Lengo la third interview kwenye international NGO

RUKUKU BOY

JF-Expert Member
Sep 8, 2015
1,516
1,775
Habari wakuu,

Kuna kazi niliiomba kwenye NGO ya wa Norway. Nikiri ya kwamba sijawai ona Hiring process ndefu kama ya hili shirika.
Nilikuwa shortlisted nkapiga interview ya kwanza ambayo ilikuwa phone interview na WA Norway, badae nkapita, na kuingia second interview nilifanya na ma boss kutoka Norway kupitia zoom. Nayenyewe nimepita, eti natakiwa kufanya Tena third interview Tena, kupitia Zoom.

Wakuu lengo la third interview uwa ni nini,? Je Kuna mtu ashawai pitia hizi interview anipe mwongozo.
 
Habari wakuu,

Kuna kazi niliiomba kwenye NGO ya wa Norway. Nikiri ya kwamba sijawai ona Hiring process ndefu kama ya hili shirika.
Nilikuwa shortlisted nkapiga interview ya kwanza ambayo ilikuwa phone interview na WA Norway, badae nkapita, na kuingia second interview nilifanya na ma boss kutoka Norway kupitia zoom. Nayenyewe nimepita, eti natakiwa kufanya Tena third interview Tena, kupitia Zoom.

Wakuu lengo la third interview uwa ni nini,? Je Kuna mtu ashawai pitia hizi interview anipe mwongozo.
Kama hawajakufanyisha mtihani wa kuandika, basi hiyo interview ya tatu ndiyo mbadala wake.
Tegemea maswali ya kawaida ya jinsi unavyoweza kufanyakazi na watu wengine na pia unavyoreact/handle
kutokana na maelekezo ya boss ambayo hukubaliani nayo.

Usimuone mnoko jamaa anayekuuliza maswali mengi, maana huenda anakusaidia kwani atakuwa
ameona mahali hujajieleza vizuri bali anaamini unauwezo wa kujieleza vizuri zaidi, hivyo anakupiga
swali kutokea angle nyingine.

Fanya tu hizo interview usichoke maana ndiyo kutafuta kwenyewe.
 
Kama hawajakufanyisha mtihani wa kuandika, basi hiyo interview ya tatu ndiyo mbadala wake.
Tegemea maswali ya kawaida ya jinsi unavyoweza kufanyakazi na watu wengine na pia unavyoreact/handle
kutokana na maelekezo ya boss ambayo hukubaliani nayo.

Usimuone mnoko jamaa anayekuuliza maswali mengi, maana huenda anakusaidia kwani atakuwa
ameona mahali hujajieleza vizuri bali anaamini unauwezo wa kujieleza vizuri zaidi, hivyo anakupiga
swali kutokea angle nyingine.

Fanya tu hizo interview usichoke maana ndiyo kutafuta kwenyewe.
Aisee na hakuna mtihani wa kuandika interview inapigwa Zoom
 
Ndiyo interview rahisi kuliko mbili za mwanzo.

Inaweza kuwa ndiyo interview ya HR, (jiandae kubargain kama bado) inaweza kuwa ni interview na management au moja ya your line manager ambaye hakuwepo katika interview ya pili.

Ni interview unayotakiwa kuuliza maswali kuliko zote sababu consider kuwa kazi umeshapata.

Yangu ilikuwa hivi, ya kwanza na technical team, ya pili ya HR ya tatu na watu wa management.

All the best.
 
Ndiyo interview rahisi kuliko mbili za mwanzo.

Inaweza kuwa ndiyo interview ya HR, (jiandae kubargain kama bado) inaweza kuwa ni interview na management au moja ya your line manager ambaye hakuwepo katika interview ya pili.

Ni interview unayotakiwa kuuliza maswali kuliko zote sababu consider kuwa kazi umeshapata.

Yangu ilikuwa hivi, ya kwanza na technical team, ya pili ya HR ya tatu na watu wa management.

All the best.
Duu unanitia moyo thanks mkuu, mie nadhani nkamaliza ya tatu Kuna ya nne, salary hatujabagain, afu interview ilikuwa nifanye Jana kwakua hakuna internet wakaalisha hadi next week nimechukia kwakweli
 
Ndiyo interview rahisi kuliko mbili za mwanzo.

Inaweza kuwa ndiyo interview ya HR, (jiandae kubargain kama bado) inaweza kuwa ni interview na management au moja ya your line manager ambaye hakuwepo katika interview ya pili.

Ni interview unayotakiwa kuuliza maswali kuliko zote sababu consider kuwa kazi umeshapata.

Yangu ilikuwa hivi, ya kwanza na technical team, ya pili ya HR ya tatMau na watu wa management.

All the best.
Mimi ya kwanza na ya pili ni technical management(yaani wataalamu)
 
Wako sahihi maana kufanya kazi ya kulipwa mshahara wa $2600 pamoja na benefit zote anazostahili binadamu wa daraja la kwanza, katika nchi yetu ya umatumbini sio jambo jepesi.

Kama unaona interview ngumu hizo nenda kwa wahindi ukalipwe laki 3 na ujiandae kufokewa kama mkata majani 😁...
 
Duu unanitia moyo thanks mkuu, mie nadhani nkamaliza ya tatu Kuna ya nne, salary hatujabagain, afu interview ilikuwa nifanye Jana kwakua hakuna internet wakaalisha hadi next week nimechukia kwakweli
Dogo unachukia wakati unaenda kufanya kazi na mzungu? Mshahara usije ukasema laki 3 tu 😂 unaonekana ni freshers mwenye vyeti vizuri ila hujayajua maisha.
 
Ndiyo interview rahisi kuliko mbili za mwanzo.

Inaweza kuwa ndiyo interview ya HR, (jiandae kubargain kama bado) inaweza kuwa ni interview na management au moja ya your line manager ambaye hakuwepo katika interview ya pili.

Ni interview unayotakiwa kuuliza maswali kuliko zote sababu consider kuwa kazi umeshapata.

Yangu ilikuwa hivi, ya kwanza na technical team, ya pili ya HR ya tatMau na watu wa management.

All the best.
Mimi ya kwanza na ya pili ni technical management(yaani wataalamu)
Dogo unachukia wakati unaenda kufanya kazi na mzungu? Mshahara usije ukasema laki 3 tu 😂 unaonekana ni freshers mwenye vyeti vizuri ila hujayajua maisha.
No nmechukia mtandao kuzingua na interview kuhairishwa,,,, je kunaweza kukawa na interview ya nne
 
Back
Top Bottom