Ludovick Utouh: Serikali ya Kikwete ilijaa maadili

hayo mahojiano yalikua ya siku nzima maana aliongea mengi sana au still wanaendelea na mahojiano...maana kila siku jipya CAG kasema ivi mara vile...mengine marudio tuu
 
Dalali namba moja ni yeye mwenyewe,mbona hakujiondoa mapema? Aache unafiki
Wewe ndo mnafiki ambaye hutaki kuukubari ukweli! Ungekua wewe kwenye nafasi yake ungeongea wakati Kikwete yupo madarakani?
 
Wale walio chagua serikali ile kwa hawamu zote mbili ndio maadui wakubwa wa taifa hili kwa vizazi na vizazi. Ule utawala ulichaguliwa kwa kishindo na ni ulikuwa chaguo la mungu! Na malipo ya kuuga mkono serikali dhalimu ni urithi wa umaskini waliokuwa nao hata sasa!!
Acha kumuhusisha Mungu na uchafu wa binadamu?!. Chaguo la Mungu nabii yupi alikuja kumpaka mafuta? Ni kukufuru kusema chaguo la Mungu.
 
Back
Top Bottom