Mabinti jifunzeni siri hii nanyi mtafanikiwa sana

Not always the case...
Who is the bait depends na circumstances za kimaisha....cause people change...

ni kama vile useme mabinti wanaoshiriki u'miss hawana miisho mizuri kwa kumtizama wema sepetu...ila wapo kina nancy sumari,k lyn, faraja and co....sio kwamba walikuwa hawatiani na watu na watu wakajua hamnaaa.....positioning tuu...

mapenzi hayana formula wala mahakama!

Binti kujitunza sanaaa doesnt guarantee you a happy ending!na hio ni FACT,

Ndo mana watu wanatoa mabinti bikra na hawawaoi vile vile!...ingekua basi mtu akimtoa mtu bikra anamthamini sana na kumuoa

Watu wanajichukulia zao used anakaa nae sio kwamba bikra hazipo ama hajawahi toa bikra!

Mambo ni mengi muda mchache!
Anebishana na ukweli hana tofauti na anaepiga ukuta ngumi...... Sawa tufanye wewe uposahihi na hii post jamaa hajaongea ukweli.
 
Ndo hapo sasa we mtu komaa na masketi yako marefu na tako huna uone unavyopitwa na wenye tako ndani ya vipedo...

Thana ya 'heshima' can be overrated

Kila mtu ana chance kwny maisha ...God is for us all
Chance!!! U really depend on chances which never come twice???
Pole sana my frnd.Build ur foundation (not u specifically but watu wenye mtazamo huu)
 
Anebishana na ukweli hana tofauti na anaepiga ukuta ngumi...... Sawa tufanye wewe uposahihi na hii post jamaa hajaongea ukweli.
Mkuu japo ameandika mambo mengi ila ukitulia yupo sahihi. Maisha hayana formula.. Hili utaligundua at your 50's. Ukifika huku utagundua kuwa there is no formula, ila kila mtu ana njia yake kama tu ilivyo kwa wavuta sigara, huyu anakufa mapema sababu ya kuvuta na kuunguza mapafu, yule anazeeka akivuta sigara.

Kuna malaya wameolewa at 30's baada ya kutoa mimba za kutosha na wameolewa na watu wenye uwezo kifedha. Kuna saints wametolewa bikira at 15 na mimba juu tena kwa kubakwa na leo anaonekana malaya aliyezaa nje ya ndoa.
 
Chance!!! U really depend on chances which never come twice???
Pole sana my frnd.Build ur foundation (not u specifically but watu wenye mtazamo huu)
Una uhakika gani chances never come twice?.nani ameweka limit?

Ni kama vile Bilionea Laizer angekosa mawe miaka ya mwanzo akaacha ila leo ndo yuleee

Endelea kujaribu and u will be suprised...na mapenzi yako hivyo muda mwingine
 
Anebishana na ukweli hana tofauti na anaepiga ukuta ngumi...... Sawa tufanye wewe uposahihi na hii post jamaa hajaongea ukweli.
Kasema ukweli ila sio sheria

Maisha yana happen pande zote...! Na wote tunajua hilo


Ni kama vile tuseme wavuta sigara wanakufa wangali wadogo!kwani wengine hawafi for other causes wakiwa wadogo?na hawavuti sigara?

'There are always exceptions
 
Una uhakika gani chances never come twice?.nani ameweka limit?

Ni kama vile Bilionea Laizer angekosa mawe miaka ya mwanzo akaacha ila leo ndo yuleee

Endelea kujaribu and u will be suprised...na mapenzi yako hivyo muda mwingine
U must be responsible for whatever u want to happen in ur life.
Kilichotokea kwa huyu laizer co chance wala bahati.Ni persistance in being responsible to shape n guide his life towards what we witness now.
Acha kukimbia kimbia ukwel my friend
 
U must be responsible for whatever u want to happen in ur life.
Kilichotokea kwa huyu laizer co chance wala bahati.Ni persistance in being responsible to shape n guide his life towards what we witness now.
Acha kukimbia kimbia ukwel my friend
Ni persistence sio persistance


Same applies kwenye mapenzi....
Hata kama umechomoa mimba 5 na una miaka 32 ila ukajipresent kwa namna flani kuficha hizo kasoro zako mbona uta'achieve tu hao mabwana japo jua limezama


Ndo mana nikawauliza ...mabinti wote wa under 25 ambao wako sokoni jua la saa sita wana wenza?

Na je hamna wa jua kuzama wenye wenza pia?

Hamna wasichana wa tabia nzuri wanaozeekea mtaani na hamna anaewaweka ndani?

Na je hamna mabinti mcharuko wanaowekwa ndani pia?

Life can happen to anyone..
 
Ukitaka wasichana wawe na akili kama wanaume ni sawa na kujaribu kumfundisha samaki akiona ndoano akimbie..

Vitu vingine ni beyond akili ya kawaida..

Acha watu wajifunze Kwa hatua na Kwa makosa
Very wrong. Kwanza hakuna sehemu nimesema wanawake wawe na akili kama wanaume. Pili sio kila jambo tunajifunza kwa makosa, ni notion mbaya sana!! Nilichokusudia ni kujizuia kuingia kwenye sex kwa kufuata tamaa za ujana. Nakushauri usome kabla ya kutoa maoni
 
Hii nadharia inarefect ukweli wa maisha. Ni kweli prime ya mwanamke huanza akiwa mdogo na decline huanza anavyoanza kuingia age ya utu uzima. Kwa wanaume decline huanza wakiwa wadogo na huelekea prime yao wanavyokuwa watu wazima.
Asante mkuu, wewe angalau umesoma. Watu wanachangia bila kusoma
 
Life is a gamble!

If this theory was always true basi mabinti wa kilokole wote wangekuwa wana wenza!

Ila sote tunajua upepo wa kisulisuli ulichowafanya!
Umepotea sana. Kumbe hata uhalisia wa maisha huujui!!??? Hao mabinti wa kilokole kina Mona love? Kuanzia leo tofautisha kuwa mlokole na kuwa mfuasi wa Kristo, hizo title hazina umuhimu sana.

Tena hao wa kisulisuli ndio genge lililochezea ujana sasa wanajaribu kila kilicho mbele yao. Mwanamume mwenye kumcha Mungu kamwe hawezi kwenda kuzoa mke toka kundi la kisulisuli, huko huenda wanaume waliopoteza mwelekeo pia. Mke mwenye hofu ya Mungu hulelewa na kufunzwa na wazazi, hapatikani kanisani!! Utakuwa umelogwa kwenda kuchumbia kanisani, please know the basics.
 
Maisha ukiamua...yanaweza yakawa tofauti..hayana formula moja muda wote

If this theory was true basi mabinti wabichi wote wasingevuka 25 yrs bila wenza...si ndo wabichi wako sokoni?


Usisahau hao walio 30 na 35 leo walikua 25 at some point.
Hujaelewa mada na ushauri. Sielewi unapinga nini hasa, kwamba ushauri ni mbovu? Hebu kuwa muwazi mkuu
 
Miaka imebadilika, hayo makusudi yamebadilika. In time utawaona wanawake vitani wakirusha mabomu kama wanaume, mabilionea wanawake watakuwa wengi n. K
Nyakati zinabadilika, dunia inabadilika, hata kama hatutaki ila wanawake wamechukua nafasi kubwa tu kwenye jamii, nafasi ambazo zilikuwa za wanaume. Hasa hasa kwenye ajira.
Umepotea mkuu, nyakati zinabadilika lakini nature ni static. Nasubiri hai wanawake warusha mabomu. Achanak ni mitazamo ya effeminate
 
Mimi huwa nadhani hili la kuangalia binti ana heshima,ni nadha ya kufikirika tuu....wanaume huwa wanaangalia 'uzuri' wa mwanamke,na hii ni nature..binti mwenye msambwanda anaolewa ..wakati binti yule mwenye features kama za Becky hapa..haolewi ng'o....
Tazama upya mkuu, hujapata ukweli halisi
 
Marekani wametuzidi na kitu gani in relation to human behavior?

Unasahau kwamba dunia ss ni kama kijiji na hili linaleta mabadiliko kwa dunia nzima bila kujali anayesababisha iwe kama kijiji ni marekani au Tanzania.

Marekani ndio wametuzidi kwa ugunduzi na technology lakini matokeo ya hizo technology yanabadili mfumo wa maisha mpaka huku kwetu hivyo in relation to human behaviour hawajatuzidi kama unavyodhani.

Leo binti yangu anaweza kuwa ni pilot asiyemtegemea mwanaume na wala hafikirii yeye alikuja duniani kwa ajili ya kusudi la urembo na kulea. Miaka ya nyuma ni mabinti wangapi walikuwa wanawaza kuwa mapilot, wanasheria, wahasibu?

Kubali kataaa, maisha yanabadilika na wanawake wanaendelea kuwa na mitazamo tofauti na mipango au makusudi uliyoyataja. Itafika kipindi wanawake watakuwa sehemu nyingi sana ambazo ww hapa hujafikiri.

Uzuri ni kwamba nafasi yetu haiwezi kuchukuliwa na wanawake sababu sisi tunaendelea kuwa wachache, wanawake wanazaliwa wengi. Na kwa sababu wanaume tutaendelea kutaka kutawala kuanzia level ya familia basi hutakosa wa kumtawala, atakuwepo tu. Ila pia watakuwepo wanawake wengi tu wenye nguvu kifedha na wasiomtegemea mwanaume awanyanyue kiuchumi.

Na watakuwepo wanaume watakaotegemea kuhudumiwa na wanawake hao. Pengine hilo lipo sana leo hii. Wanawake wanaofanya majukumu yote na mwanaume yupo tu hana hili wala lile. Kuanzia ada mpaka chakula ni mama.
Usichojua, huyo mkeo pilot ANAAJIRI MWANAMKE MWENZAKE kumlelea watoto na kuwafundisha maadili. Huoni huu ni upuuzi uliokubalika? No wonder tumetengeneza kizazi nusu wanawake nusu wanaume, neutral sex!!

Mke ni mtafutaji mwenzio lakini anayekuwekea mazingira ya kutafuta ni house girl, sasa hapo mke halisi ni nani?
 
Back
Top Bottom