MOTOCHINI
JF-Expert Member
- Jan 20, 2014
- 28,044
- 31,375
Mlisema hawa ndio walinzi wa kurambona umeshaanza kuweweseka sasa?
Kilicho fuata
Mkaanza kulialia
Mbona hatukuweweseka
Mlisema hawa ndio walinzi wa kurambona umeshaanza kuweweseka sasa?
Ufipa
Nawewe Zumbu kukuNenda kaongele huko kwenye ukiritimba
Acha kujivua ufahamu.... Lowassa ni mwanachama wa chadema na ataendelea kuwasumbua vichwa nyie kunguni wa Lumumba....NA mmiliki wa chadema Lowassa anawasili lini
Sija banwa
Nikibanwa ntaenda kukojolea ufipa
Hata kichaa anahaki kuongea popoteChama siku hizi kimehamia sinza makaburini kama utaenda ufipa guest house kupiga master sawa
Sisi na Magufuri wetu anaendelea kutumbua majipu , Kyadema na na nyumbu zake wnaendelea na mafuriko eeeeh ?
Umeandika lugha ganiFicha ujinga wako unazidi kujithalilisha dada wewe endelea na biashara yako kusuka upate kipato cha kusaidia familia yako.
Mama yakoNawewe Zumbu kuku
Nani kakufungulia![]()
![]()
![]()
Hakika ni historia.Hilo ndilo tunaloweza kusema kwa sasa kutokana na hekaheka zinazoendelea hapa jijini Mwanza.
Umati wa wafuasi,wapenzi na wanachama wa Chadema umekuwa ukifurika hapa jijini tangu jana wakitokea mikoa mbalimbali kwa lengo la kushuhudia utangazwaji wa Katibu Mkuu mpya anayetarajiwa kukiongoza chama hicho chenye ufuasi mkubwa nchini.
Baadhi ya wafuasi waliotokea Ruvuma walisema wamekuja hapa kuonyesha mapenzi waliyo nayo kwa chama chao.
Mitaa mbalimbali ya hapa Mwanza kwa sasa imepambwa kwa bendera za Chadema huku magari mengi ya watu binafsi na ya kubebea abiria na bodaboda zikiwa zinapeperusha bendera za Chadema.
Kwa hakika Katibu Mkuu atakayechaguliwa kesho ataingia kwenye vitabu vya historia kwa jinsi kulivyo na mhemko wa umma juu ya upatikanaji wake.
Ratiba inaonyesha mara baada ya kuchaguliwa kesho usiku atatambulishwa Jumapili kwenye viwanja vya Furahisha,mkutano unaotarajiwa kuvunja rekodi ya mahudhurio.
Vikosi vya ulinzi vya Chadema vya Red brigade pamoja na polisi wametanda maeneo vinapofanyika vikao vya Kamati Kuu na baadaye Baraza Kuu kwa lengo la kuimarisha ulinzi.
Hakika hii ni zaidi ya kumpata Katibu Mkuu.Katibu Mkuu atakayeweka historia mpya.
Kama siyo Lowassa kisingefanyika kitu huko lumumbaSisi na Magufuri wetu anaendelea kutumbua majipu , Kyadema na na nyumbu zake wnaendelea na mafuriko eeeeh ?
Hana kiumbe wa ajabu kama weweMama yako
Hadi keshoUmepata MB za bure leo
Kina mama wanakujaje tena umuuu???Mama yako
Nakutambua wewe kama ni KilazaHujitambui wewe
Hadi kesho