Lissu: Katika Nchi Hii hatukuwekewa Utaratibu wa Kutokubaguana, Ubaguzi Ulianza Baada ya Uhuru

bagamoyo

JF-Expert Member
Jan 14, 2010
21,577
24,573

30 April 2024​

Morogoro, Tanzania

Lissu : Katika Nchi Hii hatukuwekewa Utaratibu wa Kutokubaguana, Ubaguzi Ulianza Baada ya Uhuru


View: https://m.youtube.com/watch?v=KqCykOZ1RMY
  • Matendo ya serikali yetu
  • Uasi wa 1964 majeshi
  • Mwl. Nyerere aanzisha jeshi la wananchi wa Tanganyika sharti likiwa lazima kuwa mwanachama wa TANU Youth league
  • Chuo Kikuu ilikuwa lazima uwe mwanachama wa TANU / CCM huo ni ubaguzi
  • Huwezi kugombea uongozi kama siyo mwanacham wa TANU / CCM katiba ya nchi ilisema huu ulikuwa ubaguzi
  • Sasa miaka hii ya 2024 ubaguzi upo ktk katiba moja ya Tanzania na moja ya Zanzibar huku ya Tanganyika haipo huu ni ubaguzi
  • Mtanganyika huwezi kupiga kura kule Zanzibar lakini wenzetu wanaweza kupiga kura Tanganyika
  • DC wa Kilosa mheshimiwa Shaka lakini mtanganyika kwa katiba ya Zanzibar hawezi kuwa sheha, mwakilishi wala DC Zanzibar
  • Bandari za Tanganyika zimepigwa mnada lakini za Zanzibar zimelindwa ingawa bandari ni suala Muungano, huu ni ubaguzi
  • Huu ni ubaguzi mkubwa katika katiba
  • Tunawaambia CCM kuhusu ubaguzi huu ktk katiba wamekuwa wakali kweli kweli wakati mifano mingi ipo ila tumetaja michache hapo juu
 

30 April 2024​

Morogoro, Tanzania

Lissu : Katika Nchi Hii hatukuwekewa Utaratibu wa Kutokubaguana, Ubaguzi Ulianza Baada ya Uhuru


View: https://m.youtube.com/watch?v=KqCykOZ1RMY
  • Matendo ya serikali yetu
  • Uasi wa 1964 majeshi
  • Mwl. Nyerere aanzisha jeshi la wananchi wa Tanganyika sharti likiwa lazima kuwa mwanachama wa TANU Youth league
  • Chuo Kikuu ilikuwa lazima uwe mwanachama wa TANU / CCM huo ni ubaguzi
  • Huwezi kugombea uongozi kama siyo mwanacham wa TANU / CCM katiba ya nchi ilisema huu ulikuwa ubaguzi
  • Sasa miaka hii ya 2024 ubaguzi upo ktk katiba moja ya Tanzania na moja ya Zanzibar huku ya Tanganyika haipo huu ni ubaguzi
  • Mtanganyika huwezi kupiga kura kule Zanzibar lakini wenzetu wanaweza kupiga kura Tanganyika
  • DC wa Kilosa mheshimiwa Shaka lakini mtanganyika kwa katiba ya Zanzibar hawezi kuwa sheha, mwakilishi wala DC Zanzibar
  • Bandari za Tanganyika zimepigwa mnada lakini za Zanzibar zimelindwa ingawa bandari ni suala Muungano, huu ni ubaguzi
  • Huu ni ubaguzi mkubwa katika katiba
  • Tunawaambia CCM kuhusu ubaguzi huu ktk katiba wamekuwa wakali kweli kweli wakati mifano mingi ipo ila tumetaja michache hapo juu

Asante kwa historia ya kale!
You can now apply any post without that shit! (qualifications matter)
 

30 April 2024​

Morogoro, Tanzania

Lissu : Katika Nchi Hii hatukuwekewa Utaratibu wa Kutokubaguana, Ubaguzi Ulianza Baada ya Uhuru


View: https://m.youtube.com/watch?v=KqCykOZ1RMY
  • Matendo ya serikali yetu
  • Uasi wa 1964 majeshi
  • Mwl. Nyerere aanzisha jeshi la wananchi wa Tanganyika sharti likiwa lazima kuwa mwanachama wa TANU Youth league
  • Chuo Kikuu ilikuwa lazima uwe mwanachama wa TANU / CCM huo ni ubaguzi
  • Huwezi kugombea uongozi kama siyo mwanacham wa TANU / CCM katiba ya nchi ilisema huu ulikuwa ubaguzi
  • Sasa miaka hii ya 2024 ubaguzi upo ktk katiba moja ya Tanzania na moja ya Zanzibar huku ya Tanganyika haipo huu ni ubaguzi
  • Mtanganyika huwezi kupiga kura kule Zanzibar lakini wenzetu wanaweza kupiga kura Tanganyika
  • DC wa Kilosa mheshimiwa Shaka lakini mtanganyika kwa katiba ya Zanzibar hawezi kuwa sheha, mwakilishi wala DC Zanzibar
  • Bandari za Tanganyika zimepigwa mnada lakini za Zanzibar zimelindwa ingawa bandari ni suala Muungano, huu ni ubaguzi
  • Huu ni ubaguzi mkubwa katika katiba
  • Tunawaambia CCM kuhusu ubaguzi huu ktk katiba wamekuwa wakali kweli kweli wakati mifano mingi ipo ila tumetaja michache hapo juu

kitu cha ajabu, majority ya watanganyika wanasapoti hiki anachosema Lisu, ila wanaogopa, hofu. ukitaka kuwajua, weka kura za siri ambazo hazitakuwa za wizi, utapata jibu. hao kina shaka na rais wao watakuwa wanakuja hapa kwa VISA.
 
JAMHURI YA TANGANYIKA

Watanganyika walichagua jina hilo 1962 . Lawama ziende kwa mababu zetu wa Tanganyika walioamua hivyo.

Hii ilifuatiwa na toleo la mwisho la ukumbusho tarehe 9 Desemba 1962, likiwa na stempu nne maalum za Posta zilizoandikwa “JAMHURI YA TANGANYIKA” (“Jamhuri ya Tanganyika”) kuadhimisha kuanzishwa kwa jamhuri ya Tanganyika .


This was followed by a final commemorative issue on December 9, 1962, with four stamps inscribed "JAMHURI YA TANGANYIKA" ("Republic of Tanganyika") to commemorate the founding of the republic.
 
  • Matendo ya serikali yetu
  • Uasi wa 1964 majeshi
  • Mwl. Nyerere aanzisha jeshi la wananchi wa Tanganyika sharti likiwa lazima kuwa mwanachama wa TANU Youth league
  • Chuo Kikuu ilikuwa lazima uwe mwanachama wa TANU / CCM huo ni ubaguzi
  • Huwezi kugombea uongozi kama siyo mwanacham wa TANU / CCM katiba ya nchi ilisema huu ulikuwa ubaguzi
Haya huku, pamoja na kuwa mifano halali, hayaongezi chochote katika hali ya leo. Hizi ni nyakati mbili tofauti kabisa.

Ni kama sasa hivi kuimba habari za ubaguzi wa rangi ulivyokuwa Marekani miaka ya sitini, na kutaka kutumia hali hiyo katika mambo ya kileo yalivyo nchini humo.
 
Asante kwa historia ya kale!
You can now apply any post without that shit! (qualifications matter)
You must be from another planet or some kind of cave un-penetrable by light not to know what goes on in the real world during the process of hiring employees in today's Tanzania.
 
Kilimo ni ajira!, sijaona kipindi ambacho banks zipo friendly kama wakati huu wa awamu ya sita.
Kwani benki ni mali ya serikali. hao siyo wafanya biashara. Mtu na biashara yake utampangia vipi nani amwajiri?

Sasa huoni tatizo, kama hata hao wafanya biashara wanawapa kazi watu toka nje na kuwaacha waTanzania? Ni nani anayepaswa kuulizwa kama siyo CCM na srikali yake?
 
Kwani benki ni mali ya serikali. hao siyo wafanya biashara. Mtu na biashara yake utampangia vipi nani amwajiri?

Sasa huoni tatizo, kama hata hao wafanya biashara wanawapa kazi watu toka nje na kuwaacha waTanzania? Ni nani anayepaswa kuulizwa kama siyo CCM na srikali yake?
Mkuu mpaka spinach umeshindwa kulima, mpaka wachina walime hapo ruvu na kuzimwaga sokoni ilala?
 
Mkuu mpaka spinach umeshindwa kulima, mpaka wachina walime hapo ruvu na kuzimwaga sokoni ilala?
Mkuu 'Croco', tunaweza kufanya utani humu wewe na mimi na wengine wote, lakini inapokuja kwenye mambo kama hilo ulilotaja hapo roho yangu inasononeka sana na kuisikitikia nchi yetu hii.
Mimi siwezi kuwalaumu waTanzania kwa kutofanya wanayofanya waChina; kama huko kulima mchicha wao wakiwa wapowapo tu. Mimi nawalaumu viongozi wote wa nchi hii (kasoro Mwalimu), kwa kushindwa kuwatia moyo na kuwapa uwezo, ikiwa ni pamoja na mafunzo ya kufanya kazi hiyo vizuri sisi wenyewe.
Kwa kushindwa kuwahimiza na kusimamia kazi zao zifanyike vizuri.

Yaani hata wahitimu wetu wa kilimo wanashindwa kulima mchicha kwa ufanisi ili ulete tija kwao na ndugu zao; badala yake wanashinda kutwa wakitafuta kazi maofisini?

Na unajuwa kwa nin wanaona kilimo ni balaa kwao, kwa sababu serikali imekifanya kionekane kuwa balaa, ndiyo maana hata wananchi hawachangamkii fursa hiyo.
Sasa nchi inaposhindwa kufanya hata yaliyo ndani ya uwezo wake, eti tusubiri waChina waje kuwekeza kwenye kilimo cha mchicha Ruvu. Ukiwa kiongozi wa nchi utajivunia nini kwenye uongozi wako, unashindwa hata kuwapanga wananchi wako kuifanya vizuri kazi hiyo?

Inaudhi na kuumiza roho sana inapokuwa namna hii.
 
Back
Top Bottom