Maelfu ya wakazi wa Goma wakusanyika uwanjani kusikiliza Hotuba ya Corneille Nangaa kiongozi wa AFC/M23

Waufukweni

JF-Expert Member
May 16, 2024
2,498
7,061
Maelfu ya wakazi wa Goma Alhamis hii walikusanyika katika Uwanja wa Unity kuhudhuria mkutano wa hadhara ulioongozwa na Corneille Nangaa, mratibu/kiongozi wa Alliance Fleuve Congo (AFC/M23).

Ambapo amewatambulisha maafisa wapya wa Kivu Kaskazini.

Kwa mujibu wa msemaji wa AFC/M23, Laurence Kanyuka, Joseph Bahati Musanga ameteuliwa kuwa Gavana wa Kivu Kaskazini


Soma, Pia: M23 waliamsha tena DRC, Wauteka mji wa Nyabibwe, Jimbo la Kivu Kusini
 
Maelfu ya wakazi wa Goma Alhamis hii walikusanyika katika Uwanja wa Unity kuhudhuria mkutano wa hadhara ulioongozwa na Corneille Nangaa, mratibu wa Alliance Fleuve Congo (AFC/M23).
View attachment 3227121
Dah......! Halafu wachawi ambao si wakazi wa Goma wanawalalamikia wapigania ukombozi wa M23, huo umati it's an indication of their support otherwise wasingeenda hapo uwanjani.
Unless kama hiyo clip ni editing hao si watu halisi vinginevyo maana yake ni kwamba watu wa Goma wanawakubali hao 'wakombozi' wa M23.
 
Was 1996 hiyo
Wanautumia mpaka Leo jeshini Rwanda. Nimeweka kuonyesha kuwa ama m23 wamepata mafunzo nchini Rwana au ni sehemu ya kikosi Cha Rwanda ndio maana wameuimba wimbo huo baada ya kuitwaa Goma. Ni wimbo unaotumika kwa hamasa na kuwajengea uzalendo vijana wa rwanda
 
Hizi ndo mambo za Africa, wazungu wanafurahi sana kuona haya
20250202_094042.jpg
 
Back
Top Bottom