Hawajatofautiana mawazo labda ktk jambo flani, amesema hawawezi kuwa na mwanachama anaefikiria kikufuta chama, kumbuka huyu mjombaake bashit'e alitishia kuifuta TLS.TLS ya Lissu inatofauti gani na hicho anachodai anapingana nacho? Kwamba kama hukubaliani na mtu basi unamfukuza, hiyo ndiyo demokrasia?
Mwalimu wa sheria huyo alitoa tamko majuzi kabla ya kufunga ndoa uwe na cheti cha kuzaliwa kesho yake raisi akatengua yale maamuzi wewe ulielewa nini ?Huyu si mwalimu wenu wanasheria? Kulikoni? Ila huu urais utakuwa kipimo kizuri sana kwa mwanasheria msomi kujua uwezo wake wa kiuongozi. Hasa upande wa hekima.
Na washawasha!
Ukishatolewa TLS HUwezi kupractice kzi za sheriaMwakembe akifutwa huko TLS ataloose nini?
TLS ILIKUWEPO KABLA YA HATA YA TANU KIJANA...Kwani huyo Lisu sasa ni rais wa maisha wa TLS? Yeye asubiri panga la kesi zinazomkabili mahakamani. Watu wanamlia timing tu.
Nimezaliwa kabla ya TANU.TLS ILIKUWEPO KABLA YA HATA YA TANU KIJANA...
OVA
Unadhani wote humu ni watoto wadogo?Acha fix mkuu duh
Ova
Ngoja Nkupe mji maana kama ni fix hyo ni zaidi ya fixUnadhani wote humu ni watoto wadogo?
Sina wasiwasi na umri wangu. Ulikuwa wapi kabla ya Uhuru wa Tanganyika?Ngoja Nkupe mji maana kama ni fix hyo ni zaidi ya fix
Ova
TLS ilianzishwa 1954....Kabla ya UhuruSina wasiwasi na umri wangu. Ulikuwa wapi kabla ya Uhuru wa Tanganyika?
Jaribu kuchungulia profile yangu.TLS ilianzishwa 1954....Kabla ya Uhuru
Ova
Profile si unajaza TU unaweza sema hata umezaliwa 1900....kikubwa onesha cheti halisi cha kuzaliwaJaribu kuchungulia profile yangu.