Maelfu wawasili jijini Mwanza kushuhudia uteuzi Katibu Mkuu CHADEMA

NA mmiliki wa chadema Lowassa anawasili lini
Acha kujivua ufahamu.... Lowassa ni mwanachama wa chadema na ataendelea kuwasumbua vichwa nyie kunguni wa Lumumba....

Lowassa amesababisha Magufuli leo anafanya kazi kwa Ilani na Sera za Ukawa!

Lowassa ni habari nyingine wewe!
 
Sisi na Magufuri wetu anaendelea kutumbua majipu , Kyadema na na nyumbu zake wnaendelea na mafuriko eeeeh ?
 
Duh....yaani maelfu ya watu kutoka mikoani waje kufuatilia tu uteuzi wa katibu mkuu mpya?Haya bhana!!!??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…