NI MTAZAMO TU
JF-Expert Member
- Feb 20, 2014
- 1,203
- 999
safiVijana watatu kati ya kumi na mbili wauwawa na wananchi wenye hasira kali baada ya kupita duka Kwa duka wakiwa na silaha aina ya mapanga na visu kuvamia mtaa wa Kibo Rombo Ubungo.
Story kamili watu hawa walikuwa wanatokea mazishini kuzika mwenzao ambaye anasadikika aliuwawa usiku wa juzi na wanchi Kwa tulio la wizi maeneo ya msewe Ubungo.
Wakiwa wanatokea kuzika wakatanda mtaa wa Rombo wakiwa na mapanga na visu ila baada ya kuporwa watu wengi simu na pesa,Wananchi waliwazingila na wakawamudu Kwa kutumia mawe,baadhi yao wamefanikiwa kukimbia na watatu wakauwawa hapo hapo na kuchomwa moto.
Picha ya tukio haijapatina kutokana na kukuta police walisha fika na kuchukua miili ya marehemu.
Labda wenye picha na habari kamili watujuze.
Hatimae wanaume was Dar wajitutumua
Matusi ya rejareja si mazuriSie wanaume wa Dar ni hatari sana ...
Hatupendi ujinga kabisa.
Hatimae wanaume was Dar wajitutumua
Wangewaua angalau nusu dazeni haki ingetamalakiHaki imetendeka na imeonekana kutendeka.
Matusi ya rejareja si mazuri
Hili tukia la saa hii mchana kulianza kama utani huku mtaani na mama wemepigwa na mabapa ya upanga. Na ilikuwa kama taharuki kwakuwa wanaingia dukani wanachukua zao na kila mpita njia unaacha simu la sivyo unakula pangaWangewaua angalau nusu dazeni haki ingetamalaki
Malezi na kutopatiwa huduma za muhimu kutoka kwa wazazi na walezi wao.Hawa vijana tatizo ni malezi au nini jamani?
Inaweza kuwa ni kweliMalezi na kutopatiwa huduma za muhimu kutoka kwa wazazi na walezi wao.