majebelenzoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2024
- 204
- 362
Kwa nechi ya leo au ile jamaa aliyefunga kwa ngumi?TFF itafute marefa kutoka ulaya kama ilivyofanya saudia
Kwa nechi ya leo au ile jamaa aliyefunga kwa ngumi?TFF itafute marefa kutoka ulaya kama ilivyofanya saudia
Kumbe Shabiki wa Rede Aliyepotea Njia Marefa Hawalipwi na Serikali Sawa ?Mi ni serikali?
Wanalipwa na mumeo?Kumbe Shabiki wa Rede Aliyepotea Njia Marefa Hawalipwi na Serikali Sawa ?
Goli chache ni ngapi imefungwa, akili zenu zimefungiwa kwenye mfuko, mashabiki mandazi kama nyie ni janga la taifa, ebu Rudi ukacheki aina ya magoli yenu mnavyoyapata na ufanye study ndogo tu ya eneo lako la back line linavyocheza ndio urudi hapa nijadili na wewe vinginevyo akuna unachokijua zaidi ya mihemko tu!Timu ambayo haiko vizuri kwenye defence line ndio imefungwa goli chache zaidi kuliko timu zote,utopolo wasingesaidiwa na Kayoko sasa hivi kungekuwa na gap la point 7.Kwani utopolo baada ya kuwashauri ndugu zao wapeleke mechi Zanzibar ili wawafunge vizuri waliwafunga goli ngapi?
ZoteKwa nechi ya leo au ile jamaa aliyefunga kwa ngumi?
Hela za Foleni pleyas......Hazitoshi changia na Wewe Mleta Wazo.Kwani kwa suala la wachezaji wakigeni wao wana hangia shilingi ngapi?
Kwenye hizo hela za foreni pleyas wanazo charge ndio watumie kulete refa toka outside
Gape litaongezeka kwenye mechi ya gani labda tuanzie hapoHizo Akili za fisi kusubiri mkono udondoke ndio umaamuma wenyewe...Hutaki umetaka Simba bingwa msimu huu. Kuna gape la point 3 litaomgezeka muda sio mrefu tena mzunguko wa 19 hadi 21
Wewe kenge hujui lolote unatufundisha nini?Goli chache ni ngapi imefungwa, akili zenu zimefungiwa kwenye mfuko, mashabiki mandazi kama nyie ni janga la taifa, ebu Rudi ukacheki aina ya magoli yenu mnavyoyapata na ufanye study ndogo tu ya eneo lako la back line linavyocheza ndio urudi hapa nijadili na wewe vinginevyo akuna unachokijua zaidi ya mihemko tu!
Mie mbona nachangia tayari nalipoa azam tv nae da kicheki game uwanjani sasa mchango gani tenaHela za Foleni pleyas......Hazitoshi changia na Wewe Mleta Wazo.
Usijifanye unajua sana matusi jaribu kuwa na adabu usidhani Kila Mmoja hapa ni mvuta bangi sawa,,kama auna hoja pita kushoto,,jiheshimu!Wewe kenge hujui lolote unatufundisha nini?
Hujui mpira kijana, katazame takwimu,umecheza na Dodoma,Mzize kapewa assisst na kipa asiye na game fitness,mmepewa penati ya mchongo na goli la offside la Dube, halafu timu wachezaji watano wa kikosi cha kwanza wamepumzishwa kwa maagizo. Huyu hapa kipa hajacheza kwa zaidi ya miezi 6 na analalamika hana match fitness lakini wamempanga na kipa no 1 ni mzima na amecheza leo dhidi ya MashujaaGoli chache ni ngapi imefungwa, akili zenu zimefungiwa kwenye mfuko, mashabiki mandazi kama nyie ni janga la taifa, ebu Rudi ukacheki aina ya magoli yenu mnavyoyapata na ufanye study ndogo tu ya eneo lako la back line linavyocheza ndio urudi hapa nijadili na wewe vinginevyo akuna unachokijua zaidi ya mihemko tu!
Sisi kama Yanga tumeuzoea, na hatuji utoa ,ni mbele daima tunao.Na mnavumilia aisee, mwiko nyuma tangu 1933?
Ya Metacha nakataa,ana ujinga mwingi sana Kwa alipo ninsahihi kifanya lkn sikwa timu kubwa,hata Azam hawezi kua no 11. Leo tumeshuhudia mechi nyingine tafu kwa Simba, ukubwa wa Simba umeamua mechi.
2. Singida waliingiia na maneno ya nje ya uwanja kuwa marefa wako upande wa Simba, hii iliwatoa mchezoni mapema.
3. Huenda Jean Charles Ahoua ameanza kuizoea ligi, anacheza kikubwa mno ( nilikua nikiuponda uchezaji wake wa nyuma).
4. Kibu Denis ni msaada mkubwa mno kwa Simba, anashambulia na kukaba.
5. Kumtoa Mohamed Hussein kuliifanya Simba icheze defensive game badala ya offensive, Fadlu asingeepuka lawama kama Singida wangepata goli maana ile sub iliwakaribisha Singida langoni kwa Simba.
6. Metacha Mnata ni moja kati ya magolikipa bora wazawa, sielewi kwanini Yanga walimuacha.
7. Mechi ya leo imedefine Simba inataka nini msimu huu, kuna uwezekano Simba ikatwaa ubingwa wa NBC.
Simba nguvu moja.
Kwaiyo kipa asiye na fitness ndio alicheza mechi za timu zote alizoshinda yanga? Yanga kashinda mechi ngapi na kwa idadi ya magoli mangapi mangapi? Ungekuwa unajielewa Wala usingerukia hoja ya magoli ya mchongo kwakuwa Simba ndio mnufaika mkuu wa magoli ya dizaini iyo!Hujui mpira kijana, katazame takwimu,umecheza na Dodoma,Mzize kapewa assisst na kipa asiye na game fitness,mmepewa penati ya mchongo na goli la offside la Dube, halafu timu wachezaji watano wa kikosi cha kwanza wamepumzishwa kwa maagizo. Huyu hapa kipa hajacheza kwa zaidi ya miezi 6 na analalamika hana match fitness lakini wamempanga na kipa no 1 ni mzima na amecheza leo dhidi ya Mashujaa
Na akipigwa mashujaa ama prison wanaumia Simba na mashabiki wao,kesho akilambwa fountain gate nyie ndio mtakuwa wa kwanza kuomba dawa ya preshaLigi ya TZ inachekesha anafungwa Singida wanaumia Yanga. Hawa shabiki WA Uto ni balaa.
Umeshamuona Kayoko anachezesha mpira tangu awabebe utopolo kwenye dabi? Mlipewa goli la offside dhidi ya Coastal Union,refa alikataa goli halali la Ken Gold dhidi yenu, lile goli linafanana na goli mlilofungwa na Mazembe kwa vile kule CAF hawapo akina Kayoko refa akaita kati, Mechi yenu na ndugu zenu Singida waliipeleka Zanzibar ili mkawafunge vizuri,mbona mliwafunga goli moja kama Simba walilofunga kwenye uwanja mbovu wa Liti? Leo waliahidiwa sh milioni 100 wakishinda, umeshawahi kuona wameahidiwa kiasi chochote wakiwafunga Utopolo? Nyie mnabebwa sana lakini hamtazami mechi zenu bali mnatazama za Simba mkiwa na matokeo yenu mfukoni. Sasa hivi kote NBC na CAF mmebaki kucheza kwa kanuni ya Waki Tuki huku Simba anashinda tu mechi zako. Hapa unapitia maumivu makali sana Simba akifunga goli moja kuliko goli nyingiKwaiyo kipa asiye na fitness ndio alicheza mechi za timu zote alizoshinda yanga? Yanga kashinda mechi ngapi na kwa idadi ya magoli mangapi mangapi? Ungekuwa unajielewa Wala usingerukia hoja ya magoli ya mchongo kwakuwa Simba ndio mnufaika mkuu wa magoli ya dizaini iyo!
Mlitegemea tawi lenu liqateteeHiyo point moja tuliyopishana wataitapika tu watake wasitake.
Je wakishinda nyuki wa tabora?Na akipigwa mashujaa ama prison wanaumia Simba na mashabiki wao,kesho akilambwa fountain gate nyie ndio mtakuwa wa kwanza kuomba dawa ya presha
Wewe hoja zako zote ni mfu,,kayoko ndie aliyekwambia Camara atoe assist? Kayoko kapuliza mechi ngapi yanga anapocheza na Simba mbona mmekanyagwa bila ya uyo kayoko mechi zote 3 ambazo akupuliza? Wakiahidiwa ni mpaka wakufate nyumbani kwako wakwambie Leo tumehaidiwa?Umeshamuona Kayoko anachezesha mpira tangu awabebe utopolo kwenye dabi? Mlipewa goli la offside dhidi ya Coastal Union,refa alikataa goli halali la Ken Gold dhidi yenu, lile goli linafanana na goli mlilofungwa na Mazembe kwa vile kule CAF hawapo akina Kayoko refa akaita kati, Mechi yenu na ndugu zenu Singida waliipeleka Zanzibar ili mkawafunge vizuri,mbona mliwafunga goli moja kama Simba walilofunga kwenye uwanja mbovu wa Liti? Leo waliahidiwa sh milioni 100 wakishinda, umeshawahi kuona wameahidiwa kiasi chochote wakiwafunga Utopolo? Nyie mnabebwa sana lakini hamtazami mechi zenu bali mnatazama za Simba mkiwa na matokeo yenu mfukoni. Sasa hivi kote NBC na CAF mmebaki kucheza kwa kanuni ya Waki Tuki huku Simba anashinda tu mechi zako. Hapa unapitia maumivu makali sana Simba akifunga goli moja kuliko goli nyingi