Pre GE2025 Lembrus Mchome: Tundu Lissu hana tofauti na Magufuli ni dikteta uchwara

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mbona Zitto alikuwa anamkosoa sana Magufuli alipatwa na nini?
January Makamba na Kampuni yake mbona walikuwa wanamkosoa na kumdhihaki Magufuli walipatwa na nini?

Vipi Kuhusu Samia ni nani amemkosoa na akabaki salama? Ni Soka au Ally Kibao? Au Job ndugai alipomkosoa mama ilikuwaje!
Vipi Kuhusu Polepole na Shule yake ya uongo Iliishaje?
Ivi Mbowe alikamatwa na kukaa gerezani miezi nane na nani?
Kwanini alitoka gerezani na kwenda IKULU moja kwa moja?

Ni nani aliyemtukana waziri Mkenda NOSENSE kwa kukataa dili la majangili ya Sukari?
Mada inaongelea Lissu na Magufuli.
Mlioshindwa darasa la saba mna matatizo kuelewa.
 
Tundu Lissu ni mwanaharakati, ni mpambanaji!

Mtu mwenye sifa hizi hutawaliwa na hasira, visasi na malipizo. Ni maskini wa busara na hekima.

Mwanaharakati siku zote ni ngumu kukubali ushauri ulio kinyume na falsafa yake hata kama ushauri huo una manufaa.
 
Back
Top Bottom