Mama hana good communication skillsKwanini mwandishi anauliza leading questions?
Ndiyo maana wana hela hadi wanaumwa kuzitumia.
Walimsahau bahati mbayaHivi misuKule si wanakatwaga ulimi(nilisikia) sasa iweje huyu awe na ulimi mkomi?
Mbona hata mgaanga haulizwi techinical questions?Mama hana good communication skills
Aiseeee! Vipo vya kuamini ila sio hizi mambo za watu kufufuana.
He he he he
Dunia hii haiishi sarakasi aiseeee.
Huyo mganga ajiandae VX za waheshimiwa kupaki kila siku hapo kilingeni kwake.
Ameonyesha uwezo mkubwa sana, ambao wakulu wanautafuta kwa hali na mali kulinda madaraka yao.
Lete picha tuone ulimi wake ulivyorefuka. Bila picha Ni story Kama story zingineLeo March 7, 2019 Kijana Daniel Jackson aliyefariki December 2018 amedaiwa kufufuliwa na mtaalamu wa tiba za jadi huku ikielezwa kwamba alichukuliwa ‘msukule’ ambapo Mama yake mzazi amesema alifariki katika mazingira ya kutatanisha huku akisema sasa hivi anaweza kuzungumza na atampeleka shule.
Source: Millard Ayo
Sent using Jamii Forums mobile app
nauliza vipi huo ulimi nan kauvuta hivyo maana tunachokijua misukule huwa munawakata urimi na sio kurefushwa kama mulivyomfanya huyo dogo
Unataka uuone ulimi ulivyo mrefu kama tai?Lete picha tuone ulimi wake ulivyorefuka. Bila picha Ni story Kama story zingine
Sent using Jamii Forums mobile app
Inategemea huyo mwandishi ana uelewa gani kwenye maswali, maana kuna tatizo kwa baadhi ya waandishi.Mbona hata mganga haulizwi techinical questions?
Wapi death certificate?
Kibali cha mazishi?
Hatuamini hadi tuone official certificates