Lissu: Wanachama wamepitisha azimio la kumvua uanachama Mwakyembe, wanasubiri maamuzi ya viongozi

Wakili kufanya kazi haitaji idhini ya TLS.

Mwakyembe ni muhadhiri, PhD, ni matafiti.Memba wa TLS wengi ni watoto, wamenyoa viduku na visuruali vya kubana, PhD holder hapaswi kuwa kwa he hili kundi.Wamfute na Werema mwl wao
 
TLS ya Lissu inatofauti gani na hicho anachodai anapingana nacho? Kwamba kama hukubaliani na mtu basi unamfukuza, hiyo ndiyo demokrasia?
Hawajatofautiana mawazo labda ktk jambo flani, amesema hawawezi kuwa na mwanachama anaefikiria kikufuta chama, kumbuka huyu mjombaake bashit'e alitishia kuifuta TLS.
Magu ni noma, anaiua fisiem hivi hivi! Utam ni kuwa akishamaliza kuchoma vichaka atajikuta hata yeye hana tena pa kujificha! Kuna siku ataanza kukimbia kimbia kama huyu mtoto wake anavoishi sasa!"
 
Huyu si mwalimu wenu wanasheria? Kulikoni? Ila huu urais utakuwa kipimo kizuri sana kwa mwanasheria msomi kujua uwezo wake wa kiuongozi. Hasa upande wa hekima.

Na washawasha!
 
Huyu si mwalimu wenu wanasheria? Kulikoni? Ila huu urais utakuwa kipimo kizuri sana kwa mwanasheria msomi kujua uwezo wake wa kiuongozi. Hasa upande wa hekima.

Na washawasha!
Mwalimu wa sheria huyo alitoa tamko majuzi kabla ya kufunga ndoa uwe na cheti cha kuzaliwa kesho yake raisi akatengua yale maamuzi wewe ulielewa nini ?
 
Na akishavuliwa hawezi ku kupractice uwanasheria......ila acha wamvue tu
TLS krudi kwenye heshima yake

Ova
 
Duh! Mnamvua aliyekwishajivua? Yeye keshamaliza kuandaa muswada wa kuifanya TLS kuwa NGO na unawasilishwa bungeni hivi karibuni kwa hati ya dharula. Hana hamu ya kuwa member wa NGO.
 
Back
Top Bottom