Lipumba alikuwa sahihi kujitenga na ufisadi!

Cuf asili tupo tunasubiri vikao vya chama.Na pia asilimia kubwa ya cuf si watu wa kuranda kwenye mitandao .Nashangaa wanaopinga kurudi kwa prof Lipumba wengi ni jamaa wa upande wa pili.
Tunasubiri vikao halali
Anarudi kufanya nini ndilo tatizo kubwa!! Maana Safari hii anarudi kuja kubomoa chama kama alivyotumwa na ccm, upande wa pili upi? Lipumba alichokifanya Kipindi cha kampeni hakistahili kusahaulika haraka hivyo kisha arejeshwe kienyeji enyeji kama anavyotaka na jinsi kamati ya Ufundi ya January inavyotaka, ccm wanashauku kubwa ya kuona CUF inakufa hususani kule Pemba ili wapate kutawala bila upinzani.
 
Naunga hoja mkono,kwasasa lipumba yupo huru kwani kile kipindi chakumuunga mkono fisadi kilishapita.
Richmond ni ya Kikwete pia Lipumba ni Fisadi maana alichukua pesa dola million 1.5 toka kwa Membe ndipo akawatoroka ukawa hivyo sijui unamsema Fisadi yupi?
 
Maana ya ufisadi ni kujipatia pesa kwa njia haramu, iweje Lipumba haitwi Fisadi? Kwa maana kwamba Lipumba amekuwa na mpiga Dili za kisiasa alichukua pesa haramu toka kwa Membe zikiwa ni Rushwa, pesa haramu za NIDA na marehemu Gadafi iweje Lipumba a.k.a single mzee asiitwe Fisadi, sasa kabuni mladi anakula pesa za ccm kisha aanze kukivuruga chama huo ni ufisadi pia. Lipumba Profeselii hana lolote zaidi ya kuendekeza michepuko matokeo yake kashindwa kuoa hadi leo hana hata mtoto w kusingiziwa.
 
Sidhani kama hiyo tabia yake sugu ya ufuska ina influence kwenye maamuzi yake kama ulivyojieleza.

kuhusu kununuliwa na Membe hilo silijui ndio maana nilitaka ufunguke zaidi labda unaweza kuwa na hoja
Usiwe mjuaji kijinga. Kudhindwa dhibiti mgomo uzembe, pombe, ganja au ku ogopa familia ni.ishara kuna vitu vinakutawala na you are too coward to face reality.
 
Mmesahau lissu na mnyika wamegeuka mabubu gafla kisa cha lipumba>>nafsi inawasuta kumsafisha mwizi wa segerea ..
 
Coalitions nyingi za mfano wa UKAWA zilizowahi kuundwa au kufikiriwa kuundwa huko nyuma zilishindwa kuzaa matunda kwa sababu ya greed na ubinafsi wa viongozi wa upinzani. Mentality ilikuwa, "... mimi ndiye ninakubalika zaidi na wananchi kuliko kiongozi yeyote mwingine wa upinzani. Lazima coalition initeuwe mimi kugombea".

Ujio wa fisadi ndani ya UKAWA angalau uliinusuru UKAWA kusambaratika kabla ya uchaguzi wa 2015. Based on past experience, there's no doubt that neither Lipumba nor Slaa was going to yield to the other. Consequently, the disintegration of the coalition before the 2015 general election was virtually inevitable. Kujitoa kwa Lipumba na Slaa kutoka kwenye vyama vyao ilikuwa ni muendelezo wa yale yale yaliyosambaratisha coalitions za kabla ya UKAWA. Tofauti ni kwamba safari hii viongozi wenzao walichukuwa uelekeo tofauti, kwa sababu wanazozijua wenyewe. Vitendo vya Lipumba na Slaa kufungua njia za mawasiliano na washenga wa fisadi baada ya kutemwa kwake na CCM ni kielelezo kwamba kilichowatoa kwenye vyama vyao sio nia yao ya dhati ya kujitenga na ufisadi. Walikuwa tayari kumpokea fisadi na kufanya naye kazi katika nafasi nyingine yoyote isipokuwa ya yeye kuwa mgombea kupitia UKAWA!
 
Profesa Fisadi hawezi kujitenga na ufisadi. Kuna utafiti unasikitisha na kusikitisha. Ati kwamba ngozi nyeusi hata isome vipi, haina tofauti ktk IQ na ngozi nyeusi isiyosoma. Hii ni kwa waafrika wote hata walio USA na UK. Kwa haraka ni rahisi kuipinga na kuichukia sababu ya denial na fake patriotism. Lakin unapoona profesa bobezi wa uchumi kutoka Stanford apekelekeshwa na kuamriwa mambo na mkwere ambaye ana gents ya uchumi ya Mlimani, unaanza kuelewa tafiti za wazungu.

Prof. hatakuja kukiri hadharani, lakini hakika baada ya miaka kadha, yeye, wanawe na wajukuu zake watasutwa sana kwa aliyofanya kwa siasa za upinzani Tanzania mwaka jana. Yote kwa yote, ni heri yeye inayesemekana aliramba bilion za pesa kuliko padri aliyedanganywa na kidosho mbibi anayejifanya sistaduu. Pia huyu mbishi wa kigoma kasaliti harakati kwa ajili ya uswahiba na mkwere.
Lowasa je tamaa ya madaraka au nini
Tatizo huongei fact unaongea ushabiki
Hayo tuliyoaminishwa kwa miaka mingi kuwa fisadi ghafla ufisadi ulienda wapi
Eleza pande zote mbili
Profesa wa uchumi alifahamu hilo mapema ndio maana alijiengua kadhalika na slaa
Kama kulamba pesa je kwanini asingepokea za lowasa alizompa mbowe au zenyewe zilikua chache kama ambavyoiliripotiwa?
 
Lowasa je tamaa ya madaraka au nini
Tatizo huongei fact unaongea ushabiki
Hayo tuliyoaminishwa kwa miaka mingi kuwa fisadi ghafla ufisadi ulienda wapi
Eleza pande zote mbili
Profesa wa uchumi alifahamu hilo mapema ndio maana alijiengua kadhalika na slaa
Kama kulamba pesa je kwanini asingepokea za lowasa alizompa mbowe au zenyewe zilikua chache kama ambavyoiliripotiwa?
Watu weusi ni watu wa mambo madogo madogo. Hakuna ngozi nyeusi inayovumbua mambo makubwa. Moja ya sababu ni kutokuwa na malengo ya muda mrefu. Upeo wetu ni sawa na urefu wa pua zetu.

Badala ya kuona Lowassa ana tamaa kwa kuutafuta urais kwa miaka mingi na kudiriki hata kuhama chama alichokitumikia ujana wake wote, waweza kumuona kama mtu aliyetaka kutimiza ndoto zake. Watu weusi hatuna ndoto, hilo nalo ni tatizo. Watu wote duniani wanaofanikiwa wana ndoto, tena kila siku wanayoishi hujaribu kuifanikisha ndoto yao.
 
Lowasa je tamaa ya madaraka au nini
Tatizo huongei fact unaongea ushabiki
Hayo tuliyoaminishwa kwa miaka mingi kuwa fisadi ghafla ufisadi ulienda wapi
Eleza pande zote mbili
Profesa wa uchumi alifahamu hilo mapema ndio maana alijiengua kadhalika na slaa
Kama kulamba pesa je kwanini asingepokea za lowasa alizompa mbowe au zenyewe zilikua chache kama ambavyoiliripotiwa?
Mimi sijui kama Lowassa ni fisadi au la. Ila tofauti na Lipumba, nampa 'benefit of doubt'. Lipumba anakosa hiyo kwa sababu mbili:
1. Ameshawahi kukiri hadharani kuwa alimsaidia Kikwete kwa misingi ya kidini na hajawahi kukanusha. Hii ina maana ana historia ya kutumika. Huyu si safi.

2. Kwa kutokubaliana na yaliyotokea wakati wa uchaguzi, alikaa pembeni. Safi. Tatizo ni pale anapotaka kurudi wakati sababu ya kuondoka kwake bado zingalipo. Lowassa bado yupo chadema/ukawa, na umoja wa ukawa bado unaendelea. Huu ni unafiki.

Binafsi kwa uchaguzi wa mwaka jana, niliona chaguo kati lesser evils. Mmoja kibaka(Lowassa?), mwingine jambazi (System nzima ya CCM). Magu ni by-product nzuri na iliyopatikana kibahati ktk mpambano wa 'evils'.
 
Baada ya lipumba kung'atuka kwenye uongozi cuf imepata wabunge 10 bara wa majimbo ..lkn wakat yy ni m/kiti chama kilikuwa na wabunge wawili tu...
 
Kiukweli lipumba alichemka aliekua anampinga bado yupo ukawa tunataka wapinzani thabiti wa kupambana hoja Na serikali
 
Mheshimiwa Lipumba alijiondoa madarakani kwa sababu alizozijua zaidi yeye mwenyewe na sasa anataka kurudi kwa sababu anazozijua mwenyewe pia. Walau zile ambazo hata sisi tunazijua bado zipo palepale hata sasa.

Sio CUF, CHADEMA wala NCCR waliotangaza kujitoa kutoka UKAWA. Mheshimiwa Lowassa hajatangaza kurudi CCM wala kujiunga na chama kingine. Kama haitoshi, mheshimiwa Lowassa huyo huyo ameonyesha dhamira ya kugombea tena katika uchaguzi ujao. Si CHADEMA, CUF wala NCCR waliokanusha wala kutoa kauli yoyote kuhusu jambo hili. Kuna kilichobadilika hapo? Au ndo kusema amegundua kuwa "aliteleza" katika maamuzi yake ya awali? Kama ndivyo mbona hakusema bayana ili aeleweke?

Binafsi naona majibu ya mheshimiwa Twaha Taslima ni sahihi kwa kiasi kikubwa.
 
Wenye akili timamu tunajua katumwa kazi maalum, alimkimbia Lowassa, Lowassa bado yupo UKAWA, na CUF bado wapo UKAWA.

Jiuluzeni anarudi kufanya nini? Kama alikimbia akaenda Rwanda na Slaa kwenda Ulaya? Na tuliona Slaa alivyo pitishwa mlango wa nyuma pale Hotelini.

Ninacho weza kumwambia Lipumba, aache siasa za Biashara, tunataka siasa za ukombozi wa watanzania

Na ukiendelea Mungu atakulaani.
 
Cuf asili tupo tunasubiri vikao vya chama.Na pia asilimia kubwa ya cuf si watu wa kuranda kwenye mitandao .Nashangaa wanaopinga kurudi kwa prof Lipumba wengi ni jamaa wa upande wa pili.
Tunasubiri vikao halali
Kumbe mmewashtukia...wanajua mambo yakikaa sawa huko Cuf ndio mwisho wa Ulaghai wao kupitia mwamvuli wa UKAWA.
 
Back
Top Bottom