Sisi ni wazuri kwenye kuongea kuliko kwenye kuandikaWe mzaramo gani unaongea kiswahili kibovu namna hii "muhandishi" ndio nn? "halipo" una matatzo gani na H ww!
Unajua maana ya role model? Unajua Young D ameanza mziki lini? Kwa kukusaidia tu Young D ameanza kusikika miaka ya 2006 hivi wakati dogo Janja kasikika mwaka 2011, sasa iweje huyu wa 2011 awe role model wa huyu wa 2006?
Alaaaaa bc sawa!Sisi ni wazuri kwenye kuongea kuliko kwenye kuandika
Naona kama umeshafunga mjadara.. Umefafanua vizuri kabisa..hawa madogo wote wako vzuri lakin wakat unaweza bishana kuhusu nani ni wa kwanza kati ya Young D na Young Kila, Dogo Janja ni lazima awe wa mwisho hapo.
Young kila nampa heko ya utungaji wa mashairi mazuri kuwazidi wote. maswaka ya vina na urari wa mistari anayaweza.
Young D, nyimbo zenye swaga anaziweza, huwa naskilizaga nyimbo zake kwa stail yake huwa sizichoki. mfano kijukuu, Boma la utete, dada anaolewa etc.
Dogo Janja, huyu ni mjanja mjanja tu hivo hivo, ila ki muziki hawawezi hao jamaa wawili hapo juu. japo si mbaya pia
Maswala ya kuvaa sjui, hayo mi siyawezi, au nani anapiga show kali hayo nayo siwezi, nani anaishi ki super star of coz dogo janja na Young Kila wanajielewa kuliko Young D sjui huwa anakula maharage ya wap Young D anaishi hovyo hovyo sana.
Sijajua ni mchambuzi wa nini ila kwa ufafanuzi wako nahakika sio mchambuzi wa sanaa ya muziki.. Baki kwny fani ykoKipato - Dogo Janja
Ngoma kali - Dogo Janja / Young D
Kupendeza -Young D
kumiliki jukwaa - non of above
muonekano wa kistar - Young D
Mzee wa sinaga swaga kabisaaaa yani young killer mwanza mwanza a.k.a msodoki anatisha uyu jamaaa
Kwazile flow za bigilibigili kwenda bigili Kuja.. Acha nikae kimya.. Arusha mnapoteza tests sikuizianayo kura yangu ni mfalme wetu huku arachuga hawamhui mwanamuziki mweingine yoyote hapa ngarenaro
Sijajua ni mchambuzi wa nini ila kwa ufafanuzi wako nahakika sio mchambuzi wa sanaa ya muziki.. Baki kwny fani yko