M
MegaPyne
Guest
- Thread starter
- #21
Niko hapa Dodoma nangoja hilo mnalo dhani JK atasema ila nawahakikishia kwamba the guy kesha sema hana jipya . Hagusi vitu muhimu hata mara moja . Anataka kuchekesha lakini watu wao wanawaza vyeo baada ya kura .
Nothing serious is gonna be pronounced here .Anarudia madai ya kusema akina Slaa ni waongo laini sioni anakubali kwamba Tume iundwe hapana . Hakuna lolote .
Kamfanya Pope kuwa kivuli chake cha msaada na ndiyo maana anapenda sana picha na hao jamaa.Lakini mbona CCM leo makofi hayatoki ama kwa vile wajumbe wengi si waelewa sowanabaki kapa ?falsafa ya maisha bora leo inageuzwa rasmi mnaletwa wimbo mpya .
Yeah. Kusuhu mambo ya mafisadi kashamaliza. Makofi leo amna. Hata JK akisema CCM Oyee. Lakini wanaorespond ni kidogo. angalia nyuso za makada!