Leo March 7, 2019 Kijana Daniel Jackson aliyefariki December 2018 amedaiwa kufufuliwa na mtaalamu wa tiba za jadi huku ikielezwa kwamba alichukuliwa ‘msukule’ ambapo Mama yake mzazi amesema alifariki katika mazingira ya kutatanisha huku akisema sasa hivi anaweza kuzungumza na atampeleka shule.
Source: Millard Ayo
Sent using Jamii Forums mobile app
Mganga ndio huyo chekibobu mwenye jezi ya CCM
Hii imesababishwa na serikali sikivu ya ccm kwa hisani ya UVCCMHuu ni mwezi wa mastaa kufa na watu kufufuka, mwaka huu tutashuhudia mengi
HahhaahHe he he he
Dunia hii haiishi sarakasi aiseeee.
Huyo mganga ajiandae VX za waheshimiwa kupaki kila siku hapo kilingeni kwake.
Ameonyesha uwezo mkubwa sana, ambao wakulu wanautafuta kwa hali na mali kulinda madaraka yao.
Mambo mengi mda wenyewe mchacheHuu ni mwezi wa mastaa kufa na watu kufufuka, mwaka huu tutashuhudia mengi
Wachaga watakuwa waligoNgea wife, maana kila post wachaga!!