dist111
JF-Expert Member
- Nov 29, 2012
- 3,758
- 3,198
lara 1 unankoshaga sana roho,
ila hao wanaotegemea wakezao ni wanaume wa dar tu, huku mikoani principal kubwa ya ndoa ni lazima umzidi mkeo pesa especially kama anaelimu nzuri na figure ya ukweli. kwenye pesa lazima umzidi piga/garagaza/ua lazima umzidi pesa.
otherwise utakuwa kama wa dar tu.
ila hao wanaotegemea wakezao ni wanaume wa dar tu, huku mikoani principal kubwa ya ndoa ni lazima umzidi mkeo pesa especially kama anaelimu nzuri na figure ya ukweli. kwenye pesa lazima umzidi piga/garagaza/ua lazima umzidi pesa.
otherwise utakuwa kama wa dar tu.