Wale walio chagua serikali ile kwa hawamu zote mbili ndio maadui wakubwa wa taifa hili kwa vizazi na vizazi. Ule utawala ulichaguliwa kwa kishindo na ni ulikuwa chaguo la mungu! Na malipo ya kuuga mkono serikali dhalimu ni urithi wa umaskini waliokuwa nao hata sasa!!