PAGAN
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 12,121
- 20,004
Saivi kanenepa, alivyononanona Nahisi hata utamu umeongezeka! Mashallah
Mkuu utamu unao mwenyewe, kama unabisha jaribu kupiga puchu uone.
Saivi kanenepa, alivyononanona Nahisi hata utamu umeongezeka! Mashallah
Acha utani Mkuu! Mwanamke Ni kiumbe Mtamu sana.Mkuu utamu unao mwenyewe, kama unabisha jaribu kupiga puchu uone.
Acha utani Mkuu! Mwanamke Ni kiumbe Mtamu sana.
Ngoja weekend ifike tulijadili hili kwa vitendo.Okay, wanawake wananukia vizuri, ngozi nyororo and they have soft body and voice that drive us crazy, lakini utakumu wa kule mahali tunao wenyewe man.
Kati ya ruby, Maua na Alice nani alifunika zaidi, maana hizo mtu 3 mmmmhNilimuona Valentine day pale escape 1 walikua wanaimba live alifunikwa vibaya na Ruby,Alice na Maua Sama!Linah ni mwimbaji wa kawaida aliyepewa airtime na wadau wanaoamua nani atoke!kwa walioona lile Onesho la valentine wamenielewa
Dah ngumu kujudge lakini nadhani Ruby alitisha zaid ila Linah walimuacha mbali kuna wimbo wa copy aliimba unahitaj kupanda saut alitia huruma almanusra awike she is overratedKati ya ruby, Maua na Alice nani alifunika zaidi, maana hizo mtu 3 mmmmh
Kati ya ruby, Maua na Alice nani alifunika zaidi, maana hizo mtu 3 mmmmh
Mmh ila Ruby ana kisauti jamani....hahaha Linah kwa hao watatu lazima akalishweDah ngumu kujudge lakini nadhani Ruby alitisha zaid ila Linah walimuacha mbali kuna wimbo wa copy aliimba unahitaj kupanda saut alitia huruma almanusra awike she is overrated
"Something about you....una rangi ya kipekee baby".... . Maua yupo vizuriiiiiiiimaua sama alitisha
Maua ni shida.. nimemuelewa sana kwa wimbo huo.."Something about you....una rangi ya kipekee baby".... . Maua yupo vizuriiiiiiii
Hahaha yupo vizuriiiiiiii mnooMaua ni shida.. nimemuelewa sana kwa wimbo huo..
Ruby ni shida, aliimba wimbo wa Whitney Houston nikam-salute.Kati ya ruby, Maua na Alice nani alifunika zaidi, maana hizo mtu 3 mmmmh
Kwa hao wadada, Linah anaachwa mbali sana. Huyu Maua na Ruby sio wanamuziki tu, ni waimbaji!Dah ngumu kujudge lakini nadhani Ruby alitisha zaid ila Linah walimuacha mbali kuna wimbo wa copy aliimba unahitaj kupanda saut alitia huruma almanusra awike she is overrated
Me nilimsikia siku anaimba listen ya beyonce, kwa kweli sifa yake tumpe. Yupo vizuri sanaRuby ni shida, aliimba wimbo wa Whitney Houston nikam-salute.
audio mzuri japo video ipo chini ya kiwango. Kafata nyayo za ALLY KIBA Kwa kutoa video ya kawaida wakati nyimbo nzuri...Wimbo mzuri, lakin video hapana kwa kweli,
Kama alivyosema mdau hapo juu, angevaa kiutamaduni angenoga zaidi,
Hata hao malkia wa nguvu wenyewe hawajanibamba.