Machinga wapinga agizo la RC Dar kuzuia uuzwaji wa Filamu za nje ya nchi, Waandamana

Nadhani wewe ndiye mwenye povu, na it is simply because you Bashite and the big Bashite, both you know nothing about how to handle this matter!
Si mzima wewe!unaongelea watu ambao hawapo kwenye mada wala hawapo kwenye uongozi.Kapimwe Bipolar!
 
Mtoa mada hujaelewa hoja ya serikali. Serikali inataka kulinda hatimiliki za hao wanaozalisha movie za nje. Ndio maana ukitaka kuuza movie lazima uwe na mkataba na mwenye movie husika.

Lengo ni kuhalalisha biashara ya movie iwanufaishe wenye hizo movie lakini vile vile watu walipe kodi stahiki za serikali
 
Siangalii ujinga... Wanashindwa kuwa wabunifu wamekalia mapenzi
MADUDU YAO HUWEZI TAZAMA NA FAMILIA NANI YUPO TAYARI KUHARIBU HESHIMA KTK FAMILIA YAKE!
NA NYIE MNAO TUZIDI MIVYEO, UMRI NAKADHALIKA MUWAGE MTAFUTA HATA USHAURI AU WASHAURI BASI KHAAAH!
 
Si mzima wewe!unaongelea watu ambao hawapo kwenye mada wala hawapo kwenye uongozi.Kapimwe Bipolar!
Watu gani ambao hawapo kwenye mada? wewe ni Bashite kwa kuwa unajadili hili suala hapa kibashite, na the Big Bashite ndiye amefuatwa/ amewafuata wasanii wanaofikiri kibashite. Huwezi kuelewa kwa kuwa wewe ni bashite!
 
Mkuu huyo ni Ajuza wa kingosha Alisha kunywa damu ya kijani... Hutaweza comment zake zote zina Hapa Kazi tu... Sijuwi anajuaga hata anacho commentigi hatakama hoja iko positive...
Ni kati ya wale waliotabiriwa kifo na Ex-ktb wao muenezi.
 
Watuzuie na kudownload,maana ni wachache sana wanaonunua CD.

Hapa nilipo nasubiria episode ya 3 ya Prison Break ni download.
 
Back
Top Bottom