea uamuzi wa Mahakama lakini amesisitiza kuwa mchakato wa uchaguzi wa Serikali za Mitaa haujasimamishwa na amesema kuwa Serikali itaendelea kuhamasisha Wananchi kushiriki uchaguzi huo huku akisema kuwa wapo tayari endapo itafunguliwa kesi ya msingi.

PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Kitendo cha Mahakama kwenda kutoa hukumu ya TAMISEMI kusimamia uchaguzi wa Serikali za Mitaa ni kuzidi kubariki uovu wa CCM

- Kuelekea 2025 - Bob Wangwe aiomba Mahakama Kuu iizuie TAMISEMI kusimamia shughuli za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa
Mh Dyansoberaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa, kwa hili ubarikiwe
 
Nchi ya kidemokrasia na inayoongozwa kwa mujibu wa Sheria. Mahakama imefanya kazi yake kazi iendelee.
 

Mahakama Kuu ya Tanzania leo September 09,2024 imesema kuwa waleta maombi kwenye shauri ambalo walikuwa wanaomba idhini ya Mahakama wana haki ya kufungua kesi kuhoji uhalali wa Sheria ndogo zilizotungwa kwa lengo la uratibu na uendeshaji wa uchaguzi wa Serikali za Mitaa kwa mwaka 2024 kupitia Wizara ya Ofisi ya Rais TAMISEMI.

Kesi hiyo ilifunguliwa na Mkurugenzi wa Jukwaa la Katiba Tanzania (JUKATA), Bob Wangwe, Bubelwa Kaiza na Annanilea Nkya.

Katika shauri hilo waleta maombi hao walipeleka maombi mahakamani dhidi Waziri wa Ofisi ya Rais -TAMISEMI na Mwanasheria Mkuu wa Serikali wakiiomba Mahakama kibali cha kuweza kufungua kesi kuhoji uhalali huo ambao umetoa nafasi kwa Wazara hiyo kuratibu uchaguzi huo.

Akisoma uamuzi huo Mh. Jaji Wilfred Ndyansobera amesema waleta maombi wameweza kuthibitisha maombi waliyowasilisha na wana maslahi katika kesi ya msingi

Waleta maombi walidai kuwa uhalali huo unapoka mamlaka Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi.

Aidha akizungumza mara baada uamuzi huo Wakili wa upande wa waleta maombi, Wakili Jebra Kambole amesema kuwa baada ya uamuzi wa Mahakama ndani ya siku 14 watafungua kesi ya msingi kupinga uhalali wa Ofisi ya Rais- TAMISEMI kuratibu na kusimamia uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024, na kuomba zuio la Mahakama kwenye michakato ya uchaguzi huo inayoendelea.

Lakini kwa upande wajibu maombi Wakili wa Serikali,Deodatus Nyoni amesema kuwa wamepokea uamuzi wa Mahakama lakini amesisitiza kuwa mchakato wa uchaguzi wa Serikali za Mitaa haujasimamishwa na amesema kuwa Serikali itaendelea kuhamasisha Wananchi kushiriki uchaguzi huo huku akisema kuwa wapo tayari endapo itafunguliwa kesi ya msingi.

PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Kitendo cha Mahakama kwenda kutoa hukumu ya TAMISEMI kusimamia uchaguzi wa Serikali za Mitaa ni kuzidi kubariki uovu wa CCM

- Kuelekea 2025 - Bob Wangwe aiomba Mahakama Kuu iizuie TAMISEMI kusimamia shughuli za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa
Waombe Mods warekekebishe kichwa cha habari.
Kiwe.........Kusimamia........na siyo Kutosimia uchaguzi .
 
Mahakama Kuu Masjala Ndogo Dar es Salaam imeanza kusoma uamuzi wa shauri la maombi ya kibali cha kufungua shauri la mapitio ya Mahakama.

Uamuzi wa shauri hilo namba 19721/2024, lililofunguliwa na wananchi watatu, Mwenyekiti wa Jukwaa la Katiba, Bob Wangwe, Ananilea Nkya na Buberwa Kaiza, unasomwa muda huu (leo Jumatatu Septemba 9, 20204) na Jaji Wilfred Dyansobera aliyelisikiliza shauri hilo.

Katika shauri hilo, wanaomba kibali kufungua shauri la mapitio ya Mahakama, ili kupinga Kanuni za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa wa mwaka 2024 ziliizotungwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi) na uchaguzi huo kusimamiwa na OFisi ya Rais Tamisemi.

Hata hivyo, wajibu maombi, Waziri wa Tamisemi na Mwanasheria Mkuu wa Serikali wameweka pingamizi dhidi ya maombi hayo iyatupilie mbali, wakidai yana kasoro za kisheria, huku walibainisha hoja tatu za pingamizi hilo.

Mahakama iliamua kusikiliza pingamizi hilo kwa pamoja na shauri la msingi (maombi ya kibali).
Hivyo, katika uamuzi wake Mahakama imeanza kutoa maamuzi wa hoja za pingamizi ambapo uamuzi wake ama unaweza kulifanya shauri hilo liishie hapo, kama itakubaliana na pingamizi hilo, au kuendelea katika uamuzi wa shauri la msingi, kama italitipilia mbali pingamizi la wajibu maombi.

Kwa sasa, Jaji Dyansobera anachambua hoja moja moja ya pingamizi kuona kama zina mashiko au la, kwa kulinganisha na hoja za kila upande kabla ya kufikia hitimisho ambalo ndilo uamuzi wa Mahakama kwa kila hoja.

Aidha Mahakama Kuu Masjala Ndogo ya Dar es Salaam, imeruhusu kibali cha waombaji kufungua shauri la mapito ya Mahakama kupinga uchaguzi wa serikali za mitaa.
Hata hivyo, Mahakama Kuu imekataa kusimamisha mchakato wa shughuli zinazoendelea za uchaguzi wa
serikali za mitaa.

Shauri hilo namba 19721/2024, lililofunguliwa na wananchi watatu--- Mwenyekiti wa Jukwaa la Katiba, Bob Wangwe, Ananilea Nkya na Buberwa Kaiza.

SOURCE: MWANANCHI
 

Mahakama Kuu ya Tanzania leo September 09,2024 imesema kuwa waleta maombi kwenye shauri ambalo walikuwa wanaomba idhini ya Mahakama wana haki ya kufungua kesi kuhoji uhalali wa Sheria ndogo zilizotungwa kwa lengo la uratibu na uendeshaji wa uchaguzi wa Serikali za Mitaa kwa mwaka 2024 kupitia Wizara ya Ofisi ya Rais TAMISEMI.

Kesi hiyo ilifunguliwa na Mkurugenzi wa Jukwaa la Katiba Tanzania (JUKATA), Bob Wangwe, Bubelwa Kaiza na Annanilea Nkya.

Katika shauri hilo waleta maombi hao walipeleka maombi mahakamani dhidi Waziri wa Ofisi ya Rais -TAMISEMI na Mwanasheria Mkuu wa Serikali wakiiomba Mahakama kibali cha kuweza kufungua kesi kuhoji uhalali huo ambao umetoa nafasi kwa Wazara hiyo kuratibu uchaguzi huo.

Akisoma uamuzi huo Mh. Jaji Wilfred Ndyansobera amesema waleta maombi wameweza kuthibitisha maombi waliyowasilisha na wana maslahi katika kesi ya msingi

Waleta maombi walidai kuwa uhalali huo unapoka mamlaka Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi.

Aidha akizungumza mara baada uamuzi huo Wakili wa upande wa waleta maombi, Wakili Jebra Kambole amesema kuwa baada ya uamuzi wa Mahakama ndani ya siku 14 watafungua kesi ya msingi kupinga uhalali wa Ofisi ya Rais- TAMISEMI kuratibu na kusimamia uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024, na kuomba zuio la Mahakama kwenye michakato ya uchaguzi huo inayoendelea.

Lakini kwa upande wajibu maombi Wakili wa Serikali,Deodatus Nyoni amesema kuwa wamepokea uamuzi wa Mahakama lakini amesisitiza kuwa mchakato wa uchaguzi wa Serikali za Mitaa haujasimamishwa na amesema kuwa Serikali itaendelea kuhamasisha Wananchi kushiriki uchaguzi huo huku akisema kuwa wapo tayari endapo itafunguliwa kesi ya msingi.

PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Kitendo cha Mahakama kwenda kutoa hukumu ya TAMISEMI kusimamia uchaguzi wa Serikali za Mitaa ni kuzidi kubariki uovu wa CCM

- Kuelekea 2025 - Bob Wangwe aiomba Mahakama Kuu iizuie TAMISEMI kusimamia shughuli za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa

"TAMISEMI kutosimamia uchaguzi!" Kwahiyo wanataka isimamie, mbona ndivyo ilivyo.​

 
Serikali ilikuwa na mapingamizi yasiyo kuwa na manufaa, kwani sheria mbovu haitakiwi kubwebwa na serikali kuwanyima wananchi uchaguzi ulio huru na wa haki kwa wote.


Tunasubiri sasa raundi ya pili serikali kushitakiwa, je itakuja bila haya wala soni kutumia utetezi wake wa sheria mbovu isiyotaka kurekebishwa na bunge la chama kimoja Dodoma kulazimisha TAMISEMI isimamie uchaguzi wa November 2024?

Jebra Kambole anafafanua hatua hii ya mwanzo ya kuruhusiwa raia 3 Bi. Nkya, Bw. Kaiza na Bob Wangwe kuishtaki serikali kwa niaba ya watanzania milioni 60 ambapo serikali ktk moja ya mapingamizi yake hoja ya serikali ilisema kuwa raia 3 hawawezi kuwanyima raia mamilioni waliojiandikisha wasiweze kupiga kura ktk uchaguzi utakao simamiwa na TAMISEMI November 2024


View: https://m.youtube.com/watch?v=yUucsOUOXfI
 
Serikali ya CCM kujiburuza kutoweka kiraka katika katiba ili uchaguzi uwe huru na wa haki, wanatumia hoja ya kiufundi :

Mambo mazito yaelezewa kwa kina :

:FIRE: MAZITO :

BUNGE KUTOTUNGA SHERIA INAIPA TAMISEMI KUSIMAMIA UCHAGUZI


View: https://m.youtube.com/watch?v=zsVIiXNjhlg

2024 Majukumu ya Tume INEC:

10.-(1) Kwa kuzingatia matakwa ya Ibara za 74(6), 75 na 78 za Katiba, Tume itakuwa na majukumu yafuatayo:

(a) kusimamia na kuratibu uandikishaji wa wapiga kura kwa ajili ya uchaguzi wa Rais na Wabunge katika Jamhuri ya Muungano na uchaguzi wa Madiwani kwa Tanzania Bara;

(b) kusimamia na kuratibu uendeshaji wa uchaguzi
wa Rais na Wabunge na uchaguzi wa Madiwani
kwa Tanzania Bara;

(c) kusimamia na kuratibu uendeshaji wa uchaguzi
wa serikali za vijiji, mitaa na vitongoji TanzaniaBara kwa kuzingatia utaratibu utakao ainishwa katika Sheria itakayotungwa na Bunge;

(d) kuchunguza mipaka na kuigawa Jamhuri ya
Muungano katika maeneo mbalimbali kwa ajili ya
uchaguzi wa Wabunge;

(e) kuteua na kuwatangaza Wabunge Wanawake wa
Viti Maalumu katika Jamhuri ya Muungano na Madiwani Wanawake wa Viti Maalumu kwa Tanzania Bara;

(f) kuandaa na kusimamia Kanuni za Maadili ya.....

Source :
SHERIA YA TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI YA MWAKA
2024 (22nd March, 2024
ACT SUPPLEMENT To The Gazette of the United Republic of Tanzania No. 12 Vol. 105 Dated 22
nd March, 2024Printed by The Government Printer, Dodoma by Order of Government)


Wakili msomi anafafanua mkanganyiko uliopo katika jamii, Tume Huru ya Uchaguzi pamoja ya kupewa mamlaka ya kusimamia chaguzi, tatizo bunge la chama kimoja haijapitisha sheria bungeni kuipa meno kusimamia Uchaguzi wa Serikali za Mitaa November 2024 mawakili wasema.....

Zaidi ya hilo uchaguzi wa serikali ya mitaa ili uweze kupiga kura lazima uwe unaorodhoshwe ktk daftari ikiwemo .... bila kujiandikisha kwenye daftari hutaweza kupiga kura uchaguzi wa TAMISEMI November 2024...

Mpaka itapotungwa sheria bungeni waziri wa TAMISEMI ataendelea kusimamia uchaguzi wa November 2024 ....

Bandiko #63 hapo juu : Kama kule Butiama zoezi ni la uchaguzi mkuu wa 2025 , hivyo wananchi wasichanganye uandikishaji kule Butiama ni mahsusi kwa uchaguzi mkuu 2025

Ni lazima tena kujiandikisha ktk daftari la Serikali ya Mitaa ili uweze kupiga kura November 2024 .....
 

Mahakama Kuu ya Tanzania leo September 09,2024 imesema kuwa waleta maombi kwenye shauri ambalo walikuwa wanaomba idhini ya Mahakama wana haki ya kufungua kesi kuhoji uhalali wa Sheria ndogo zilizotungwa kwa lengo la uratibu na uendeshaji wa uchaguzi wa Serikali za Mitaa kwa mwaka 2024 kupitia Wizara ya Ofisi ya Rais TAMISEMI.

Kesi hiyo ilifunguliwa na Mkurugenzi wa Jukwaa la Katiba Tanzania (JUKATA), Bob Wangwe, Bubelwa Kaiza na Annanilea Nkya.

Katika shauri hilo waleta maombi hao walipeleka maombi mahakamani dhidi Waziri wa Ofisi ya Rais -TAMISEMI na Mwanasheria Mkuu wa Serikali wakiiomba Mahakama kibali cha kuweza kufungua kesi kuhoji uhalali huo ambao umetoa nafasi kwa Wazara hiyo kuratibu uchaguzi huo.

Akisoma uamuzi huo Mh. Jaji Wilfred Ndyansobera amesema waleta maombi wameweza kuthibitisha maombi waliyowasilisha na wana maslahi katika kesi ya msingi

Waleta maombi walidai kuwa uhalali huo unapoka mamlaka Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi.

Aidha akizungumza mara baada uamuzi huo Wakili wa upande wa waleta maombi, Wakili Jebra Kambole amesema kuwa baada ya uamuzi wa Mahakama ndani ya siku 14 watafungua kesi ya msingi kupinga uhalali wa Ofisi ya Rais- TAMISEMI kuratibu na kusimamia uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024, na kuomba zuio la Mahakama kwenye michakato ya uchaguzi huo inayoendelea.

Lakini kwa upande wajibu maombi Wakili wa Serikali,Deodatus Nyoni amesema kuwa wamepokea uamuzi wa Mahakama lakini amesisitiza kuwa mchakato wa uchaguzi wa Serikali za Mitaa haujasimamishwa na amesema kuwa Serikali itaendelea kuhamasisha Wananchi kushiriki uchaguzi huo huku akisema kuwa wapo tayari endapo itafunguliwa kesi ya msingi.

PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Kitendo cha Mahakama kwenda kutoa hukumu ya TAMISEMI kusimamia uchaguzi wa Serikali za Mitaa ni kuzidi kubariki uovu wa CCM

- Kuelekea 2025 - Bob Wangwe aiomba Mahakama Kuu iizuie TAMISEMI kusimamia shughuli za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa
For academic purposes ni muhimu sana hii :pulpTRAVOLTA:
 

Mahakama Kuu ya Tanzania leo September 09,2024 imesema kuwa waleta maombi kwenye shauri ambalo walikuwa wanaomba idhini ya Mahakama wana haki ya kufungua kesi kuhoji uhalali wa Sheria ndogo zilizotungwa kwa lengo la uratibu na uendeshaji wa uchaguzi wa Serikali za Mitaa kwa mwaka 2024 kupitia Wizara ya Ofisi ya Rais TAMISEMI.

Kesi hiyo ilifunguliwa na Mkurugenzi wa Jukwaa la Katiba Tanzania (JUKATA), Bob Wangwe, Bubelwa Kaiza na Annanilea Nkya.

Katika shauri hilo waleta maombi hao walipeleka maombi mahakamani dhidi Waziri wa Ofisi ya Rais -TAMISEMI na Mwanasheria Mkuu wa Serikali wakiiomba Mahakama kibali cha kuweza kufungua kesi kuhoji uhalali huo ambao umetoa nafasi kwa Wazara hiyo kuratibu uchaguzi huo.

Akisoma uamuzi huo Mh. Jaji Wilfred Ndyansobera amesema waleta maombi wameweza kuthibitisha maombi waliyowasilisha na wana maslahi katika kesi ya msingi

Waleta maombi walidai kuwa uhalali huo unapoka mamlaka Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi.

Aidha akizungumza mara baada uamuzi huo Wakili wa upande wa waleta maombi, Wakili Jebra Kambole amesema kuwa baada ya uamuzi wa Mahakama ndani ya siku 14 watafungua kesi ya msingi kupinga uhalali wa Ofisi ya Rais- TAMISEMI kuratibu na kusimamia uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024, na kuomba zuio la Mahakama kwenye michakato ya uchaguzi huo inayoendelea.

Lakini kwa upande wajibu maombi Wakili wa Serikali,Deodatus Nyoni amesema kuwa wamepokea uamuzi wa Mahakama lakini amesisitiza kuwa mchakato wa uchaguzi wa Serikali za Mitaa haujasimamishwa na amesema kuwa Serikali itaendelea kuhamasisha Wananchi kushiriki uchaguzi huo huku akisema kuwa wapo tayari endapo itafunguliwa kesi ya msingi.

PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Kitendo cha Mahakama kwenda kutoa hukumu ya TAMISEMI kusimamia uchaguzi wa Serikali za Mitaa ni kuzidi kubariki uovu wa CCM

- Kuelekea 2025 - Bob Wangwe aiomba Mahakama Kuu iizuie TAMISEMI kusimamia shughuli za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa
This is good news
P
 

Mahakama Kuu ya Tanzania leo September 09,2024 imesema kuwa waleta maombi kwenye shauri ambalo walikuwa wanaomba idhini ya Mahakama wana haki ya kufungua kesi kuhoji uhalali wa Sheria ndogo zilizotungwa kwa lengo la uratibu na uendeshaji wa uchaguzi wa Serikali za Mitaa kwa mwaka 2024 kupitia Wizara ya Ofisi ya Rais TAMISEMI.

Kesi hiyo ilifunguliwa na Mkurugenzi wa Jukwaa la Katiba Tanzania (JUKATA), Bob Wangwe, Bubelwa Kaiza na Annanilea Nkya.

Katika shauri hilo waleta maombi hao walipeleka maombi mahakamani dhidi Waziri wa Ofisi ya Rais -TAMISEMI na Mwanasheria Mkuu wa Serikali wakiiomba Mahakama kibali cha kuweza kufungua kesi kuhoji uhalali huo ambao umetoa nafasi kwa Wazara hiyo kuratibu uchaguzi huo.

Akisoma uamuzi huo Mh. Jaji Wilfred Ndyansobera amesema waleta maombi wameweza kuthibitisha maombi waliyowasilisha na wana maslahi katika kesi ya msingi

Waleta maombi walidai kuwa uhalali huo unapoka mamlaka Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi.

Aidha akizungumza mara baada uamuzi huo Wakili wa upande wa waleta maombi, Wakili Jebra Kambole amesema kuwa baada ya uamuzi wa Mahakama ndani ya siku 14 watafungua kesi ya msingi kupinga uhalali wa Ofisi ya Rais- TAMISEMI kuratibu na kusimamia uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024, na kuomba zuio la Mahakama kwenye michakato ya uchaguzi huo inayoendelea.

Lakini kwa upande wajibu maombi Wakili wa Serikali,Deodatus Nyoni amesema kuwa wamepokea uamuzi wa Mahakama lakini amesisitiza kuwa mchakato wa uchaguzi wa Serikali za Mitaa haujasimamishwa na amesema kuwa Serikali itaendelea kuhamasisha Wananchi kushiriki uchaguzi huo huku akisema kuwa wapo tayari endapo itafunguliwa kesi ya msingi.

PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Kitendo cha Mahakama kwenda kutoa hukumu ya TAMISEMI kusimamia uchaguzi wa Serikali za Mitaa ni kuzidi kubariki uovu wa CCM

- Kuelekea 2025 - Bob Wangwe aiomba Mahakama Kuu iizuie TAMISEMI kusimamia shughuli za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa
Wakitufinya sana halafu wanatupuliza kidogo
 
Back
Top Bottom