secret file
JF-Expert Member
- Sep 10, 2019
- 5,843
- 8,640
Mwanasiasa lazima uwe machachari.....
sasa ukipoa kama maji ya mtungi tunakusahau....
sasa ukipoa kama maji ya mtungi tunakusahau....
Ana maswali mengi ya kujibu huyu mzee.Ameharibu mno Wasifu wake kwa kuwahi kuwa Mwanaccm , wasomi wengi wanajutia hilo , angebaki kuwa daktari wa Nyerere tu
Labda siyo mnyakyusa, atakuwa mnyasa huyu: JOKING🤓kasoro mwanadada Tulia janjajanja.
Aliomba kutopewa uteuziLazima awe intelligent zingatia yafuatayo.
1.Alikuwa bosi wa muhimbili yote.
2.Alikuwa Dr wa baba wa taifa.
3.Yupo umweweni mpaka Leo.
4.Alikuwa waziri wa afya.
5.Ni profesa wa kusoma sio desa.
Je atakuwa kilaza?
Namba 4 & 5 kama zinabeba ujumbe mkubwa wa Siri!USIPOTOSHE UMA NDUGU TAFADHALI SANA.
1. Wilaya ya Rungwe hapo awali ilikuwa imegawanywa kwenye Majimbo Mawili Rungwe mashariki na Rungwe Magharibi.
2 . Baada ya mwaka 2015 kuanzisha Mkoa mpya wa Songwe ilibidi Wilaya Rungwe iwe na jimbo moja tu la Rungwe. Na jimbo lililokuwa Rungwe mashariki likaenda kwenye wilaya mpya ya Busokelo na kuitwa jimbo la Busokelo.
3 Mbunge wa Sasa Wa Rungwe ni D. Mwantona baada ya kuiba kura za CHADEMA kwa mgombea Mwakagenda.
4. Mwakyusa alikuwa Waziri wa Afya Utawala wa Benjamini mkapa.
HAKUHFANYA KITU CHOCHOCHO WILAYA YA RUNGWE WALA KWENYE JIMBO LAKE. ukilinganisha na Mwandosya.
5. Ndiye alikuwa Daktari wa Mwalimu Nyerere hadi Kifo.
Ni mpole na mkimya kupita kiasi.
MSABATO ALIYEPOA ZAIDI NA ZAIDI.
Hakuwa Mkurugenzi wa Muhimbili yote bali Mkurugenzi wa Administration.Lazima awe intelligent zingatia yafuatayo.
1.Alikuwa bosi wa muhimbili yote.
2.Alikuwa Dr wa baba wa taifa.
3.Yupo umweweni mpaka Leo.
4.Alikuwa waziri wa afya.
5.Ni profesa wa kusoma sio desa.
Je atakuwa kilaza?
Kuhusu maendeleo ya Jimbo, nafikiri alikuwa anawaza ki haki haki , na kwamba serikali itafanya inachotakiwa bila yeye kutumia influence yake.USIPOTOSHE UMA NDUGU TAFADHALI SANA.
1. Wilaya ya Rungwe hapo awali ilikuwa imegawanywa kwenye Majimbo Mawili Rungwe mashariki na Rungwe Magharibi.
2 . Baada ya mwaka 2015 kuanzisha Mkoa mpya wa Songwe ilibidi Wilaya Rungwe iwe na jimbo moja tu la Rungwe. Na jimbo lililokuwa Rungwe mashariki likaenda kwenye wilaya mpya ya Busokelo na kuitwa jimbo la Busokelo.
3 Mbunge wa Sasa Wa Rungwe ni D. Mwantona baada ya kuiba kura za CHADEMA kwa mgombea Mwakagenda.
4. Mwakyusa alikuwa Waziri wa Afya Utawala wa Benjamini mkapa.
HAKUHFANYA KITU CHOCHOCHO WILAYA YA RUNGWE WALA KWENYE JIMBO LAKE. ukilinganisha na Mwandosya.
5. Ndiye alikuwa Daktari wa Mwalimu Nyerere hadi Kifo.
Ni mpole na mkimya kupita kiasi.
MSABATO ALIYEPOA ZAIDI NA ZAIDI.
Kwenye uwaziri wakati wa Mkapa kweli kapotosha ila mengine yote ni kweli tupu.Du Wanyakyusa ...mkiwa na isingizi mlale!
Mwenzako katupotosha ...wewe unatudanganya ,hebu pitia vizuri Uzi wako na fact ulizoweka!
Upotoshaji xUongo+ kimbelembele=!
Wikipedia hata wewe unaweza kujiita RaisNi msabato? Sikufahamu hilo. Kwa iyo siyo mmbunge? Mbona kwenye google Wikipedia wanamtambua kama mbunge wa sasa Rungwe west. Msaada please
Huyu ni miongoni mwa wale maprofesa wa Muhimbili waliopeana uprofesa kwa mtindo wa "annual increment" bila kuwa na PhD. Hana PhD huyu, lakini ni profesa! Wenzake kama yeye ni pamoja na akina Sarungi, hata huyu Mkurugenzi wa sasa wa Muhimbili anaitwa Museru na wengine wengi wa Muhimbili mnaosikia wakiitwa maprofesa hawana PhD. Wapo wachache wenye PhD, hasa wale waliopitia mkondo wa social sciences (kama vile Dr Semakafu, mwalimu wa DS) na wale wa maabara (hasa upande wa madawa, yaani pharmacy). Wale wa tiba waliamua kujikweza na kujiwekea kasheria kao ka annual increment, unapanda cheo kila baada ya miaka 3 hadi unakuwa profesa!Mkikumbuka jinsi alivyoimudu wizara ya afya enzi za mkwere. Licha ya elimu yake ya juu huyu mtu ni gentleman na smart. Hana maneno mengi ndio maana hasikiki licha ya kuwa bado mbunge wa Rungwe Magharibi. Nchi yetu ina hazina na wengi wako kimya tu. Wanyakyusa ni gentlemen angalia kama proffesor Mwandosya another gentleman akina Davis Mwamunyange kasoro mwanadada Tulia janjajanja.
Mwakyusa ana miaka 78 but still strong. Mungu ambariki huyu humble gentleman David Homeli Myakyusa.
Wakuu niwieni radhi. David H. Mwakyusa siyo mbunge. Google wikpedia imenichanganya. Wanabidi waupdate. Kwasababu wameandika hata David Mwakyusa ni incumbent.
Mkuu wasaidie kuhuisha- update- ni ruksaNi msabato? Sikufahamu hilo. Kwa iyo siyo mmbunge? Mbona kwenye google Wikipedia wanamtambua kama mbunge wa sasa Rungwe west. Msaada please
Senior leadership fellow at Harvard school of Public health
Huyu ni mtutsi..mababu zake walitokea katumba: JOKINGLabda siyo mnyakyusa, atakuwa mnyasa huyu: JOKING![]()
USIPOTOSHE UMA NDUGU TAFADHALI SANA.
1. Wilaya ya Rungwe hapo awali ilikuwa imegawanywa kwenye Majimbo Mawili Rungwe mashariki na Rungwe Magharibi.
2 . Baada ya mwaka 2015 kuanzisha Mkoa mpya wa Songwe ilibidi Wilaya Rungwe iwe na jimbo moja tu la Rungwe. Na jimbo lililokuwa Rungwe mashariki likaenda kwenye wilaya mpya ya Busokelo na kuitwa jimbo la Busokelo.
3 Mbunge wa Sasa Wa Rungwe ni D. Mwantona baada ya kuiba kura za CHADEMA kwa mgombea Mwakagenda.
4. Mwakyusa alikuwa Waziri wa Afya Utawala wa Benjamini mkapa.
HAKUHFANYA KITU CHOCHOCHO WILAYA YA RUNGWE WALA KWENYE JIMBO LAKE. ukilinganisha na Mwandosya.
5. Ndiye alikuwa Daktari wa Mwalimu Nyerere hadi Kifo.
Ni mpole na mkimya kupita kiasi.
MSABATO ALIYEPOA ZAIDI NA ZAIDI.
Ni msabato? Sikufahamu hilo. Kwa iyo siyo mmbunge? Mbona kwenye google Wikipedia wanamtambua kama mbunge wa sasa Rungwe west. Msaada please
Fao la kujitoa vizuri umejitoa kwenye habari za uongo