ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 19,770
- 45,354
Madeni ambayo yanazidi kipato chako unaweza ukapigika nayo mpaka ukakosa hela ya kununua dawa ya meno na unaweza kukaa mwezi bila hela mpaka usione umuhimu wa dawa ya meno.mtu mmoja unadaiwa na bank,na micro credits,kausha damu,kodi,vifurushi,chakula wakati kipato chenyewe hakitoshi kiasi kwamba mshahara unachukua chini ya siku tatu.laki hio ambayo unaipata kwa mbinde ikija kwenye matumizi inaisha haraka Sana