certified mdokozi
JF-Expert Member
- Jan 20, 2016
- 1,403
- 814
Mfanyabiashara Yoyote unaemjua ww kaa ukijua kodi halali ulipa tu pale anaponunua bia na wale wasio tumia basi hubakiza option chache sana kutopa hii kodi halali
Kuwa na heshima na adabu wewee hivi hujui nchi yenu bila ya sisi wanywaji na si walevi kama ulivyosema Nchi yako haiwezi kuwalipa mishahara.?! Kuweni na heshima na unyenyekevu kwa wanywaji bia bwanaa Eboo...!
Balimi ndogo ni sh 800, hii ni kweli nihamie uko mimi rational drunker....
Konyagi kisichana imekuwa adimu kila kona huku bapa na jibapa zikiwa hazina dili
Mfanyabiashara Yoyote unaemjua ww kaa ukijua kodi halali ulipa tu pale anaponunua bia na wale wasio tumia basi hubakiza option chache sana kutopa hii kodi halali
Kibo ndogo bukuBalimi ndogo ni sh 800, hii ni kweli nihamie uko mimi rational drunker....
Konyagi kisichana imekuwa adimu kila kona huku bapa na jibapa zikiwa hazina dili
kuna "mikumi Gin" buku jero now sasa tunawasubiri wazee wa mazingira kama watamfungia tena
ndio hivyo aslimia 100 wanakunywa chupa ndogo hata Mimi pia huku kanda ya ziwa kuna bia inaitwa balimi extra lager a.k.a " mwendo kasi"inauzwa 1500= watu tumehamia huko ukifika baa kila mtu ana hako kama hana hiyo basi ni prisner lager 1500,kama sio hiyo ni senetor lager 1200,au eagle 1200, hali ni ngumu sana siku hizi pia ukionekana unakunywa castre lager,safari,Kilimanjaro,na zote za 2500= unaonekana mtu flan hivi daaaah tutafika kweli??Mkuu siku hz ukifanya kautafiti kdg kwenye pub nyingi watu wanatumia sana chupa ndogo, naona hata castle lager wameanza kutengeneza ndogo!
Mshana ni kweli kabisa Konyagi ndogo imepotea kubwa watu hawana habari nazo na bado mambo magumu sana manKonyagi kisichana imekuwa adimu kila kona huku bapa na jibapa zikiwa hazina dili
kibo si inaishia moshi tu, inapatikana ntwara kweliKibo ndogo buku
mwisho Tanga kunanikibo si inaishia moshi tu, inapatikana ntwara kweli
Umeenda vizuri kisha ukaharibu hapo mwisho, kwa kiti moto utasubiri sana, utaswali mpaka upatee sigida ya magoti.Afadhali...sisi Maulamaa tunataka wote wenye biashara kharam wafunge biashara zao. Viwanda vya bia vikimalizika watakuja wauza kitimoto laana tululai....
Afadhali...sisi Maulamaa tunataka wote wenye biashara kharam wafunge biashara zao. Viwanda vya bia vikimalizika watakuja wauza kitimoto laana tululai....
af waislam wanakula sana hii kitu kuliko sisi wakristo nyama inapelekwa Zanzibar kisiriKwenye kiti moto hapata tetereka coz ni mnyama anayependwa na dini zote tukiacha unafiki
nan anaekesha bar Siku hizi jeuri hiyo akiifanya Leo ndio imetoka tena mpaka baada ya miezi 3 labda pombe yenyewe unauziwa kuanzia saa 10 kwenye bar ukipitiliza mpaka sita usiku askari wa bashite wanakubeba wewe na wateja wako.......Imetait kambaHii ni habari ya kusikitisha aisee, vichupa vidogo tutalewa sangapi sasa? wanataka kutuharibia ndoa zetu hawa mabo ya kukesha baa ya nini jamani
Au Viroba sasa vitakuwa vya bia,?Inasemekana kuanzia mwezi wa tano yaani may wanataka wabaki na beers za chupa ndogo kutokana na hali ya uchumi,no more chupa kubwaz.
Adiiiioooos amigoooo.
Nilipita sehemu mkuu nikakuta wadau wanauza kilo shilingi 8000. Wakati kuna sehemu nyingine kilo imefika mpaka 11,000/-.Kwenye kiti moto hapata tetereka coz ni mnyama anayependwa na dini zote tukiacha unafiki
Piga hesabu utagundua per litre chupa ndogo ni ghali kuliko chupa kubwa. TBL wajanja, Mbongo ukimuwekea (mfano) nusu lita kwa tzs 800 na lita moja tzs 1400 atanunua nusu lita akiamini ni bei nafuu.Daaa mlevi ni.mlevi tu badala ashukuru kapunguziwa gharama.za kilevi yeye analalamika kuwa Utakuwa kapunguziwa rate ya kulewa haraka...daaa nime amini bora umfadhiri mbuzi utakula mchuzi na sio mwanadamu.