Mabilioni ya mababu zetu waliofariki kabla ya kuletewa Uislam kwasasa Wapo Motoni au peponi?

Toka Nabii Adam A.s mpaka Nabii Nuuh,hapo katikati walikua wanatumia mafundisho ya Nabii Adam A.S kabla hawjaletewa Nabii Nuuh A.S.Kadri kizazi kilivyotanuka kilikuwa kinatokea mjumbe WA kuwafikishia habari za akhera miongoni mwao.Hakukua na kizazi ambacho hakikupata mjumbe.
Huwa mnashindwa nini ku appreciaye kuwa hao manabii kabla hajaja mudi walikua ni wayahudi,wokovu unaanza kwa wayahudi.
 
Ibrahim kwenye Safari yake alichukua Watu wengi waliobaki upande wa juu wa mto Jordan waliitwa Waebrania (Waliobaki upande wa kaanani, hawakuvuka Jordan kuelekea Eneo la Nchi ya Jordan).

Maana ya Neno Ebrania limetokana na neno "Eber" other side of the river.

Ibrahim hakuwa Muiraq, neno Iraq neno jina jipya lilitokena na Mji uliokuwa unaitwa Uruk, Leo linaitwa Warka kwa Kiarabu, Ibrahim alitokea nchi inaitwa Ur, walikuwa wanakaa Watu wanaitwa Wakalidayo, Ibrahim either alikuwa ana Asili ya hao Watu Wakalidayo au Muakediani.
hizo story za wagalatia
sisi Ibrahim babu yetu,.
 
Allah anasema ndani ya Quran hakuwahi kuiadhibu jamii yoyote ambayo hawakupelekewa ujumbe wa kumjua Allah

Hivyo Babu zetu wataenda peponi Kwa sababu walikuwa hawajui kitu na halikuwa kosa lao

Ila wewe ambaye Kila siku unambiwa Yesu sio Mungu alafu wewe unanga'a ng'ana tu kuwa Yesu ndio Mungu wako juwa kuwa JAHANNAM INAKUSUBIRI
 
Ngumu sana kuuteng
Swali zuri kabisa , Ni kweli dhambi huwezi kuijua bila ya dini maana dhambi Ni asichokiridhia mola hvyo ndo kukawepo dini ili ktuongoza mola anataka Nini na hataki Nini.

Wewe ndo husomi tuu ndo maana hujui .
Iko hivi rafiki kabla ya Muhammad ulipita mda mrefu sanaa hakukuwa na mtume baada ya kuondoka yesu hivyo kihistoria Ibrahim alipojenga al-kaaba aliacha athari ya dini yake Yani kuabudu mungu mmoja Mana Ibrahim alkuwa haabudu masanamu Wala chochote kile ispokuwa mungu mmoja ,kutokana na kupita mda mrefu bila ya mtume ndo maana watu walianza kuabudu miungu na wakasahau ibada za mungu mmoja.
Ma unaposema Ibrahim na daudi walikuwa Jewish Ni urongo mtupu na hta Musa hakuacha ujewish Bali aliacha taurat na Sheria alizopewa na mola na hautambui ujewish Bali wafuas wake ndo walijiita hivyo.
Ibrahim na daudi na yoyote Yule kabla ya kuzaliwa Musa hawakuwa Jew Mana ukisema hvy we Ni mjinga kabisaaa Mana Musa kazaliwa baada ya Ibrahim na hao mitume wengne weng so wote baad kufa na ilpta miaka mingi ,
Pili, Musa alitumwa kwa Banu -israiil(wana Israel(watoto wa yakobo)) ambaye huyu yaakobo (yaakub) Ni katika vijukuu vya Ibrahim mana Ibrahim alizaa Ismail na ishaka Kisha ndo yaakob akapatkana na kuptia yaakob akapatkana yusuph katka uzao wake Kisha katika hawa watoto wa yaakob ule uzao wake ndo alkuja kupatkana Musa ,sa utasemaje Musa ambaye kapewa taurat baada ya hao mitume ambao Ni Babu zake etii Ni wafuasi wake tena Yani Jew.
Use your common sense dear!!!


Uislamu ulikuwepo toka mwanzo wa dunia Ni kweli , uislamu maana yake Ni kijisalimisha kwa Allah ambaye ndo muumba wa kila kitu,anaendesha ulimwengun.k bila kumshirikisha katika ibada zake (mfano kuchinja(eg.kuchinja kwa ajili ya miti au mizimu au majini Ni shirk yaani umepeleka ibada kwa asiyestahiki Mana yeye kaumba ili aabudiwe ko umemnyima haki yake ),kuomba ,kutegemewa na kila Aina ya ibada Kama zilivyoainishwa katika uislamu.) Na kitu chochote , kwahyo hawa waliokuwepo kabla ya mtume Muhammad walikuwa Ni waislamu Ila haimaanishi wote waliswali Kama tunavyo swali sisi au walikuwa na Sheria Kama zetu Ila lengo kuu kilikuwa Ni moja kuabudu mola mmoja Ila unaweza kuwa katika mtindo tofauti kulingania na Zama na Aina ya watu mfano , Daudi alkuwa na zaburi na alikuwa ana Sheria tofaut na sis kabsa ,hvy hvy Musa , .
Ukilsikia eti walikuwa wote waislamu haimaanishi eti walikuwa Kama unavyotuona sisi Leo hvyo hvyo Bali lengo lao Ni moja Ila katika mitindo tofaut.
NB:kila watu walikuwa wakipelekewa mtume au nabii Kuna ambao walitakiwa wamuamini tuu ndo mtihani wao Wala hakuwa na kitabu au Sheria Bali wamuamini tuu na Kuna Ni manabii tu manake hawakupewa vitabu Bali vipande tu vya Sheria na mitume wampewa vitabu na miongozo kamili.

Haki haiiangiliwi kwa wingi watu mpendwa had watu wanaomtii mola huwa wachache hta sjui kwaninin.
Kweny Quran imeandikwa katika suratul qaaf kwamba tutaijaza jahannam kwa majini na watuu.
Mifano.
1.watu wa lutu waliuuwawa mji mzima kasoro familia yake ukiacha mke wake na watuu wachache tu waliomuamini.
2.mtume nuhu kulingania na sisi waislamu aliwahubiria watu wake miaka 1000 ispokuwa 50 yaan 950 ila alipata watu 80 tuu na hta mke wake ,mtoto wake hakumuamini kabisaaa , watu walikuwa wanakufa wanazaliwa yey yupo tuu .ukisoma suratul-at-tahariim Aya 10-12 ,utaona mke wa nuhu na luti Allah anawapgia mfano Yani walikuwA chini ya waja wema Yan waume zao na hawakuamini .kwahyo mpendwa Imani so mchezo .
3.uliza pia yesu alpata wNgapi???
Na Hili Ni zingatio kwa wale wanaoamini hawa wanaojiita manabii Zama hzi unabii so mchezo hawa Ni waongo hamna nabii aliwahi kupata wafuas kirahisi Wala kuishi kwa Raha walipitia madhila na taabu hawa wa miaka hii Ni wasakatonge warongooo!
Shame on you fake prophet.
anisha uislamu na upuuza,hizi stori zote umeunga kutoka kwa wayahudi wenye imani yao ila hutaki kua kubali hilo kwa sababu mtume wenu aliwaaminisha adui wenu namba moja ni wayahudi pili wakristo.
 
walikuja maswahaba huko ethopia mpk afrika mashariki,pia mtume kuna kisa alitaja nchi ya ethopia kwa jina la abu thania kama sikosei baada ya kuona manaswala/ahlu kitab u wananyanyasika akawaambia waende nchi ya mashariki ya mbali kuna mfalme anaongoza vizuri.
Mahariki ya mbali ukiwa saudia sio nchi ya ethiopia mana ipo upande wa magharibi acha ulongo wewe.
 
wapo peponi mkuu,sababu hukumu na sheria zilikuja baada ya vitabu vya mitume hivyo adamu hakupewa ila alipewa agano la uumbaji,mpk ikafika kwa mtume ibrahimu hivyo kwa wale ambao walifikiwa na ibrahimu watahukumiwa kwa sheria za ibrahimu.

waislamu kuwaita watu makafiri sio kosa lao ila mfumo wa mafundisho kuwa yeyote asiye swali ni kafiri kwahyo hata mtu akiwa na jina la kiislamu na haswali huyo ni kafiri,aMEkengeuka mafundisho ya mtume.
Aha
 
Romans 2:12
Kwa kuwa wote waliokosa pasipo sheria watapotea pasipo sheria, na wote waliokosa, wenye sheria, watahukumiwa kwa sheria.
 
OUT OF TOPIC , ELEZEA MABABU ACHANA NA SIMULIZI ZA UARABUNI , YAAN UISLAM NDAN YA EAST AFRICA NDO HOJA HAPA
Kwa kukusaidia tu, sheria haiwezi kumuhukumu mtu ikiwa bado haijatungwa.

Uislamu umeanza kwa Muhammad japo inasemekana toka kuumbwa kwa mwanadamu, ibrahimu,musa,daud,issa na muhammad wote walibeba mafundisho ila hapa Muhammad kayakusanya yote na katika kitabu cha Quran kimekuja kueleza hukumu(dhambi/baya au thawabu/zuri).

Ikaja kuelezea ni njia zipi atapitia watakaovuna hizo dhambi na thawabu na mwisho ikaelezea mambo ya siku za mwisho/kiyama.

Sijui kama nimekujibu
 
Up
🤣 🤣 🤣

Hakuna kitu kigumu kama kutetea Dini kwenye mambo yanaitaji rational thinking.

Sasa kama Mungu hukumu yake anaangalia Mazingira ya ulipoishi na mtu anaweza kuhesabika mwema bila kujua Dini, why aliamua kuwaletea Dini wasiokuwa na Dini tena kwa njia ya upanga?
Upanga upi ulileta dini? Unazo takiwimu watanzania wangapi waliuawa Kwa upanga Kwa ajili ya kuenezwa uislam Yani Tanga, Bagamoyo. Pwani na Zanzibar?

Katika familia yako Kuna mtu yoyote aliuwawa Kwa sababu ya kulazimishwa kuwa Muislam?

Nyinyi wagalatia wajinga sana
 
Mara kwa mara nimekuwa nikiona hili neno kuwa mnasema mara nyingi Uislam ni Dini ya haki na sometime mmekuwa mkiwaita Dini nyingine Makafiri, hayo maneno yamekuwa ukinitatiza sana

Lakini mimi nachotaka kujua ni kwamba Mababu zetu kabla ya kuja wa Waarabu walikuwa na imani zao na maisha yalienda, Mabilioni ya mababu zetu walishafariki kabla ya Mwarabu kuja kuwasilimisha waliokuwa hai kwa wakati huo na ndio nyie leo mnaitwa Waislam.

Swali langu ni moja tu, Mabilioni ya mababu zetu waliofariki kabla ya kuletewa Uislam kutoka Saudi Arabia kwa sasa Wapo Motoni au Wapo peponi?

Na kama wapo Motoni kosa lao ni lipi?
kwa bahati mbaya, mabilioni ya wanadamu wanaokufa wakiwa waislam wanaenda moja kwa moja motoni. hiki ni kitu cha kusikitisha sana.
 
Achana na hadithi zisizo na kichwa wala miguu.

Motoni hakupo, Peponi hakupo.

Stori za uwepo wa peponi na motoni ni hadithi za kutungwa sawa na hadithi za uwepo wa Dragons watemao moto midomoni mwao.
 
Mbona kama ujajibu swa
Kwa kukusaidia tu, sheria haiwezi kumuhukumu mtu ikiwa bado haijatungwa.

Uislamu umeanza kwa Muhammad japo inasemekana toka kuumbwa kwa mwanadamu, ibrahimu,musa,daud,issa na muhammad wote walibeba mafundisho ila hapa Muhammad kayakusanya yote na katika kitabu cha Quran kimekuja kueleza hukumu(dhambi/baya au thawabu/zuri).

Ikaja kuelezea ni njia zipi atapitia watakaovuna hizo dhambi na thawabu na mwisho ikaelezea mambo ya siku za mwisho/kiyama.

Sijui kama nimekujibu
Mbona ujajibu swali mkuu... maelekezo tu apo
....
 
Mara kwa mara nimekuwa nikiona hili neno kuwa mnasema mara nyingi Uislam ni Dini ya haki na sometime mmekuwa mkiwaita Dini nyingine Makafiri, hayo maneno yamekuwa ukinitatiza sana

Lakini mimi nachotaka kujua ni kwamba Mababu zetu kabla ya kuja wa Waarabu walikuwa na imani zao na maisha yalienda, Mabilioni ya mababu zetu walishafariki kabla ya Mwarabu kuja kuwasilimisha waliokuwa hai kwa wakati huo na ndio nyie leo mnaitwa Waislam.

Swali langu ni moja tu, Mabilioni ya mababu zetu waliofariki kabla ya kuletewa Uislam kutoka Saudi Arabia kwa sasa Wapo Motoni au Wapo peponi?

Na kama wapo Motoni kosa lao ni lipi?
Mkuu ata mimi kuna jamaa nilimuuliza apa Zanzibar ni mfia dini haswaaa...nikamwambia sasa ndugu yangu vipi kuhusu hawa ndugu zetu masai ambao wamezaliwa porini wanafanya shughuli zako uko porini hakuna msikiti wala kanisa ....wao maisha yao yote yapo uko hawajamuona sheikh akienda kutoa mawaidha uko wala kitu chochote kuhusu dini vipi hawo wataenda motoni au peponi aiseh nilijibiwa ata sikuelewa nini anamaanisha
 
Dini ni stori zisizo na maana yoyote. Ni hadithi za kufikirika. Hakuna cha mbinguni wala motoni.

Ni ngonjera zilitungwa kudanganya watu wasio na matumaini.
 
Mkuu hakuna watu ambao walikuwa ni wenye imani kubwa kama wazee wetu, Uislam umeingia dunia kuanzia 610 CE. Mababu walikuwa wanafahamu namna ya kuishi, na kuabudu! Ni ngumu kuamini kuwa wapo motoni kisa tu Sheikh fulani kasema kuwa Quran imeandika hivyo. Ni uongo na uzushi! Mpaka sasa kuna karibu imani 4,000 (Elfu 4) zinazotambulika kote ulimwenguni. Hata hivyo, 75% ya watu wamefuata imani kuu tano ambazo ni pamoja na Ubudha, Uhindu, Ukristo, Uyahudi, na Uislamu. Sasa kusema kwamba Wahindu wataenda motoni kwa sababu Wabudha wanaamini hivyo sio sawa! Kusema kuwa Wakristo wataenda kwa sababu katika Kojiki na Nihon Shoki wao Washinto wanaamini kuwa Wakristo ndo wakosefu, sio sahihi!
Binafsi ninaamini kwenye dhana ya reincarnation na hata kwenye kabila langu, nimewahi kuongea na wazee wanakasema kuwa hiki kitu kipo na kitaendelea kuwepo. Ila sio kwenye dini ambazo msingi wake mkuu ni kwenye kuumiza dini zingine. "No Religion is Perfect, All Religion are Perfect"
Kitu gani au sifa zipi zinaifanya religion iwe "PERFECT"?
 
Kitu gani au sifa zipi zinaifanya religion iwe "PERFECT"?
Ukienda kusoma Bhagavad Gita au Mahābhārata au ukisoma Vinaya Pitaka, Sutta Pitaka, Kojiki na Abhidhamma Pitaka. Msingi wao mkuu ni Upendo!
Bhakti Tirtha Swami ambaye alikuwa ni Mwalimu wa Imani wa Kihundi, aliwahi kusema lugha bora ya imani na dini yoyote ni Upendo. Ukihubiri upendo ni rahisi watu kumuelewa Mungu.
What makes a religion PERFECT is only LOVE! Preach Love!
Mungu ni Pendo! Apenda watu! Mungu ni Pendo! Anipenda!
 
Back
Top Bottom