Lema ni Mwanasiasa wa Kawaida, Ila Chuki ya Watawala Imemfanya awe Shujaa

Huyu jamaa namkubali namshauri achague maneno yakusema sikila neno unasematu,rejea alivyokuwa anamsema Lowasa,sasa yu pomoja nae kambini
 
Mhe.Lema Mbunge wa Arusha ni mwanasiasa mahiri lakini wa viwango vya kawaida kwani wa aina yake bado wapo wengi tuu. Lakini ghafla ametokea kuwa maarufu mno na kuonekana shujaa mbele ya wananchi wa Arusha na Tanzania kwa ujumla. Hali iliyojitokeza Mjini Arusha leo ni uthibitisho kuwa hakuna wa kumzidi umaarufu wa kisiasa kwa sasa hapo Arusha.

Nini kimesababisha? Ukweli ni kuwa uonevu na wivu wa viongozi wa serikali ya CCM ndio karata yake iliyo mfanya aibuke shujaa wa aina yake. Viongozi hao akiwamo Mrisho Gambo RC wa Arusha wameonyesha wazi kuhusika na njama ambazo Majaji wa Mahakama ya Rufaa wameita 'unajisi wa sheria' dhidi ya Lema.

Safari ya kisiasa inajambo muhimu moja kuu nalo ni kupata uungwaji mkono, na hilo Lema amelimaliza sasa ni shujaa na anaungwa mkono hivyo watesi wake badala ya kumpunguzia umaarufu sasa ndio wamempa kiki zaidi kwa wao kushindwa kujua walilofanya ni kosa kubwa kimkakati kama walivyo dhani mwanzo
Lema sio mwanasiasa wa Kawaida

Angekua wa kawaida, wasingehangaika nae viiile kwenye dhamana badala ya kesi ya Msingi?

Jamhuri inajua Lema sio wa kawaida.

Kinachoweza kua Ni cha kawaida ni hii Kesi ya Njozi inayomkabili.

Kimsingi wanaomtuhumu hawakupaswa kuhangaika na njozi za MTU.

.
 
Mpeni cheo cha juu sasa, ushujaa uonekane kama upo nchi nzima.

Naona kufungwa kwake kawaida tu, sababu ana mdomo mrefu wa maneno mabaya na pia mgomvi hana uvumilivu. Hajui wapi na wapi atende majambo, hajiheshimu. Labda jela imemnyoosha, muda utaonyesha.
Akizingua tena ndani hadi miaka mitano ipite akishituka hajafanya kitu chochote
 
Nyie watu wa cdm mziki mtakaochezeshwa 2020 mtashangaa wenyewe yaan ni zaidi ya 2015 najua mlishtuka sana ila 2020 mtazimia
 
Mhe.Lema Mbunge wa Arusha ni mwanasiasa mahiri lakini wa viwango vya kawaida kwani wa aina yake bado wapo wengi tuu. Lakini ghafla ametokea kuwa maarufu mno na kuonekana shujaa mbele ya wananchi wa Arusha na Tanzania kwa ujumla. Hali iliyojitokeza Mjini Arusha leo ni uthibitisho kuwa hakuna wa kumzidi umaarufu wa kisiasa kwa sasa hapo Arusha.

Nini kimesababisha? Ukweli ni kuwa uonevu na wivu wa viongozi wa serikali ya CCM ndio karata yake iliyo mfanya aibuke shujaa wa aina yake. Viongozi hao akiwamo Mrisho Gambo RC wa Arusha wameonyesha wazi kuhusika na njama ambazo Majaji wa Mahakama ya Rufaa wameita 'unajisi wa sheria' dhidi ya Lema.

Safari ya kisiasa inajambo muhimu moja kuu nalo ni kupata uungwaji mkono, na hilo Lema amelimaliza sasa ni shujaa na anaungwa mkono hivyo watesi wake badala ya kumpunguzia umaarufu sasa ndio wamempa kiki zaidi kwa wao kushindwa kujua walilofanya ni kosa kubwa kimkakati kama walivyo dhani mwanzo
sisi kina gogo la shamba tulishayasema hayo mapema kwamba,sasa Lema wamemfanya kuwa Nyerere wa Arusha
 
Huyu jamaa namkubali namshauri achague maneno yakusema sikila neno unasematu,rejea alivyokuwa anamsema Lowasa,sasa yu pomoja nae kambini
Siasa humchukii mtu bali itikadi na matendo yake. Akibadilika na kufanya utakavyo unamuunga mkono. Sasa Lowassa kabadilika na anaimba wimbo mmoja na Lema kwa nini aendelee kumbza? mbona hilo ni somo dogo sana na mnashindwa kulielewa?
Hata Mbowekesho akijiunga CCM nayeatapingwa na wana Chadema kama CCM wanavyo mpinga leo Kingunge
 
Endeleeeni kumtia ujinga ushujaa gani alionao labda ushujaa Wa kutukana na kuanzisha migogoro isiyo na tija
Kamtukana nani mpaka ushindwe kuvumilia ?! Lema ni mwakilishi wa watu wenye akili wengine kuliko wewe.
 
Lema haungi mkono Na watu wenye akili. Anashabikiwa Na mashabiki wa ropoka ropoka ! Na ndio sababu iliyomtia lupango miezi minne. Akijifanya hamnazo atarudishwa huko huko ! Mpeni ushauri badala ya kumshabikia !
Sheria ya kizuizini ilishafutwa labda huna habari
 
But this is now being killed. Mwalimu aliwapa uwaziri wanachuo wa UDSM karibu wote wiogome narinal service. Baada ya kuwaadhibu baadaye alisema mwenyewe "watu wenye kuhoji mambo huwa wana maono".
 
But this is now being killed. Mwalimu aliwapa uwaziri wanachuo wa UDSM karibu wote wiogome narinal service. Baada ya kuwaadhibu baadaye alisema mwenyewe "watu wenye kuhoji mambo huwa wana maono".
'WATU WENYE KUHOJI MAMBO HUWA WANA MAONO'
cc; Wana CCM wote nchini Tanzania.
Maneno mazito sana hayo kwa watu walewaNdiyo mzee!
 
Back
Top Bottom