Magroup ya Harusi WhatsApp yanakera!

Hahahaa, dah dhana unayotaka kusema imenifurahisha mkuu..... hivi Bado kuna watu wanachangia harusi watu ambao hawako close "Kiivyo"..yani just because you know me ndo nichangie? wengine hata kupigiana simu hamjawahi, for the first time nina kadi yako ya mchango..waafrika sisi???? Harusi mil 30.,,,, income Laki 650......
Mi Nina group huko wasap kuna watu wanataka kuoa tena hatukuwa close kiivyo wala nini na tulipoteana miaka kibao tena kuna wwngine wanadharau balaa .

Halafu wanataka mchamgo Leo wanakutajia fixed amount kabisa eti single na double khaa

Halafu wanavyoomba mchango na kuleta shombo flani za kuponda
 
Mi Nina group huko wasap kuna watu wanataka kuoa tena hatukuwa close kiivyo wala nini na tulipoteana miaka kibao tena kuna wwngine wanadharau balaa .

Halafu wanataka mchamgo Leo wanakutajia fixed amount kabisa eti single na double khaa

Halafu wanavyoomba mchango na kuleta shombo flani za kuponda
Waambie huwezi toa hela yako kwa omba omba wenye nguvu zao, we unachangia matatizo tu! sio anasa
yani waafrica sisi tupo nyuma kwa kila kitu mkuu
 
Huu ujinga wa kuchangia harusi sinta kaa nifanye. Kama nashida ya kuharibu fedha zangu bora nizipelekee bar .
 
Hivi ni kuleft group ? auku leave group yani simple past tense inasumbua watu unakuta mtu anamwambia kwanini usileft.....
 
Unamlalamikia nani humu JF huko kwenye group umelazimisha kuwepo?
 
Unamlalamikia nani humu JF huko kwenye group umelazimisha kuwepo?
 
Nadhani Tatizo ni Ugumu wa maisha (kwa kipindi hiki). Lakini dhana nzima ya kuchangia na kuchangishwa haina Tatizo. Sisi waafrika kwa utamaduni wetu tunaishi maisha ya pamoja (ya kijamaa). Na harusi ni kitu cha kipekee kwenye historia ya maisha.
Kinachokera ni tabia ya watu kutaka kufanya sherehe kubwa ya kifahari kuliko uwezo wao. Sasa wanaanza kusumbua wengine na kuwapangia kiasi cha kuchanga!!!!
 
Hahahaa, dah dhana unayotaka kusema imenifurahisha mkuu..... hivi Bado kuna watu wanachangia harusi watu ambao hawako close "Kiivyo"..yani just because you know me ndo nichangie? wengine hata kupigiana simu hamjawahi, for the first time nina kadi yako ya mchango..waafrika sisi???? Harusi mil 30.,,,, income Laki 650......

Kuchangia sawa ila aisee eti harusi mil 20 naseema sichangi.

Harusi hane mun south africa,Anabebwa na Vogue,Ukumbi mliman city,nooooooo
 
Hehehe watanzania tuna matatizo mengi dahh. Fanya harusi kulingana na uwezo wa familia yenu. Harusi ni swala la familia. alika watu kulingana na budget yako waalikwa kwa uwezo wao watakuja na zawadi. Hata kuchangisha marafiki sio sawa.
 
Kuna jamaa mmoja nilikuwa nakwepa kumchangia ila aliponiadd kwny group WhatsApp nikawa sina ujanja, kujitoa naona so dah!
 
Teh si bora magrupu unaweze kumute ukachuunaa! Kuna hizi kadi na msg nina kadi nne zote zinafatana !hivi kwani kufanya harusi hadi uchangiwee?? Eboh! Yani mtu huna hata kagari ka mil 5 teh unataka harusi ya mil 7 mfyuu! Si utumwa huu?! We unataka kuoa mwakani anza kuweka vijisenti vyako waambie ndugu zako wakuchangie alika watu kulingana na bajeti siyo kusumbuana kwe cm ka deni!lnchi yenyewe ishakuwa ngumu hii tutaonana wabaya!oohoh! Loh!

Word !!
 
mi waliniweka kwa group nikaleft fasta, wengine unakuta hamjawasiliana kwa miaka lakini kwenye ishu ya michango ya harusi unatafutwa kwa lazima. Huku tunaisoma namba na watu wanatuongezea shida nyingine za michango ya harusi kila kona.
Ukishamchangia anapotea
 
Heeeee!
Simu yangu mpaka sasa ina magrupu ka 8 ya harusi. Tena kwa mbwembwe wengine wanadai pledge ianzie 250,000 mara 300,000 mara 150,000. Heee, jamani, na huu uchumi uliobanwa na JPM bado nitoe milaki kila grupu? Na bado mnaniadd bila kunambia????

Hii kitu inakera aisee, TRA anzisheni kodi kwenye hizi harusi na grupu za whatsapp, tena watoe na lisiti la sivyo hiyo miaka 3 jela iwahusu. Mi harusi yangu hakuna michango, just naenda church namaliza ndoa kisha niliowaalika home watakuja na kula na kunywa kitakachopatikana!!!

si ujiUK tu.
 
Back
Top Bottom