mtayeshelwa
JF-Expert Member
- Oct 28, 2011
- 1,170
- 390
Hahaha mkwepa kodi vipi ukiambiwa uende lumsnde kwa niaba ya huyo dada utakuwa tayari.Sasa magufuli hana utani, ila kale kadada wangekaachia jamani mweeeeeeeee yaani kazuri mnooooo
Kumbe zile ndoo ni za kunyea???asante nimejua sasa.Mimi nitapeleka shauri kupinga wao kwenda na Ndoo zao, tena Mpya. Kule si kuna ndoo za watu wote kunyea, wao ni akina nani mpaka waende na mpya?
Kumbe watu wanajua eeeh!!!!!Masikini mkwe wa Lowassa!!!
Aise, huku kwetu hilo neon lina maana tofauti kabisa mkuuTeh teh, Mahakama imewadindia?
hata yeye amemaanisha hivyo hivyo kuwa imedindaAise, huku kwetu hilo neon lina maana tofauti kabisa mkuu
Wako soft sana wale, wakitumia zile za kigumu watachubuka aiseeeMimi nitapeleka shauri kupinga wao kwenda na Ndoo zao, tena Mpya. Kule si kuna ndoo za watu wote kunyea, wao ni akina nani mpaka waende na mpya?
Sasa mahakama nayo inawezaje kufanya hivyo? Una maana mahakama nayo ina jinsia? Au tuna maana tofauti na hi ninayo ijua mkuu!?hata yeye amemaanisha hivyo hivyo kuwa imedinda
hahaha zile ndoo zitakua zipo kule rupango zinawasubiri aise mdausasa sijui watabeba tena ndoo zingine au zile waliziacha kule kule
Hapana,Serena hotel.Kwa hiyo wanapelekwa rumande!
Wivu au uchungu? Sisi wengine tunalipa kodi wengine wanachezea, wache wakale ugali wa bure.Wengi tunachangia huku tukiwa tumejawa na wivu wa kimasikini!!!!.
Pole yao watuhumiwa wote, hilo kosa la kutakatisha fedha halina dhamana. Mungu awatangulie katika safari yenu ya kupambania haki yenu ya msingi.