Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 12,345
- 25,423
Nayajua Maisha yangu mpaka TONGWE kama muvii..oooh kaa tayar...oooh... action...oohh.... Naanza mwisho kwenda mwanzo.... NGOMA Ina goooo...goooo.. nayajua Maisha yangu mpaka tongwe Kama muviiii oooh..kaa tayarii...NGOMA Ina goooo...
Hiki ni moja ya kionjo kwenye wimbo wa Roma akishirikiana na Jos mtambo na darasa....huu wimbo unaitwa KAA TAYARI...
Nimeangalia video ya Jos mtambo akiwa kwenye Hali ya ALOSTO na ulevi ULIO pindukia anatia huruma anaitaji kusaidiwa.
Nacho amini akili ya mwanadamu yeyote akiwa ana boost vilevi hufanya akili kuwa na uwezo mkubwa na upeo usio wa kawaida.
Tatizo huibuka pale wanapo kua waraibu nasikitika na Maisha ya Jos mtambo pia ninae mtu anae nihusu na yeye ana ELIMU NZURII KABISA Ila amekuja kua mlevi wa kutupwa inauma na kusikitisha Sanaa
POMBEKALI, UGOLO, BANGI VILEVI VYOTE KWA UJUMLA WAKE HAVIJAWAI KUA VIBAYA / MBAYA TATIZO NI MTU MWENYEWE HUWEZI KUSHINDANA NA POMBE, BANGI VILEVI UKABAKIA NA UTIMAMU WAKO WA AKILI.
JOS MTAMBO ATAKUA ALIKUA ANATUMIA MUDA MREFU ILA KWA SASA KUTOKANA NA OVERDOSE NA MISUSE IMEMLETEA SHIDA UKIJUMLISHA STRESS ZA MAISHA NDIO VIMEMMALIZA KABISA..
LEO Dr am 4 real PhD Napandaga daladala nashikaga bomba hakuna anae nijua 😔😊☺️ usupastaa ni zigo la miiba ukilibeba lazima utaumia.
NAONA JOS MTAMBO KAJIKATIA TAMAA ANAITAJI MSAADA.
View: https://youtu.be/Ex94EQQL8Ro?si=lN-kvrcCMs41P1RY
Hiki ni moja ya kionjo kwenye wimbo wa Roma akishirikiana na Jos mtambo na darasa....huu wimbo unaitwa KAA TAYARI...
Nimeangalia video ya Jos mtambo akiwa kwenye Hali ya ALOSTO na ulevi ULIO pindukia anatia huruma anaitaji kusaidiwa.
Nacho amini akili ya mwanadamu yeyote akiwa ana boost vilevi hufanya akili kuwa na uwezo mkubwa na upeo usio wa kawaida.
Tatizo huibuka pale wanapo kua waraibu nasikitika na Maisha ya Jos mtambo pia ninae mtu anae nihusu na yeye ana ELIMU NZURII KABISA Ila amekuja kua mlevi wa kutupwa inauma na kusikitisha Sanaa
POMBEKALI, UGOLO, BANGI VILEVI VYOTE KWA UJUMLA WAKE HAVIJAWAI KUA VIBAYA / MBAYA TATIZO NI MTU MWENYEWE HUWEZI KUSHINDANA NA POMBE, BANGI VILEVI UKABAKIA NA UTIMAMU WAKO WA AKILI.
JOS MTAMBO ATAKUA ALIKUA ANATUMIA MUDA MREFU ILA KWA SASA KUTOKANA NA OVERDOSE NA MISUSE IMEMLETEA SHIDA UKIJUMLISHA STRESS ZA MAISHA NDIO VIMEMMALIZA KABISA..
LEO Dr am 4 real PhD Napandaga daladala nashikaga bomba hakuna anae nijua 😔😊☺️ usupastaa ni zigo la miiba ukilibeba lazima utaumia.
NAONA JOS MTAMBO KAJIKATIA TAMAA ANAITAJI MSAADA.
View: https://youtu.be/Ex94EQQL8Ro?si=lN-kvrcCMs41P1RY