Maalim Seif ajiunge na CHADEMA, hana cha kupoteza

Dotto C. Rangimoto

JF-Expert Member
Nov 22, 2012
1,985
1,286
1471957458671.jpg


Ingekuwa si uhuni wa Mtatiro na Maalim Seif hakika Lipumba angerudi katika kiti chake na maisha ya CUF yangeenda bila zengwe!

Lakini sasa chombo kishagonga mwamba, na Lipumba kajeruhiwa, na kwakuwa jambo lilofanywa ni uhuni kwavyovyote vile Lipumba atarudi katika kiti chake, ni suala la muda tu.

Jeraha alilopata Lipumba, namshauri akirudi katika kiti, Maalim Seif, Mtatiro na genge lao wavuliwe uanachama na wafukuzwe CUF.

Kwakuwa mamlaka ya nidhamu ya katibu mkuu ni mkutano mkuu(kama sikosei) na kwakuwa mkutano mkuu wameumizwa na uhuni wa Seif, na kwakuwa kuna sahihi zaidi ya 400 za wajumbe wa mkutano mkuu walio umizwa na uhuni huo, nina hakika Maalim Seif hana chaguo, aidha ajiunge CHADEMA au aunde chama chake.

CHADEMA hawana nguvu Zanzibar, wanachochea kuni na wanampa kichwa Maalim Seif ili atimuliwe CUF ajiunge na chama chao ili CHADEMA ipete Zanzibar kwa nyota ya Maalim Seif. Ndio maana binafsi sishangai kwa makada wa CHADEMA kujaza masusu juu ya kadhia hii huku wakiegemea upande wa Wazanzibari(Maalim)

Nimelala, naota tu, jogoo akiweka mnistue kama sitamsikia.

Njano5
0622845394.
 
View attachment 386341

Ingekuwa si uhuni wa Mtatiro na Maalim Seif hakika Lipumba angerudi katika kiti chake na maisha ya CUF yangeenda bila zengwe!

Lakini sasa chombo kishagonga mwamba, na Lipumba kajeruhiwa, na kwakuwa jambo lilofanywa ni uhuni kwavyovyote vile Lipumba atarudi katika kiti chake, ni suala la muda tu.

Jeraha alilopata Lipumba, namshauri akirudi katika kiti, Maalim Seif, Mtatiro na genge lao wavuliwe uanachama na wafukuzwe CUF.

Kwakuwa mamlaka ya nidhamu ya katibu mkuu ni mkutano mkuu(kama sikosei) na kwakuwa mkutano mkuu wameumizwa na uhuni wa Seif, na kwakuwa kuna sahihi zaidi ya 400 za wajumbe wa mkutano mkuu walio umizwa na uhuni huo, nina hakika Maalim Seif hana chaguo, aidha ajiunge CHADEMA au aunde chama chake.

Nimelala, naota tu, jogoo akiweka mnistue kama sitamsikia.

Njano5
0622845394.
Bingwa wa ramli. Vipi ACT mnaendeleaje kuihujumu CHADEMA ebu toa utabiri lini mtakifuta hiki kiCHADEMA.

Kumbe hata ya CUF yanawahusu?
 
Umeongea jambo muhimu sana,mimi binafsi nilimwambia Mtatiro wale wanaCUF wa Vingunguti na kata za jimbo la segerea waliokupigania ili upate ubunge japo ukafanyiwa hila na CHADEMA,hakika hawatakuacha kwani amewasaliti..maisha yako kisiasa CUF ni wanachama wa Bara Seif anamtumia tu.

Kwa Seif hana jinsi kwani Kama Lipumba akirudi kwenye uenyekiti kamwe hatalipendekeza jina la Seif kuwa Katibu mkuu...atapendekeza jina linguine. Hivyo Seif hana jinsi zaidi ya kumpigia magoti Magufuli na Shein ili angalau kubakiza usultani wake CUF mbaya zaidi hana ushawishi ndani ya baraza la wawakilishi ukizingatia na umri atakufa kisiasa..labda CHADEMA wamchukue Seif ili kupata ushawishi Pemba.Kwa hali ilivyo wajumbe wa bara ni wengi kuliko wa kutoka Zanzibar na wanampinga Seif na ndio maana kaja na mamluki,ngoja tusubiri.

Inahitaji ujue siasa za Tanzania ndio uweze kuona haya la sivyo utaishia kutukana na kejeli badala ya hoja.
 
Siku si nyingi lipumba ataenda kujiunga katika chama cha wasaliti wenzake muda tu ndio utakaoamua maana chama cha wasaliti Na ccm ndio wanalalamika kuhusu cuf kuliko wana cuf wenyewe
 
Maali seif mzoefu wa fitna alimfyatua jems mapalala kaja lipumba
Hapo ndo tujue ile dhambi ya fitna marehem mzee jumbe bado inamsokotoa
 
View attachment 386341

Ingekuwa si uhuni wa Mtatiro na Maalim Seif hakika Lipumba angerudi katika kiti chake na maisha ya CUF yangeenda bila zengwe!

Lakini sasa chombo kishagonga mwamba, na Lipumba kajeruhiwa, na kwakuwa jambo lilofanywa ni uhuni kwavyovyote vile Lipumba atarudi katika kiti chake, ni suala la muda tu.

Jeraha alilopata Lipumba, namshauri akirudi katika kiti, Maalim Seif, Mtatiro na genge lao wavuliwe uanachama na wafukuzwe CUF.

Kwakuwa mamlaka ya nidhamu ya katibu mkuu ni mkutano mkuu(kama sikosei) na kwakuwa mkutano mkuu wameumizwa na uhuni wa Seif, na kwakuwa kuna sahihi zaidi ya 400 za wajumbe wa mkutano mkuu walio umizwa na uhuni huo, nina hakika Maalim Seif hana chaguo, aidha ajiunge CHADEMA au aunde chama chake.

Nimelala, naota tu, jogoo akiweka mnistue kama sitamsikia.

Njano5
0622845394.
ni ngumu sana
 
View attachment 386341

Ingekuwa si uhuni wa Mtatiro na Maalim Seif hakika Lipumba angerudi katika kiti chake na maisha ya CUF yangeenda bila zengwe!

Lakini sasa chombo kishagonga mwamba, na Lipumba kajeruhiwa, na kwakuwa jambo lilofanywa ni uhuni kwavyovyote vile Lipumba atarudi katika kiti chake, ni suala la muda tu.

Jeraha alilopata Lipumba, namshauri akirudi katika kiti, Maalim Seif, Mtatiro na genge lao wavuliwe uanachama na wafukuzwe CUF.

Kwakuwa mamlaka ya nidhamu ya katibu mkuu ni mkutano mkuu(kama sikosei) na kwakuwa mkutano mkuu wameumizwa na uhuni wa Seif, na kwakuwa kuna sahihi zaidi ya 400 za wajumbe wa mkutano mkuu walio umizwa na uhuni huo, nina hakika Maalim Seif hana chaguo, aidha ajiunge CHADEMA au aunde chama chake.

CHADEMA hawana nguvu Zanzibar, wanachochea kuni na wanampa kichwa Maalim Seif ili atimuliwe CUF ajiunge na chama chao ili CHADEMA ipete Zanzibar kwa nyota ya Maalim Seif. Ndio maana binafsi sishangai kwa makada wa CHADEMA kujaza masusu juu ya kadhia hii huku wakiegemea upande wa Wazanzibari(Maalim)

Nimelala, naota tu, jogoo akiweka mnistue kama sitamsikia.

Njano5
0622845394.
You don't have any critical point
 
Huyu Jamaa CHADEMA inamuwasha kweli. Kwanini hafanyi jitahada zakuijenga ACT?
 
CUF ni mali binafsi ya Maalim Seif, na ngome yake ni Pemba na Unguja! ,watu sio tuu wanamkubali sana, bali wanamuabudu kama mungu wao (sio Mungu!), lolote atakalo Seif ndilo!, Lipumba aliishajiuzulu mwenyewe, kwisha habari yake, hana kitu tena CUF! .

Pasco
 
View attachment 386341

Ingekuwa si uhuni wa Mtatiro na Maalim Seif hakika Lipumba angerudi katika kiti chake na maisha ya CUF yangeenda bila zengwe!

Lakini sasa chombo kishagonga mwamba, na Lipumba kajeruhiwa, na kwakuwa jambo lilofanywa ni uhuni kwavyovyote vile Lipumba atarudi katika kiti chake, ni suala la muda tu.

Jeraha alilopata Lipumba, namshauri akirudi katika kiti, Maalim Seif, Mtatiro na genge lao wavuliwe uanachama na wafukuzwe CUF.

Kwakuwa mamlaka ya nidhamu ya katibu mkuu ni mkutano mkuu(kama sikosei) na kwakuwa mkutano mkuu wameumizwa na uhuni wa Seif, na kwakuwa kuna sahihi zaidi ya 400 za wajumbe wa mkutano mkuu walio umizwa na uhuni huo, nina hakika Maalim Seif hana chaguo, aidha ajiunge CHADEMA au aunde chama chake.

CHADEMA hawana nguvu Zanzibar, wanachochea kuni na wanampa kichwa Maalim Seif ili atimuliwe CUF ajiunge na chama chao ili CHADEMA ipete Zanzibar kwa nyota ya Maalim Seif. Ndio maana binafsi sishangai kwa makada wa CHADEMA kujaza masusu juu ya kadhia hii huku wakiegemea upande wa Wazanzibari(Maalim)

Nimelala, naota tu, jogoo akiweka mnistue kama sitamsikia.

Njano5
0622845394.[/QUO lipumba hananianjema na cuf askari anayekimbia vita hafai
 
View attachment 386341

Ingekuwa si uhuni wa Mtatiro na Maalim Seif hakika Lipumba angerudi katika kiti chake na maisha ya CUF yangeenda bila zengwe!

Lakini sasa chombo kishagonga mwamba, na Lipumba kajeruhiwa, na kwakuwa jambo lilofanywa ni uhuni kwavyovyote vile Lipumba atarudi katika kiti chake, ni suala la muda tu.

Jeraha alilopata Lipumba, namshauri akirudi katika kiti, Maalim Seif, Mtatiro na genge lao wavuliwe uanachama na wafukuzwe CUF.

Kwakuwa mamlaka ya nidhamu ya katibu mkuu ni mkutano mkuu(kama sikosei) na kwakuwa mkutano mkuu wameumizwa na uhuni wa Seif, na kwakuwa kuna sahihi zaidi ya 400 za wajumbe wa mkutano mkuu walio umizwa na uhuni huo, nina hakika Maalim Seif hana chaguo, aidha ajiunge CHADEMA au aunde chama chake.

CHADEMA hawana nguvu Zanzibar, wanachochea kuni na wanampa kichwa Maalim Seif ili atimuliwe CUF ajiunge na chama chao ili CHADEMA ipete Zanzibar kwa nyota ya Maalim Seif. Ndio maana binafsi sishangai kwa makada wa CHADEMA kujaza masusu juu ya kadhia hii huku wakiegemea upande wa Wazanzibari(Maalim)

Nimelala, naota tu, jogoo akiweka mnistue kama sitamsikia.

Njano5
0622845394.
Gamba katika ubora wako
 
Baada ya ACT kutuhumiwa mnahusika na mgogoro wa CUF
ilikuwa busara wewe na wengine wa ACT kutojihusisha na lolote la CUF
lakini wapi

Unakuja hadharani kuchochea huo mgogoro

Sasa ACT mtanufaika na nini kwa hili?

Leo Juliana Shonza kawatetea humu asubuhi
na wewe unafanya nini?
 
BAADA YA KUFANYA UTAFITI WA KISIASA UNAOTOKANA NA MGOGORO ULIOPO NDANI YA CUF KUHUSU SAKATA LA PROFESA LIPUMBA NDANI YA CHAMA CHA CUF ,

NJIA PEKEE ILIYOBAKI KWA SASA NI KWAMBA WALE WOTE WASIOMTAKA LIPUMBA NI BORA KUHAMIA CHADEMA ,

WATU KAMA AKINA MTATIRO, KATANI, MAALIM SEIF NA WENGINEO AMBAO WANAMSHAMBULIA SANA LIPUMBA NA KUUNGANA PAMOJA NA CHADEMA NI VYEMA MKAHAMIA CHADEMA,

ENDAPO MAALIM , MTATIRO , JUSSA KULE WAKIENDA KUUNGANA NA KINA LISSU , MBOWE WAWE CHAMA KIMOJA .

CUF YA SASA IBAKI CHINI YA UONGOZI WA LIPUMBA MPYA. ...

NA HAPO NDIPO TUTAKAPONA CUF MPYA NA CHADEMA MPYA ILI ITAKAPOFIKA 2020 WANANCHI NDIO WATAKAOWAPIMA KWA SERA ,

HUU NI USHAULI TUU
 
Back
Top Bottom