Hata Lipumba mwezi August 2015 alisusa na kukimbilia RwandaNilibahatika kusikiliza mahojiano ya Maalim na Clouds kwa kweli kama Mtanzania nimesikitika sana.
Nimejiuliza siasa za aina hii zinataka kutupeleka wapi, kwa maana kwa hulka za watanzania visasi si jadi yetu.
Nimeandika haya nikiangalia namna ambavyo maalim amekuwa akibehave pale anapopingana mtazamo na viongozi wenzake.
Kwanza nilimuona akikataa kumpa mkono Rias wa Zanzibar, bila sababu za msingi, na akakiri kabisa kuwa hatompa mkono.
Kesi ya pili, ni katika mahojiano hayo na clouds alisema kwamba, ni bora kuzungumza na CCM kwa kuwa ni adui anayemfahamu kuliko kuzungumza na Lipumba.
Akaenda mbali kwa kusema kuwa endapo lipumba angeingia mahali alipo angeondoka, hata wakati ule wa mahojiano clouds, kama angelikuwepo angeondoka.
Kwa kauli na mitazamo hii ya Maalim namwona kama mtu mwenye visasi na asiye kuwa na uvumilivu.
Naomwona akikosa busara za kisiasa zinazotakiwa kuoneshwa na kiongozi wa aina yake ukuzingatia uzoefu aliokuwa nao katika siasa za nchi hii.
Kauli yake imetikisa sana muonekano wake kwa wengi.
Nimeshituka kwa kauli yake pia, kwamba CCM NI ADUI??? Kauli hii pia kwa msomi na mzoefu kama yeye ni kosa kubwa sana.
Nimetambua sasa kuwa Maalim anafanya Siasa za uadui, siasa za kujenga utengano na kupalilia visasi ndani ya jamii yetu, hii ni hatari sana.
Namwomba Maalim afute kauli zake, ajirudi kwani anapoteza wafuasi wachache waliobaki kwa vitendo na kauli zake.
Maalim anasahau kanuni moja kubwa inayosema , " Don't hate your enemy, it will affect your judgement"
Maalim anatanguliza chuki kwa wapinzani wake mpaka anatoa kauli zinazoharibu namna jamii inavyomwona.
Ambapo taarifa zinaeleza kwamba ALILIWA HELA ( alipunwa hela yote aliyolipwa kwa usaliti ) NA MADEMU WA KINYARWANDA HADI KUKOSA NAULI , shukrani kwa ubalozi wa Tanzania nchini Rwanda kwa kumpa nauli ya kurudi nyumbani .Hata Lipumba mwezi August 2015 alisusa na kukimbilia Rwanda
Hivi mjomba , unajua kusoma na kuandika kweli ?Hakuna msaliti mkubwa kama maalim seif yaan hata hili jinaa lamaalim haliendan nae kabisa halafu huyu anauelewa hata wadin kuliko lipumba lakin nimtu mmoja mshenzi kwel watabia yaan unaenda kwenye msiba halafu hupean mikon nawatu hii sijui iman gan huyu mtu anayoameweka dunia mbele sana seif halafu nadunia nayo inamtupa mkono
Ambapo taarifa zinaeleza kwamba ALILIWA HELA ( alipunwa hela yote aliyolipwa kwa usaliti ) NA MADEMU WA KINYARWANDA HADI KUKOSA NAULI , shukrani kwa ubalozi wa Tanzania nchini Rwanda kwa kumpa nauli ya kurudi nyumbani .
Ukitaka kuandika hivi uwe unamwandikia mpenzi wako itakuwa vizuri zaidi siyo humu.Hakuna msaliti mkubwa kama maalim seif yaan hata hili jinaa lamaalim haliendan nae kabisa halafu huyu anauelewa hata wadin kuliko lipumba lakin nimtu mmoja mshenzi kwel watabia yaan unaenda kwenye msiba halafu hupean mikon nawatu hii sijui iman gan huyu mtu anayoameweka dunia mbele sana seif halafu nadunia nayo inamtupa mkono
Ila baba Jesca aliesema anamshangaa mwenzake anamoyo gani kwa sababu kama ni yeye hawezi kumsainia mtu aliekataa kumpa mkono ili kwenda kutibiwa yeye hana visasi,,tumia kichwa kufikiria unachoandika kuliko akili zako kiziweka kwenye hiyo "0" yakoNilibahatika kusikiliza mahojiano ya Maalim na Clouds kwa kweli kama Mtanzania nimesikitika sana.
Nimejiuliza siasa za aina hii zinataka kutupeleka wapi, kwa maana kwa hulka za watanzania visasi si jadi yetu.
Nimeandika haya nikiangalia namna ambavyo maalim amekuwa akibehave pale anapopingana mtazamo na viongozi wenzake.
Kwanza nilimuona akikataa kumpa mkono Rias wa Zanzibar, bila sababu za msingi, na akakiri kabisa kuwa hatompa mkono.
Kesi ya pili, ni katika mahojiano hayo na clouds alisema kwamba, ni bora kuzungumza na CCM kwa kuwa ni adui anayemfahamu kuliko kuzungumza na Lipumba.
Akaenda mbali kwa kusema kuwa endapo lipumba angeingia mahali alipo angeondoka, hata wakati ule wa mahojiano clouds, kama angelikuwepo angeondoka.
Kwa kauli na mitazamo hii ya Maalim namwona kama mtu mwenye visasi na asiye kuwa na uvumilivu.
Naomwona akikosa busara za kisiasa zinazotakiwa kuoneshwa na kiongozi wa aina yake ukuzingatia uzoefu aliokuwa nao katika siasa za nchi hii.
Kauli yake imetikisa sana muonekano wake kwa wengi.
Nimeshituka kwa kauli yake pia, kwamba CCM NI ADUI??? Kauli hii pia kwa msomi na mzoefu kama yeye ni kosa kubwa sana.
Nimetambua sasa kuwa Maalim anafanya Siasa za uadui, siasa za kujenga utengano na kupalilia visasi ndani ya jamii yetu, hii ni hatari sana.
Namwomba Maalim afute kauli zake, ajirudi kwani anapoteza wafuasi wachache waliobaki kwa vitendo na kauli zake.
Maalim anasahau kanuni moja kubwa inayosema , " Don't hate your enemy, it will affect your judgement"
Maalim anatanguliza chuki kwa wapinzani wake mpaka anatoa kauli zinazoharibu namna jamii inavyomwona.
Haha, bavicha katika ubora wenu, lazima muwehuke tu mada ikiwagusa mfupani....matusi yenu yanatupa munkari zaidi wa kuendelea kuwaelemisha.Ila baba Jesca aliesema anamshangaa mwenzake anamoyo gani kwa sababu kama ni yeye hawezi kumsainia mtu aliekataa kumpa mkono ili kwenda kutibiwa yeye hana visasi,,tumia kichwa kufikiria unachoandika kuliko akili zako kiziweka kwenye hiyo "0" yako
Ushindi ni msamiati mgumu sana kwake, huu ni mwaka wa 20 bado anagombea nafasi ile ile anayoshindwa kila mara, huyu ni mtu wa visasi, hafai kupata nafasi hiyo, sasa kukaa na mtu au kumsalimia mtu unayepingana naye mitazamo ndio nini kama sio siasa za kizamani?Labda kwa kuongezea nyama kidogo ni kwamba , MAALIM SEIF HAJAWAHI KUSHINDWA NA MSALITI YEYOTE YULE , fanya utafiti kidogo tu , waliojaribu kupambana naye wengine wamepofuka macho .
Ila alichosema magufuli kua atakaenda kumuona lema gerezani ni msaliti hizo sio siasa za uadui ni za kujenga
Nilibahatika kusikiliza mahojiano ya Maalim na Clouds kwa kweli kama Mtanzania nimesikitika sana.
Nimejiuliza siasa za aina hii zinataka kutupeleka wapi, kwa maana kwa hulka za watanzania visasi si jadi yetu.
Nimeandika haya nikiangalia namna ambavyo maalim amekuwa akibehave pale anapopingana mtazamo na viongozi wenzake.
Kwanza nilimuona akikataa kumpa mkono Rias wa Zanzibar, bila sababu za msingi, na akakiri kabisa kuwa hatompa mkono.
Kesi ya pili, ni katika mahojiano hayo na clouds alisema kwamba, ni bora kuzungumza na CCM kwa kuwa ni adui anayemfahamu kuliko kuzungumza na Lipumba.
Akaenda mbali kwa kusema kuwa endapo lipumba angeingia mahali alipo angeondoka, hata wakati ule wa mahojiano clouds, kama angelikuwepo angeondoka.
Kwa kauli na mitazamo hii ya Maalim namwona kama mtu mwenye visasi na asiye kuwa na uvumilivu.
Naomwona akikosa busara za kisiasa zinazotakiwa kuoneshwa na kiongozi wa aina yake ukuzingatia uzoefu aliokuwa nao katika siasa za nchi hii.
Kauli yake imetikisa sana muonekano wake kwa wengi.
Nimeshituka kwa kauli yake pia, kwamba CCM NI ADUI??? Kauli hii pia kwa msomi na mzoefu kama yeye ni kosa kubwa sana.
Nimetambua sasa kuwa Maalim anafanya Siasa za uadui, siasa za kujenga utengano na kupalilia visasi ndani ya jamii yetu, hii ni hatari sana.
Namwomba Maalim afute kauli zake, ajirudi kwani anapoteza wafuasi wachache waliobaki kwa vitendo na kauli zake.
Maalim anasahau kanuni moja kubwa inayosema , " Don't hate your enemy, it will affect your judgement"
Maalim anatanguliza chuki kwa wapinzani wake mpaka anatoa kauli zinazoharibu namna jamii inavyomwona.
Sio hivyo tu,akasema angekuwa yeye ndio Shein asingemsainia stahiki zake Maalim!Ila alichosema magufuli kua atakaenda kumuona lema gerezani ni msaliti hizo sio siasa za uadui ni za kujenga
Ushindi ni msamiati mgumu sana kwake, huu ni mwaka wa 20 bado anagombea nafasi ile ile anayoshindwa kila mara, huyu ni mtu wa visasi, hafai kupata nafasi hiyo, sasa kukaa na mtu au kumsalimia mtu unayepingana naye mitazamo ndio nini kama sio siasa za kizamani?